IGP Sirro: Jeshi la Polisi kukagua yanayofundishwa kwenye nyumba za Ibada

Wapi nimesema kuhusu sheria za Rwanda au huyo tundu lissu,umechanganyikiwa wewe.
Halafu jifunze kuandika ndio uje tena.
 
Hao mnaowaita magaidi mnawatengeneza wenyewe kwa sababu ya chuki zenu mnawafanya baadhi ya watu wanaonewa hivyo wanatakiwa wapambane.
Wewe mbweha mie nakataa Nchi isichafuliwe kwa IGP kutangaza ugaidi cha ajabu unanipinga
 
Nchi zote hufanya hivyo kuna wale waarabu wanamuminika Sana tanzania kwa mgongo wa kusaidia msikitini kumbe Wana ajenda nyingine

Yani wewe hunaga hoja za msingi, wewe kila ki2 waarabu na uisilamu, all the time unawawaza wao tu. Ebu tupe cri mzee walikufanya nini???? Chuki mbaya sana, apo unahic na huna uhakika unachokiongea. Kazi ipo aise,,,hata hao unaoishinao itakuwa wanakuvumilia.
 
Wapi nimesema kuhusu sheria za Rwanda au huyo tundu lissu,umechanganyikiwa wewe.
Halafu jifunze kuandika ndio uje tena.
Wewe unavuta Bangi gheto unawezaje kujua nilichoandika?
 
Huyu Sirro vipi?

Yaani anategemea kweli Sunday schools na Madrasa kufundishwa Uzalendo...!! I can't believe his thinking.
 
Visomo vitaanza kote kuanzia Pemba hata kote bara
 
Fuatilia vizuri si kuongea tu Jambo ambalo hulijui au hujafanyia utafiti. Hao wapo huko Kila siku wanajua wanachokiongea. Mimi nikiwa chuo mwaka 2012 niliyasikia hayo kwa watu wa mtaani. Wanayajua Sana tu kuwa Kuna mambo yanaendelea huku mtaani si mazuri walisema watoto wa sekondari wanasajiliwa kwenye makundi ya kigaidi
 
Nazani mtaanza kumuelewa Tundu Antipas Lissu vizuri na agenda ya Haki Uhuru na Maendeleo ya watu.
Kwa mwendo huu wa kutawliwa nchi kijeshi kwakuwa chama Chakavu kimekosa Mvuto Polisi ipo siku hawata sita kusema wataanza kukagua wenza Kama mkiwa mnagegedana hamuendi kwa Mpalange.
Halafu nayashangaa Sana Majeshi ya hapa bongo, yanatumikishwa kisia na yenyewe yanakubali tuu. Wanashindwa kufanya wenzao walicho fanya kule Gine. Mtu anaye kupa umfanyie kazi yake ya siasa Ina maana yeye hawezi kuifanya kwahiyo Jeshi lenye Akili wanapindua tuu serikali ya namna hiyo inayotegemea jeshi kuongoza na kundamiza Haki za raia.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo zirro anamaanisha wameandaa mtaala huko kwenye geshi la porisi kufundisha vijana wa madrassa na sunday school uzarendo? kwamba mafundisho ya dini hayatatolewa tena bali mafundisho ya uzarendo yaliyoandaliwa na geshi la zirro! Kwa nini wasifungue taasisi zao za kufundisha uzarendo badala ya kuingilia ratiba za vipindi vya dini....
 
Uhuru wa kuabudu unaolindwa na Katiba uko hatarini sana ndugu zangu.
 

Mambo sensitive hayatolewi matamko. Yanafanywa covertly. Vyombo maalum kwa kazi hiyo vipo. Inatarajiwa wawe wamekuwa wakifanya kazi yao muda tangu miaka ya 90 ugaidi ulipojitokeza kama tishio nchini.

Kutuambia leo ndio wataanza kupita huko kufuatilia viashiria ni irresponsibility kubwa. Sio huko tu; ziko taasisi nyingi za kuangaliwa mara kwa mara. Wao wamepata umaarufu wa kuifuatilia CHADEMA tu. Shame.

Polisi Tanzania wamejiendekeza kutafuta sifa kama wanasiasa. Wanashinda kwenye media kujitangaza kazi zao na kujisifu huku field mambo yako ovyo tu. Ni aibu. They need to learn to work silently and effectively. Sisi wananchi tutaona weledi wao na kuwasifu ikibidi.
 

huyu jamaa sirro ni mpuuzi wa kiwango cha lami
 
Wewe unavuta Bangi gheto unawezaje kujua nilichoandika?
Wewe na wauwaji wenzio hamjachoka kuua watu na kuwatupa baharini sio! Basi tafuteni mbinu nyingine sio hizo za kutoa namba za simu umwambie mtu apige kwani umesikia natafuta namba ya mtu,jinga sana.
 
Haha Gestapo walikuwa na section ya religious sect ku-monitor makanisa naona tumefika huko sasa polisi wa ulinzi na usalama wa raia ma mali zao wamekuwa political police kama gestapo

Ndio hivyo. Kazi inafanywa kimya kimya kupitia special agents. Hilo ni eneo nyeti la kazi. Kuna masheikh/maimam na wachungaji na waumin ambao ni maajent wa CID/TISS. Walitakiwa wawe wanafanya kazi hiyo tangu tunapata uhuru.

Hii kutangaza hadharani ni kutafuta sifa za kisiasa. Ni aibu. Kama vile ma-informer wa TISS wanavyojitangaza mitaani siku hizi.
 
Wanawatafuta CDM ? Maana siku hizi ....wanakamatwa makanisani....sasa anawalenga wacheza karate misikitini daaa hii vita ugaidi ngumu sana sidhani kama ataiweza
 
Hizo ni hekaya tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…