IGP Sirro, huyo ni mtoto wa nani?

Kama hayo makosa madogo ya dhulma uonevu mauji yanayofanywa na polisi yataendelea kuwepo basi pengine tutaraji haya makosa makubwa kama ya Hamza kuzidi kutokea. Na mimi sioni kosa kubwa kwa Hamza kwa sababu hakudeal na raia katika ugomvi wake yeye na polisi.

Mwambie Sirro kwani yeye na jeshi lake wamewafanyaje raia hadi wanafikia kuzaa watoto wanaouwa polisi?
 
Wee muache tuu, si anaona kuwa IGP hapa Tz ameshapatia maisha.... Kuna kizazi chake kinakuja na kitabeba jina la ukoo... Asidhanie kuna mtu anapenda kupata mtoto ambaye baadae atakuja kuwa msumbufu duniani. Ni hakika kauli yake kwa asilimia Mia, ni ya kuudhi bila kujali wewe ni mtanzania au si mtanzania. Ili mradi tuu ni binadamu ukiisikia kauli yake unasikia ukakasi kwa ndani.
 
Mkuu wliouawa ni polisi sio watu naomba urekebishe
 
Nani alisema kuwa Lenana ilijengwa Siro alipoingia mjini? Huwezi kujenga kabla hujaingia mjini.
Huo Ni uongo mwenye Lenana namfahamu.Hamna tofauti na yule jamaa maarufu wa mitandaoni aliyesema Hill water Ni ya yule Mbunge Kessy wa CCM,akiambiwa sio mwenye nayo anakomaa kusema unajua Nani Yuko nyuma ya huyo mmiliki hahah.Hillary alisikitika Sana.

Simkubali Sirro na mambo yake lkn kwny uongo nitakataa.
 
Kwani walioko shamba hawaruhusiwi kujenga? wewe unacheza na kazi ya upolisi, kazi ya upolisi unaweza tajirika wakati wowote haijalishi unacheo au hauna, ogopa mtu anayedeal na waalifu.
Hizo story mkawapigie wasiojua lkn sio Mimi mzee.
 
Hadi page ya nane hakuna picha wala jina la huyo mtoto wa siro!
Wabongo tunakwama sana, hawa ni wauaji, madhulumati bado watu mnaojua kiasi kuwahusu mnafichaficha kama vile ni mali halali itakayowafaidisha.
Wananchi tusipoichukua hii vita, tukiviachia vyama vya siasa pekee tutakuwa tumebugi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…