IGP Sirro, huyo ni mtoto wa nani?

Wajiulize wao kwanza,haya maaskali yanayo bambikia watu kesi yalizaliwa na nani?
Viongozi wa nchi hii,badala ya kutumia akili/ubongo kufikiri sasa yanatumia makamasi na makalio kufikiri.
 
Vipi kuhusu huyu wa chanika? Ambaye ni mtoto wa inspector general na bado anapulizia watu bangi usoni? Baba yake ndiye alimfundisha hivyo?

Kwani aliyoongea kwa hamza hakusema kwambq yanamhusu hamza peke yake.....?
Yanahusu malezi ya kila mzazi kwa watoto
 
Akimaliza kuomba msamaha kwa wazazi wa Hamza awaombe msamaha na Watanzania
 
Hamza angekuwa na mama yake nae ana bunduki pale Salenda angestahili dharau hizi lakini maskini hata yeye atakuwa amejua kupitia vyombo vya habari kama Sisi. Sirro angekuwa umewahi kubeba mimba hata wiki moja usingeharisha huo utumbo wake.


Wewe umesikia maelezo ya awali yalotolewa na nduguze?

Ulimsikia IGP akisema kama nduguze wangechukua hatua ya tahadhari mapema uovu usingeweza kufanyika wa kuua watu huyo Gaidi?!
 
Acheni kuwatoa watu kwenye mstari wa kujadili Ugaidi kwa kumnyooshea kidore IGP.

Msomali asingefanya ule Ugaidi IGP asingeyasema hayo na ameyasema kwa uchungu mkubwa kitendo kile cha kuua wale watu kinauma sana!
 
Wekeni picha ya hilo litoto lake hapa. Kumbe naye ana kimeo halafu anatukana wazazi wengine?
Huwa wanakuwa na akili za punda hao.Mwingine aliita watoto wa watu vilaza.Mara hataki wanafunzi waliopata watoto waendelee na masomo.Tafrani tupu.Saa hizi anapiga soga na mashetani wenzie tu huko kuzimu.😝😝😝😝😝
 
Huwa wanakuwa na akili za punda hao.Mwingine aliita watoto wa watu vilaza.Mara hataki wanafunzi waliopata watoto waendelee na masomo.Tafrani tupu.Saa hizi anapiga soga na mashetani wenzie tu huko kuzimu.😝😝😝😝😝
Halafu anaitwa wa wenzake vilaza kumbe na binti lake nalo zilikuwa hazimo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…