IGP Sirro, huyo ni mtoto wa nani?

Mpaka hapo tusitegemee majibu chanya hata kama kutakuwa na uchunguzi. Kilangila.
 
Hata wewe umetoa hoja kali sana. Kama HAMZA alikuwa mtu wa hovyo, ilikuwaje akapewa silaha? Ni kazi ya nani kumchunguza mtu anayepeka maombi ya kumiliki silaha? Kilangila.
 
Tuanzie hapa, uliwahi kudhulumiwa Sh. 400,000,000/=? Kilangila.
 
Hakuna jambo baya kama kumwaga damu isiyo na hatia.
 
Ana stress kiasi,kesi Mahakama kuu,kifo Cha Hamza,uu staafu wake
Mambo ni mengi jamani........,
mlioko nje ya system ham oni ila walio ndani wanatamani kikombe kiwapite mbali lakini wapi
Hata ukiwa ndani mkuu, huna lazima ya kukinywa "kikombe" bila kutumia akili. Huwezi kujitoa ufahamu kwa vile tu upo ndani ya 'system'.
 
Kwahiyo unahalalisha hizo kauli za Sirro? kwanini usione kuwa Sirro pia nae kakosea?

Mwambie basi atuambie Mkewe Sirro alizaa vp wanae ili watanzania wajifunze jinsi ya kuzaa vizuri ili wapate watoto wakamilifu kama yeye?
Mkuu 'UHURU JR', ahsante sana kwa mstari wako huo wa pili ulioandika hapo juu; umejaa hekima nzito.
 
Waliotaka kumuuwa Lisu kwa siro Ni watu Safi na ni watakatifu na hawapaswi hata kuchunguzwa. ZEEE shetani sana hili
 
Hiyo Kauli aliyoongea siro siyo ya busara hata kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…