Heil Fourth Reich Fuhrer😂Gestapo
Ulisikia aliyokuwa anasema "gaidi" Hamza kabla hajauwawa,huenda ndiyo yanayomtia hofu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heil Fourth Reich Fuhrer😂Gestapo
Kweli jamii forums imevamiwa. Hivi umesoma nilichokiandika? Nimelichangia mada kwa hoja ya kwamba watanzania tuwe tunafanya utafiti kabla hatujaongea na huo ndio msingi wa hoja yangu. Hivi ni kwa nini tunachangia hoja kwa mihemko na si kwa hoja ambazo tuna uhakika nazo?Hajui anachokisema, eti kayasikia kwa watu wa mtaani 😁😁😁 uhakika wa jambo hana
Kama hayo hayapo kwenye hizo nyumba za ibada mnahangaika nini sasa.Anachokitafuta huyo IGP dhidi ya waisilamu atakipata. Asilete akili za kipolisi kwenye nyumba za Mwenyezi Mungu. Hako kacheo chake kacmfanye akajiona mungu mtu, ipo siku ataingia mtaani na atakutana na wajanja zaidi yake...
Kama hayo hayapo kwenye hizo nyumba za ibada mnahangaika nini sasa.
kwahiyo padri anatakiwa kuwasilisha kwa Sirro atakachofundisha kabla ya siku ya ibada??
Nilijua hii choko choko ya ugaidi wanalengwa waislamu, kwanini sijasikia makanisha kutajwa hapo juu. Nashauri waislamu wakafanya dua maalum (halbadiri) kila jeshi ataegusa madrasa atokemee. Akiingia asione mlango wa kutokea !IGP Sirro amesema jeshi lake litaanza kukagua yale yanayofundishwa kwenye nyumba za ibada.
Chanzo: Swahili times
My take; Baadhi ya nyumba za ibada huzalisha magaidi kwa kufundisha kareti...
Hii si katika quran surat hiyoSheikh Anafundisha Surrat~Zubaa Mpaka Police Ajue
Huu ukaguzi umgefanywa kimyakimya bila kutanguliza matangazo,wangenasa kama wapo. Ila kwa Tangazo hili wameshastuliwa!IGP Sirro amesema jeshi lake litaanza kukagua yale yanayofundishwa kwenye nyumba za ibada.
Chanzo: Swahili times....
Mambo ya makaburu yanakuja Tanzania, ccm mkwmeeni SiroJeshi la Polisi Tanzania limesema kuwa lintakuwa likipita katika nyumba za ibada kukagua mafunzo wanayofundishwa watoto katika madrasa na shule za Jumapili (Sunday schools) kufahamu aina ya mafundisho yanayotolewa...
Nadhani Polisi ndio watoe mahubiri badala ya Viongozi wa diniMimi mtotot wa nchungaji nimepata wasiwasi sana baada ya kupata taarifa hii kutoka kwa mtu mwenye dhamana ya ulinzi na usalama wa raia wa taifa hili IGP.
Inamaana kanisa nyumba ya Mungu si salama kuliko nje.
Mimi mtotot wa nchungaji nimepata wasiwasi sana baada ya kupata taarifa hii kutoka kwa mtu mwenye dhamana ya ulinzi na usalama wa raia wa taifa hili IGP.
Inamaana kanisa nyumba ya Mungu si salama kuliko nje.
Huyu mcheza sinema za ngonoWacheze kote ila sio kwa huyu[emoji1787][emoji116]View attachment 1937532