IGP Wambura ameteuliwa ili Viongozi waishi vizuri?

IGP Wambura ameteuliwa ili Viongozi waishi vizuri?

Polisi wa nchi za wenzetu wapo kwa ajili ya kulinda raia na mali zao. Sisi wa kwetu jukumu lao kubwa ni kuwalinda viongozi wa ccm waliopo madarakani na pia kukilinda chama chao ili kibakie madarakani kizazi na kizazi.

Wala haishangaizi kuona wakiitwa na baadhi ya watu; policcm.
Umesahau mkuu, kushiriki wizi wa kura
 
Wapinzani jiandaeni, kipigo hicho.

Eti huyu atafanya police reform!

Yeye ameteuliwa kuhakikisha viongozi wanaishi vizuri, wasikosolewe, wasikemewe and the like! Maovu yote yaliyobaki Ruksa, ali mradi usiwaguse viongozi!

Huyo ndiye IGP! Huyo ndiye mteule!
Yaani kazi ya PSU wanaifanya Polisi.
 
Wapinzani jiandaeni, kipigo hicho.

Eti huyu atafanya police reform!

Yeye ameteuliwa kuhakikisha viongozi wanaishi vizuri, wasikosolewe, wasikemewe and the like! Maovu yote yaliyobaki Ruksa, ali mradi usiwaguse viongozi!

Huyo ndiye IGP! Huyo ndiye mteule!
Hahahahaaaa
 
Back
Top Bottom