Ijue Historia ya Firauni na uongo aliozushiwa

Ijue Historia ya Firauni na uongo aliozushiwa

Wale wale... eti ukoloni!!!

Sasa kama miaka ya 1400 tulikuwa sawa, ilikuwaje tena tukazidiwa maarifa na watu ambao tulikuwa nao sawa?! Hivi mbona mnakubali kudanganywa danganywa kirahisi hivi?!

Thanks God sikusoma history manake na mimi ningeishia kudanganywa danganywa kama ambavyo mmedanganywa wengine na hamkuwa na namna; mlilazimika kumeza hayo mauongo ili hatimae muweze kufaulu mitihani!!!

Kwa historia yangu hiyo hiyo ya kuunga unga, nafahamu mtu kama Vasco Da Gama alianza kuzunguka dunia miaka zaidi 600 iliyopita!

Hao Wakoloni mnaowasingizia, waliingia Afrika wakati kule kwao wakiwa wameshapiga hatua kubwa si ya kimaendeleo tu bali pia sayansi na teknolojia...!! Hapa Afrika walikuta nini zaidi ya hayo machuma butu?! Machuma ambayo huko Ulaya yalikuwa tayari yameshaanza kutumika industrially wakati sisi huku ndo kwanza mtu analazimika kushinda kwenye moto kutengeneza kifaa duni cha chuma!!!!

Uchumi ambao Wakoloni waliuacha kwao wakati wanakuja Afrika; sio tu kwamba Afrika hatukuwa na uchumi sawa na huo lakini hadi leo hapa tunapoongea bado hatujaufikia!!!!

Nchi ambazo ziliathiriwa na ukoloni utazijua tu! Kwa mfano India, Singapore and the like! Hawa wanaweza kuwasingizia wakoloni kwa sababu, baada ya Wakoloni kuondoka, wanaonekana walivyopiga hatua!

kinyume chake, Afrika bado tunaendelea kusingizia Wakoloni ingawaje hawakukuta chochote cha maana na hata baada ya kuondoka; majority ya vile vinavyoonekana vina mafungamano na Wakoloni!!!
Hapa siwezi kupita bila like
 
Leo tutakuokoa. Kiwiliwili chako baada ya kufa ili uwe ni ukumbusho kwa watu wajao mbele,
Inasemekana alikufa ktk gharika baada ya kukufuru kwa kujiita yeye ni Mungu mkuu
Fuatilia au tafuta filaamu moja inaitwa THE MOSES inaelezea kisa chote ambacho wame act wamisri ,wao wanaijua historia kuliko wewe mnyamwezi wa Tabora

Wamisri wanaijua historia hipi?, kwani wao ndi waliokuwepo kipindi cha Moses?
 
Watu weusi tuna taabu!! Tusipojiegesha kwa Wayahudi utasikia Misri ya Kale tulikuwa sisi!!

Tulivyo maboya, upande mwingine tunaamini sisi ni watoto wa Ibrahim! Na kuhitimisha uboya kama sio ukila.za wetu hapo hapo tunakubali, Ishmael ni mtoto wa Ibrahim na huyu Ishmael mama ake alitokea Misri! Na kutokana na unduze huo huo tulionao tunakubali Ishmael ndie chimbuko la Waarabu-- kwamba mtoto wa mama Mmisri ndie chimbuko la Waarabu na hivyo kuwa na uwezekano mkubwa kwamba mama ake Ishmael nae alikuwa Mwarabu wa Misri!

Sasa hao Waarabu walienda wapi hadi Misri ikageuka kuwa ya Wamatumbi akina Firauni?! Mbona hawa Wamatumbi hatusikii kwamba ndio wanadamu wa kale nchi jirani na Misri?!

Miafrika bhana... kusikia Wayahudi eti ma-genius na yenyewe inataka kujinasibisha na Wayahudi! Kusikia Mzungu na jeuri yake yote hadi leo hafahamu mapiramidi yalijengwaje... Wamatumbi hao; kama mkojo wa asubuhi kwamba eti mapiramidi yalijengwa na mababu zao!!

Ajabu ni kwamba, hawafananii na chochote na hao kimaarifa! Japo miaka elfu kadhaa ishapita, ndo kwanza wengine tunajiita Tanzania ya Viwanda lakini viwanda vyenyewe ni vile ambavyo Ulaya vilikuwepo miaka 500 iliyopita!

Wewe alokwambia mayahud NI magenius nani? Una crame,huo u genius wao NI upi ? Ndani ya ulimwengu Wa sayansi n'a technology kuna mayahud Wangapi,
NI ujinga mkubwa kuamin kua mayahud NI magenius,hii myth imelazimishwa kuingia kwenye akil za watu na watu kuzichukulia kama NI faith kwao,
Leo utasikia eti taifa teule ,chaguo la mungu , wana akil ,Mbona wengine hatuzioni hizo akil walizonazo ,Sababu ukiingia ndani ya ulimwengu Wa sayansi mayahud NI wachache ,ugunduz Wa mambo mengi wala hawausiki ,sasa wana genius gani .hii NI myth iliyo turn into legend ,NI upuuzi .
Halafu hii mambo imekuzwa sana na Christianity,sijui taifa teule,chaguo la mungu ,my foot .ni upuuz mkubwa sana kuamin Jews NI bora kuliko others .
 
Ooh bahati mbaya siko hapa kubishana mzee, siko kwa ligi hapa! Nenda kwenye thread nyingibe unaweza kufanya ligi.
Nimefurahi kwa kunielewa.Hivyo ndivyo tunakwenda,kuutakwa utoe hoja ni kubishana.Ila tutafika.
 
Ooh bahati mbaya siko hapa kubishana mzee, siko kwa ligi hapa! Nenda kwenye thread nyingibe unaweza kufanya ligi.
Mimi sina dhana wala sikuwahi kuwa na shaka juu ya wapi kilipotokea kitabu cha Allah aliye juu.Hata kama nikinukuu ushahidi kutoka kwenye kitabu hicho siwezi kutanguliza tamko "Inawezekana..." au mfano wake sababu sina shaka juu yake.

Pia kuamini uwepo wa kitu fulani au uhakika wake si mpaka nikione mzee.Vingapi tuna viamini na hatuvioni ? Jibu vipo vingi tunavyoviamini na hatuvioni.
 
Afrika ndo bara la kwanza kuwa na chuo kikuu ktk dunia hii. Na si Afrika ya waarabu bali weusi, na ni kabla ya muingiliano na weupe wa ulaya. Sijui hapa unasemaje.
Hicho chuo cha kwanza,kilikuwa kinaitwaje na kilianzisha mwaka gani ? Tupatie faida tafadhali.
 
Karne ya 12 kilikuwa na wasomi 25000 kutoka sehemu mbalimbali za Afrika, haswa mataifa jirani na taifa la Mali la zamani.
Wasomi wa taaluma ipi?! Manake kama unatk kuzungumzia vyuo vikuu vya Mali hususani Timbuktu, inafahamika focus yao ilikuwa sana kwenye masuala ya dini ya Kiislamu na kidog masuala ya biashara ambayo pia imezungumzwa sana kwenye dini ya Kiislamu hasa ukizingatia hata Mtume Muhammad kabla ya kupata daraja la utume, alifanya sana biashara kupitia mke wake Bi. Khadija!!!

Na kwa kuthibitisha elimu haimtupi mwenye nayo; Mali hadi kesho ni taifa ambalo dini ya Kiislamu wameishika kisawasawa! Hata akina Manka Mussa tunaeambiwa ndo richest person kupata kutokea duniani, anafahamika alikuwa ni devoted muslim ambae alichangia sana katika ujenzi wa hivyo vituo vya elimu ambavyo matunda yake hadi leo yanaonekana!

Na kwavile najua utakuja na hoja ya "kwani elimu ni nini...!" Nakupa jibu kabisa.... hapa tunazungumzia elimu ile ambayo mabara ya wenzetu inawafanya wapige hatua kimaendeleo wakati sie tuko pale pale! Elimu ya huko Mali endapo ingekuwa ndo hii tunayoizungumzia hapa basi matunda ya elimu hiyo yangeendelea kuwapo hadi sasa kama tunavyoona kwenye suala la elimu ya Kiislamu!
 
Wewe alokwambia mayahud NI magenius nani? Una crame,huo u genius wao NI upi ? Ndani ya ulimwengu Wa sayansi n'a technology kuna mayahud Wangapi,
NI ujinga mkubwa kuamin kua mayahud NI magenius,hii myth imelazimishwa kuingia kwenye akil za watu na watu kuzichukulia kama NI faith kwao,
Leo utasikia eti taifa teule ,chaguo la mungu , wana akil ,Mbona wengine hatuzioni hizo akil walizonazo ,Sababu ukiingia ndani ya ulimwengu Wa sayansi mayahud NI wachache ,ugunduz Wa mambo mengi wala hawausiki ,sasa wana genius gani .hii NI myth iliyo turn into legend ,NI upuuzi .
Halafu hii mambo imekuzwa sana na Christianity,sijui taifa teule,chaguo la mungu ,my foot .ni upuuz mkubwa sana kuamin Jews NI bora kuliko others .
Unatakiwa kusoma, kutafakari ndipo utakuwa na uwezo wa kuelewa! Nimeandika "... ile kusikia eti Wayahudi ni ma-genius!" Nimesema Wayahudi ni ma-genius hapo?! Kwani watu si ndivyo wanavyoambiana kama sio kudanganyana!" Na hata ukisoma mantiki mzima ya bandiko langu inazungumzia Waafrika na tabia yao ya zoa zoa... kubeba kila wanachosikia na kukiamini!!!
 
Chuma kwenye maendeleo ya viwanda? Vilikuwaje hivyo viwanda, havikutumia kuni na makaa kama vile vya wafipa au?
Tatizo unakwepa kujibu maswali yangu! Lakini nitakujibu... tayari vilishakuwapo viwanda vinavyozalisha bidhaa na huo moto ulitumika kama nishati tu kama ambavyo leo tunatumia umeme au mafuta lakini hawakutumia moto kama tulivyokuwa tunatumia sisi... kwamba mhunzi anakaa mbele ya moto na fukufuku lake kuyeyusha chuma kabla hajaanza kulibonda bonda kutafuta umbo ambalo, end product bado ni chuma lenye kali; PERIOD! Kama ambavyo leo tunavyobangua korosho lakini end product bado ni korosho ile ile!!!

Sasa nakurudisha kwenye swali la msingi: Wakati Wakoloni wanakuja Afrika, walikuta tumepiga maendeleo kwenye sekta ipi?
  • Elimu dunia?
  • Viwanda?
  • Sayansi?
  • Teknolojia?
  • Biashara?
  • Ujenzi?
  • Other?
 
We umeyataja yapi unayoyaita maendeleo ya huko ulaya yaliyo tuzidi huku Afrika kabla ya ujio wao huku, tuanzie hapo. Mi nilikuwa nakupa kanuni za maendeleo, nadhani kwako maendeleo ni vitu si watu.
Dalili ya kushindwa kujibu hoja hii manake nilishaongea kabla kwamba:
Kwa historia yangu hiyo hiyo ya kuunga unga, nafahamu mtu kama Vasco Da Gama alianza kuzunguka dunia miaka zaidi 600 iliyopita!

Hao Wakoloni mnaowasingizia, waliingia Afrika wakati kule kwao wakiwa wameshapiga hatua kubwa si ya kimaendeleo tu bali pia sayansi na teknolojia...!! Hapa Afrika walikuta nini zaidi ya hayo machuma butu?! Machuma ambayo huko Ulaya yalikuwa tayari yameshaanza kutumika industrially wakati sisi huku ndo kwanza mtu analazimika kushinda kwenye moto kutengeneza kifaa duni cha chuma!!!!

Uchumi ambao Wakoloni waliuacha kwao wakati wanakuja Afrika; sio tu kwamba Afrika hatukuwa na uchumi sawa na huo lakini hadi leo hapa tunapoongea bado hatujaufikia!!!!

Nchi ambazo ziliathiriwa na ukoloni utazijua tu! Kwa mfano India, Singapore and the like! Hawa wanaweza kuwasingizia wakoloni kwa sababu, baada ya Wakoloni kuondoka, wanaonekana walivyopiga hatua!

kinyume chake, Afrika bado tunaendelea kusingizia Wakoloni ingawaje hawakukuta chochote cha maana na hata baada ya kuondoka; majority ya vile vinavyoonekana vina mafungamano na Wakoloni!!!
Na hata intermidiate history inasema Wakoloni walikuja Afrika kutafuta malighafi ya kulisha viwanda vyao kule Europe... kumbe walikuja huku wakati wameshapiga hatua ya viwanda kule kwao! Endapo Afrika tungekuwa tumeendelea japo kwa kilimo; nadhani historia ingekuwa sio hii... badala ya kuwa na history ya utumwa basi huenda ingekuwa history ya biashara na utumwa au hata biashara peke yake!

Kwavile textile industry ilishakua kule kwao, endapo tungekuwa angalau na textile materials huenda pangekuwa na Wakoloni wafanyabiashara ambao focus yao ingekuwa ni kununua hizo textile materials to Europe!

Itoshe tu kusema kwamba, hadi Wakoloni wanagawana Afrika tayari, Benz walishakuwa wameshatengeneza huu usafiri:

Benz01.png


Chini ya miaka 50, tayari walikuwa wameshafika hapa:
Benz02.png


Kisha tujiongeze hapa:

Benz04.png


SWALI: Hao Wafipa ambao walishakuwa Wahunzi by 1200; nini kiliwazuia kusonga mbele na teknolojia yao ya ufuaji chuma?! Unataka kusema Wakoloni walifika Ufipani before 1800 hata wakazuia maendeleo ya ukuaji wa sekta ya chuma; sekta ambayo huko Ulaya ilishapitia kutoka kwenye stage ya kufua chuma into different shape, largely kukifanya kuwa zana ya ncha kali hadi kukifanya chuma kuwa raw material ya kutengeneza bidhaa zingine!!!!

Hayo maendeleo mnayosingizia Wakoloni kwamba ndo sababu ya sisi kutoendelea ni yapi? Hayo maendeleo mnayosema kabla ya kuja kwao tulikuwa sawa na wao ni yapi?!

FREE TIP: Tip #2 nilikumbia wanahistoria walikuwa wanaandika historia zao kwa kuegemea nani ana-fund hiyo project/publishing project na matokeo yake historia ya Afrika imejaa mauongo kibao!!! Hata historia ya juzi juzi tu hapa ya Zanzibar nayo imejaa uongo!

Kama CIA wasinge-declassify classified far dated 1960's bado hadi leo tungeamini kwamba ni Hayati Baba wa Taifa ndie ali-engineer Muungano wa Tanganyika na Zanzibar! Wakati tupo shule sote sisi tumeimba nyimbo za Hayati Sheikh Abeid Aman Karume kuongoza mapinduzi wakati kuna kila dalili kwamba hakufahamu lolote kuhusu hayo mapinduzi!!!

Tip #3: Viongozi wa Afrika hawakuwa na namna ya kuwaridhisha wanaowaongoza zaidi ya kuwalisha uongo kwamba umaskini wao unatokana na Wakoloni! Walishafahamu in advance kwamba hawakuwa na uwezo wa kuifikisha Afrika pale walipoahidi kwahiyo njia muafaka ilikuwa ni kutafuta wa kuwadondoshea jumba bovu... WAKOLONI !!!!!!!! Kwamba, Wakoloni waliiba raslimali zetu... ukiuliza raslimali zipi; HUPATI JIBU na kama zipo basi ni zile ambazo hata Waafrika wenyewe hawakufahamu umuhimu wake kwahiyo they were just rubbish from African awareness!!!

Kama utajiri waliotuibia ni Fuvu la Mkwawa, NAKUBALI kinyume chake, ndo yale yale ya akina Benard Membe kwenda kuda Masalia ya Mjusi yaliyochukuliwa na Mjerumani!!!!

Tuache ujanja ujanja wa kutafuta mchawi wa matatizo yetu wenyewe vinginevyo tutaendelea kuwa masikini hivi daima!!!!

Hicho mnachosema kwamba hapo kale Afrika na Ulaya tulikuwa sawa kimaendeleo ni sawa na pale watoto wanapoanza darasa la kwanza... hawa wote wanakuwa almost equal but pumba na mchele huwa vinajitenga with time!!! Ni kama MD Students wanapoingia kwa mara ya kwanza pale Muhimbili lakini pumba na mchele hujitenga with time!!
 
Hata Yesu Kristo mwana wa Yoseph alikuwa mweusi tii na nywere za kipilipili! Na ndio sababu utotoni alifichwa Misri kumkwepa Herode, kama angekuwa mzungu kama tunavyoonyeshwa kwenye sinema huko Misri wasingemficha...ila kwakuwa alikuwa mweusi basi alichangwanywa na weusi wenzanke.
Lugha ya mifano aliyokuwa akiitumia Yesu kwa mujibu wa biblia, asili take ni hapa usukumani...wazungu hawafundushi kupitia mifano ya "mpanzi na mbengu zilizoanguka kandokando ya njia..."
Aliefichwa sio yesu ni daud
 
Back
Top Bottom