Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Taratibu gani za Serikali hazikufuatwa???Wewe unataka serikali ifanye kama anayotoka lisu na watu wake wakati wao hawataki kufata utaratibu wa serikali. unajua kuna vitu vingine nibora angevifanya raia wa kawaida ambaye hajui tratibu zinakuwaje lakini sio kwa wakina lissu.