Mbona kupigwa risasi kwa Lisu akuongea kwa uchungu. na uchunguzi kakataa kuufanya acha unafiki wa kijingaAcheni kuwatoa watu kwenye mstari wa kujadili Ugaidi kwa kumnyooshea kidore IGP.
Msomali asingefanya ule Ugaidi IGP asingeyasema hayo na ameyasema kwa uchungu mkubwa kitendo kile cha kuua wale watu kinauma sana!
Kuna bangi pia!Siro ukimwangalia mwonekano wake kimwili utadhani ni mtu wa kuheshimika sana!
Hapana, kuna wakati hata matamshi yake yalionekana kuwa ya mtu mwenye busara.
Haieleweki ni kitu gani hasa kimembadilisha akili kiasi hiki alivyokuwa sasa?
Unajua, inasemekana damu za binaadam zikimwagwa kwa uonevu tu, hazimwachi mtu anayesababisha zimwagike, ni lazima atadhurika tu kwa njia moja au nyingine.
Siro ni mhanga wa umwagaji wa damu za waTanzania ambao hawakustahili kuuliwa au kuumizwa.
Maisha yake ya uhai wake uliosalia yatakuwa ya matatizo tupu.
Haha hii naipata vizuri sana. Kabla hujafika kituo cha azania..kushoto kama unaelelekea kibaoni.Bado ipo na ameongeza nyingine mpya mtaa wa pili inaitwa Nyakoro Bar & Lodge
Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Wanalishwa pesa za dhulma na wazazi wao wanawapa laana tu kwa makosa ya baba zaoTujiulize wajumbe humu wapi mliwahiona mtto was polisi emekuwa daktari,injinia,hakimu,rubani nk. Hawa ni wa2 waliolaanika kwa matendo yao ya dhambi. Bora kuwa na mtto Kama Hamza Mana amejionesha kuwa alikuwa brave enough.
Nasikia kila rpc anayepewa uteuzi sharti ajengewe nyumba kila mkoaSirro ni fisadi kuu, ana lodge na hotel karibu mikoa yote...Tegeta Nyakoro, Chanika...Butiama
Unaujua mshahara wa polisi wewe?IGP AMESHASHIKA NYAZIFA NYINGI KWA HIYO KUWA NA PESA NYINGI NI KAWAIDA
Sio rpc tu hata rto, kawafaidi sanaNasikia kila rpc anayepewa uteuzi sharti ajengewe nyumba kila mkoa
Huyu kamanda wa makamanda alijitakia mwenyewe kwa haya yanayomkuta.Aliwahi kudhaniwa kuwa na utu,uungwana na ujasiri wa kutosha ukamanda mkuu lakini akakubali kutumika na wanasiasa uchwara waliokosa ushawishi kwa wananchi.Walitumiwa kufifisha demokrasia kwa taarifa za kiintelijensia biased.Hivyo yeye na taasisi yake wanalipia matendo yao.Siro ukimwangalia mwonekano wake kimwili utadhani ni mtu wa kuheshimika sana!
Hapana, kuna wakati hata matamshi yake yalionekana kuwa ya mtu mwenye busara.
Haieleweki ni kitu gani hasa kimembadilisha akili kiasi hiki alivyokuwa sasa?
Unajua, inasemekana damu za binaadam zikimwagwa kwa uonevu tu, hazimwachi mtu anayesababisha zimwagike, ni lazima atadhurika tu kwa njia moja au nyingine.
Siro ni mhanga wa umwagaji wa damu za waTanzania ambao hawakustahili kuuliwa au kuumizwa.
Maisha yake ya uhai wake uliosalia yatakuwa ya matatizo tupu.
Kama kapewa Kama zawadi na mmikiki wa awali? Wamiliki huwa wanapenda sana kuwapa polisi zawadi.Huo uongo Sasa,Lenana ya kitambo hata Sirro hajaja mjini.
Tusihukumu watoto kwa dhambi za baba zao.Tujiulize wajumbe humu wapi mliwahiona mtto was polisi emekuwa daktari,injinia,hakimu,rubani nk. Hawa ni wa2 waliolaanika kwa matendo yao ya dhambi. Bora kuwa na mtto Kama Hamza Mana amejionesha kuwa alikuwa brave enough.
Yaani IGP mzima biashara aliyoona ina hadhi yake ni bar?...khaaa.Huyo ni Mtoto wa Sirro anasumbua watu sana mtaani kwa ubabe wake na anavuta bangi hadharani. Muda Mwingi anashinda Chanika kwenye Bar ya Baba yake.
Hapana mkuu,bado iko chini ya wenyewe.Kama kapewa Kama zawadi na mmikiki wa awali? Wamiliki huwa wanapenda sana kuwapa polisi zawadi.
Msalimie kamanda Z. Steve.Tusihukumu watoto kwa dhambi za baba zao.
Mimi nimeshashuhudia mtoto wa RPC(mstaafu kwa sasa) alikua rubani rafiki yangu sana ila alifariki miaka michache iliyopita. Kaka yake nae kapanda panda vyeo toka enzi za Mwendazake na baba huyo mstaafu yuko CCM saiv kwa kina Lema
Ila tukirudi kwenye mada tumuongelee huyu wa Makongo😂😂
Haya mambo haya!Halafu anaitwa wa wenzake vilaza kumbe na binti lake nalo zilikuwa hazimo!
Unamjua rubani Marehem kwa sasa mtoto wa Mmasai wa CCM arusha (ex RPC)Huyo ni mtoto wa kuasili, yaani alimuoa mkewe akamkuta na huyo mtoto,si Damu yake ya kuzaa.
Tunamjua huyo Rubani
Ana kiwanda cha nafaka pia. Unga wa nafaka anauza mpaka shayiri kwenye viwanda vya biaYaani IGP mzima biashara aliyoona ina hadhi yake ni bar?...khaaa.
Hahaha ni kweli wewe unawafahamu ila umechanganya madesa kidogo.Msalimie kamanda Z. Steve.
Ila huyu nae ana kijana wake ajinyonga akiwa Kule Udom.
Hahaaaa ushakuja binti😂😂Haya mambo haya!