mirindimo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 901
- 1,742
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Camillus Wambura, ameahidi kushughulika na yeyote ambaye atakuwa na vitendo vyovyote ambavyo ni kinyume na maadili na kinyume na matendo mema ya Watanzania.
“Nitoe rai kwa mtu yeyote ambaye anadhani anaweza akaleta aina yeyote ya vitendo vya uvunjifu wa amani asijaribu atulie tuache viongozi wetu waishi vizuri lakini tutashughulika na yeyote ambaye atakuwa na vitendo vyovyote vitakavyokwenda kinyume na maadili”
- Amesema IGP Camillus Wambura.
========
Mama SSH hata kama ulikua na hasira hapa ungetufikiria watoto wako aisee maisha yatakua very magumu
“Nitoe rai kwa mtu yeyote ambaye anadhani anaweza akaleta aina yeyote ya vitendo vya uvunjifu wa amani asijaribu atulie tuache viongozi wetu waishi vizuri lakini tutashughulika na yeyote ambaye atakuwa na vitendo vyovyote vitakavyokwenda kinyume na maadili”
- Amesema IGP Camillus Wambura.
========
Mama SSH hata kama ulikua na hasira hapa ungetufikiria watoto wako aisee maisha yatakua very magumu