IGP Sirro: Jeshi la Polisi kukagua yanayofundishwa kwenye nyumba za Ibada

Mbona kuna sehemu za kufundisha karate hata baadhi ya shule ni kama somo tu. Hapo kuna watu wamelengwa tayari.
Mfano Centennial Christian Seminary pale mbele ya Kongowe mkoa wa Pwani.

Watoto wale wanapiga ngumi kama mizimu aisee!
 
Uzalendo unafundishwa kwenye nyumba za ibada? Taasisi yake unafundisha aje uzalendo, Kwa kuweka taswira na mazingira ya rushwa, kubambikia makosa yasiyokuwapo, kupendelea CCM?
Anza kwako ndugu!
 
Rwanda ni Nchi ya kidikteta hakuna uhuru wa kuabudu, ni Aibu kubwa kwa Tanzania kujifunza mbinu haramu za kishetani toka Rwanda
Sinema ya Royal wameiga Rwanda na huu uharamia nao wamechukua Rwanda !
 
Kama sio kutaka kuudhi jamii flani,
Hili jambo wala ilikua haina haja ya kulitangaza ni kufanya tu kimya kimya,
Lakini imesemwa"hawatawadhuru isipokuwa maudhi tu"
 
Good approach!
 
This should have been done secretly. Why putting it public?
 
Hapa wanalenga madrasa, hiyo ya sunday school ni zuga tu...
 
Unaona huyu mwehu kada wa CCM amesahau Tanzania haina dini wala kabila na kila mtu ana haki ya kuamini anachoamini, kinachofundishwa huko misikitini au makanisani hakiwahusu na hamna haki ya kuwapangia wafundishe nini au waamini nini, kama kuna issue wasubirini waje huku nje wavunje sheria ndio mpambane nao, hizi hadithi za ugaidi kutoka kwa hawa maboya kina Siro na wenzake naona zimezidi na hakuna ushahidi, huyu boya anajua kuteka watu tuu, wizi wa kura na kubambikia watu kesi, simpendi kabisa huyu mpuuzi anaharibu nchi tuu
 
Mambo kama Haya yatupasa kuunga mkono juhudi za Viongozi wetu katika kusimamia maswala ya kiusalama.
Ukianza kuruhusu serikali kuingilia mambo ya watu wanachofundishwa au kuamini makanisani, misikitini au nyumba zao za ibada ndio mwanzo wa total dictatorship,nchi haina dini na kila mtu ana haki kuamini anachoamini sheria za nchi ziheshimiwe tusiingiliane na viongozi nao ni watu tuu, kama kuna sheria ya nchi imevunjwa protocol zifuatwe
 
Tenda haki you will be safe! Kama mtu Ana sababu za kutosha moyoni kwake kujifunza kitu haitaji Mwalimu au mahali.
Kweli, wao wenyewe walisema Hamza alijifunzia ugaidi mitandaoni leo wanataka kukagua madrasa.
 
IGP SIMON SIRRO AJA NA MAPYA: JESHI LA POLISI SASA KUCHUNGUZA MAFUNDISHO (DOGMA) MAKANISANI NA MISIKITINI!

Mkaguzi wa Mtaala ni lazima aujue mtaala au awe na elimu kuhusu mitaala! Mitaala ya Shule ya Jumapili (Sunday School Curriculum) hutungwa na wasomi na wataalamu wa Theologia (Theology), Masomo ya Biblia (Biblical Studies), Falsafa (Philosophy) na Elimu ya Dini (Religious Studies/Education). Jeshi la Polisi nchini Tanzania linataka kujipa kazi ya kukagua Mitaala ya Sunday School Makanisani. Tunawakaribisha Askari Polisi kujiunga katika Vyuo vya Theologia na kwenye Seminari Kuu ili kusomea masomo hayo. Liandae watu wenye sifa kwa ajili ya kusomea Shahada za Theologia na Falsafa. Baada ya hapo wakasome ubingwa (Shahada za Juu) katika masomo hayo wakibobea katika Mitaala!

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…