Underwood
JF-Expert Member
- Dec 25, 2020
- 1,909
- 3,120
400 million = mtoto wa hovyo
Sisi ambao hata 1m hatuna inakuaje?
[emoji1787][emoji28][emoji28]useless.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
400 million = mtoto wa hovyo
Sisi ambao hata 1m hatuna inakuaje?
Kama hayo makosa madogo ya dhulma uonevu mauji yanayofanywa na polisi yataendelea kuwepo basi pengine tutaraji haya makosa makubwa kama ya Hamza kuzidi kutokea. Na mimi sioni kosa kubwa kwa Hamza kwa sababu hakudeal na raia katika ugomvi wake yeye na polisi.Hayo maneno si kitu kabisa unapolinganisha na kosa kubwa alofanya Msomali la kuua watu wasio na hatia!
Uhai wa binadamu unathamani kubwa sana isiyo mithiri.
Uhai wa mwanadamu ukishapotea hauwezi kupatikana popote Duniani hata kwa kuuzwa !
Acheni chuki jamani !
ngoja afanye tukio la ajabu tuone sirro atasemaje....mtoa maada upo sahihuHuyo ni Mtoto wa Sirro anasumbua watu sana mtaani kwa ubabe wake na anavuta bangi hadharani. Muda Mwingi anashinda Chanika kwenye Bar ya Baba yake.
Wee muache tuu, si anaona kuwa IGP hapa Tz ameshapatia maisha.... Kuna kizazi chake kinakuja na kitabeba jina la ukoo... Asidhanie kuna mtu anapenda kupata mtoto ambaye baadae atakuja kuwa msumbufu duniani. Ni hakika kauli yake kwa asilimia Mia, ni ya kuudhi bila kujali wewe ni mtanzania au si mtanzania. Ili mradi tuu ni binadamu ukiisikia kauli yake unasikia ukakasi kwa ndani.IGP Sirro jana umetoa kauli nzito na ngumu mno kutolewa na kiongozi wa aina yako na mtu mwenye umri mkubwa kama wewe na mtu anayeheshimika kwa cheo chake kama wewe.
Angalia sana ulimi wako jinsi unenavyo, muombe sana Mungu akupe hekima ili kabla ya kutamka neno lolote hekima ikutangulie.
Jana ulitamka maneno haya nami nakunukuu.
"Watanzania kuweni makini msije mkazaa mtoto wa hovyo hovyo kama Hamza aliyetuletea majanga Watanzania, wazazi wa Hamza mnajisikiaje kuzaa mtoto kama huyo? Na nyie ndugu zake mnajisikiaje kuwa na ndugu kama Hamza?". Mwisho wa kunukuu.
IGP Sirro, hakuna mzazi anayepanga azae mtoto wa aina gani, Binadamu tunazaa mwili hatuzai Roho.
Kuna kijana anasumbua sana mitaani, anajitapa kwamba hakuna wa kumfanya lolote kwa sababu Baba yake ana cheo kikubwa mno serikarini, kijana huyo huvuta unga na kwenda hadi kwenye Hotel ya Baba yake iliyoko Chanika ambako hufanya vituko vya ajabu, ukiwemo kupiga watu.
Je, unajua huyo mtoto ni wa nani? Tafadhali sana, wazazi wa Hamza hawakujua kama wanazaa mtoto wa aina gani, hata wazazi wako wewe Sirro hawakujua kama ipo siku utakuja kuwa IGP.
JITOKEZE UIOMBE MSAMAHA FAMILIA YA HAMZA ILI ULINDE HESHIMA YAKO.
Mkuu umemsababishia matatizo bodaboda watamdaka na kumuuliza nan alikupiga picha kwa nyuma maana plate namba inasomekaHii iko Tegeta kwa mpemba/AzaniaView attachment 1914300
Mkuu wliouawa ni polisi sio watu naomba urekebisheHayo maneno si kitu kabisa unapolinganisha na kosa kubwa alofanya Msomali la kuua watu wasio na hatia!
Uhai wa binadamu unathamani kubwa sana isiyo mithiri.
Uhai wa mwanadamu ukishapotea hauwezi kupatikana popote Duniani hata kwa kuuzwa !
Acheni chuki jamani !
Fisadi huyu sasa!?
Huwezi kuwa kiongozi CCM kama si mbabaishaji.Na bado akawa kiongozi wa CCM na ubabaifu wake.
Nani alisema kuwa Lenana ilijengwa Siro alipoingia mjini? Huwezi kujenga kabla hujaingia mjini.Huo uongo Sasa,Lenana ya kitambo hata Sirro hajaja mjini.
Huo Ni uongo mwenye Lenana namfahamu.Hamna tofauti na yule jamaa maarufu wa mitandaoni aliyesema Hill water Ni ya yule Mbunge Kessy wa CCM,akiambiwa sio mwenye nayo anakomaa kusema unajua Nani Yuko nyuma ya huyo mmiliki hahah.Hillary alisikitika Sana.Nani alisema kuwa Lenana ilijengwa Siro alipoingia mjini? Huwezi kujenga kabla hujaingia mjini.
😄😄 Akawajengea na ofisi za chama kabisa mkuu.Na akapewa na silaha
Hahah tatizo nyie mmemjua Sirro wkt akiamrisha Wenje atangazwe kua mbunge.Kwani unajua Afande Zirro kaja lini mjini? Utakuwa ulikuwa humjui vizuri!
Hizo story mkawapigie wasiojua lkn sio Mimi mzee.Kwani walioko shamba hawaruhusiwi kujenga? wewe unacheza na kazi ya upolisi, kazi ya upolisi unaweza tajirika wakati wowote haijalishi unacheo au hauna, ogopa mtu anayedeal na waalifu.
Watoke wapi.?Nitajie watu wawili tu pale CCM ambao sio wababaifu
Yap, kama yule mtoto wa Sirro mvuta bange hadharani kule Chanika. Kilangila.Kwani aliyoongea kwa hamza hakusema kwambq yanamhusu hamza peke yake.....?
Yanahusu malezi ya kila mzazi kwa watoto
Kwa sababu IGP ameanzisha chuki. Itatusaidia kwani IGP atamdhibiti mwanae asivute bange hadharani huko Chanika. Kilangila.Kwanini mnaeneza chuki?
Itawasaidia nini?!
Wawe na huruma😄😄 Akawajengea na ofisi za chama kabisa mkuu.