IGP Wambura awaonya vikali wanaotaka kuandamana, asema huo ni uhaini akitaka "Wakome" na Wasitishe matamshi yao ya Kichochezi...

IGP Wambura awaonya vikali wanaotaka kuandamana, asema huo ni uhaini akitaka "Wakome" na Wasitishe matamshi yao ya Kichochezi...

Mkuu njia inayotumiwa na chadema ni kuleta mpasuko hawana maana hao
Wenyewe hawana hoja nzito zaid ya matuc na kebehi sasa utawajibu vp kwa hoja
Mtu jukwaani anatoa kauli za kibaguzi afu ndio tukubali kumskiza?
Watanzania tunajua nani anachochea uchochezi.

Polisi watudikwenye jukumu lao la kikatiba
 
Ndio kazi ya vijana kwenye maandamano [emoji74]
Mtu anadai bandari imeuzwa afu anavunja duka anabeba tv kupeleka gheto [emoji74][emoji74]
😂😂Wakaandane kwenye ukoo wao huko Tena waandae magari ya washawasha😂😂
 
Naunga mkono hoja.huezi leta machafuko kwa kutumia kete ya bandari
Yaani jeshi litumie nguvu haswaa kumaliza hao chawa wanaotaka kuaribu nchi
Najua wengi wanaosuport nia yao machafuko yakianza waanze vunja maduka na kuiba mali za watu
Jeshi lipi sasa.... 🙂
 
Watoe maonyo kadri wawezavyo lakini wakumbuke jana inatofautia sana na leo, kilichoshindikana jana leo kinaweza kuwezekana na kilichowezekana jana leo kinaweza kushindwa kabisa na kikawa ni mwanzo wasioutazamia wala kuitarajia.
 
🤣 Bongo labda waandamane kwenye keyboard au kwenye comment.

Ishu ya uhaini(kupinduana) labda watokee wanajeshi ndani ya jeshi ndio wampindue samia au wamteke samia kisha Nchi ikae kimyaaaaaaaaaaaaaaa.
Kisha jeshi liende live tbc kutangazia taifa kuwa jeshi limepindua serikali na kufunga mipaka yote. Kama walivyofanya huko west Africa Burkina Faso na Niger.


Zaidi ya hapo kelele zitaishia kwenye comments 🤣🤣 na vijiweni. Baada ya hapo tunakula ugali dagaa kisha tunalala.
Unaanzajeanzaje?
 
Kauli ya kichochezi hii😄
Ndio hivyo waambie wakaandamane tuwaoneshe kazi iliyofanywa hapa 👇
Screenshot_20230811-132434.jpg
 
Watoe maonyo kadri wawezavyo lakini wakumbuke jana inatofautia sana na leo, kilichoshindikana jana leo kinaweza kuwezekana na kilichowezekana jana leo kinaweza kushindwa kabisa na kikawa ni mwanzo wasioutazamia wala kuitarajia.
Ndio na wao wamesema tusiandikie mate ,tokeni mkaandamane shida Iko wapi?
 
Jeshi la Polisi Tanzania, limetoa onyo kali watu wanaotangaza mpango wa kuiangusha serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia akibainisha kuwa huu ni uhaini na hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.

Akitoa taarifa hiyo, Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camillus Wambura ameeleza kuwa taarifa hiyo imekuwa ikisambaa tanga jana Agosti 10, 2023 kwenye mitandao ya kijamii ikihusu kundi la watu ambao wameeleza kwamba wanaandaa maandamano ya nchi nzima ili kuiangusha serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya awamu ya sita kabla ya mwaka 2025 huku hoja inayotajwa ikihusu masuala ya bandari.

IGP ametaka wananchi kuzipuuza taarifa hizo za Maandamano.

Source: East Africa
Ishii! Serikali inaangushwa kwa maandamano! Labda ya wanafunzi wa vyuo.
 
Watoe maonyo kadri wawezavyo lakini wakumbuke jana inatofautia sana na leo, kilichoshindikana jana leo kinaweza kuwezekana na kilichowezekana jana leo kinaweza kushindwa kabisa na kikawa ni mwanzo wasioutazamia wala kuitarajia.
uwe wa kwanza kujitokeza, km umechoka amani utafundishwa maana ya amani ni nini. Tafuteni madaraka kwa njia halali, msije mkatafuta wa kumlaumu. Washenzi kweli. IGP punguza upole vunja viuno hao wapumbavu
 
uwe wa kwanza kujitokeza, km umechoka amani utafundishwa maana ya amani ni nini. Tafuteni madaraka kwa njia halali, msije mkatafuta wa kumlaumu. Washenzi kweli. IGP punguza upole vunja viuno hao wapumbavu
Amani maana yake nini?
 
Huuzwaji wa bandari za watanganyika kwa waarabu hautamwacha mtu salama! Ni suala la muda tu!
Yeah, hususani hao haters wanaoongozwa na udini......naana wanajiropokea tu kutokana chuki zao. Wanatokwa na vipwenene kutangaza bandari imeuzwa lkn hawasemi imeuzwa shilingi ngapi. Wamekurupuka kwenda mahakamani ambako wamepigwa KO mbaya ya shingo, wanataka sasa kuleta usungo wao. Nasema WAPIGWE tu (in Pinda's voice)
 
Back
Top Bottom