Ijue Historia ya Firauni na uongo aliozushiwa

Ijue Historia ya Firauni na uongo aliozushiwa

Mjinga na mpumbavu ni nani kama sio wewe MPUMBAVU usiye na akili unayejiita mjukuu wa Firauni!!! Pumbavu mkubwaa...

hujui historia yako bwege wewe unaropokaropoka tu unajua historia ya watu weusi wa kale unamjua general hanibal barca ambae alifanikiwa kuzichapa nchi zote na kuweka kambi mji mkuu wa roma kua alikua mweusi mwenye asili ya sudani ya kusini wewe fara unakurupuka na kubwabwaja ujinga wako hata hao wayahudi wanamakabila mengi na wakiwemo weusi na mmoja wao ni samson ila ulivyo punguani utaendelea kuidhalilisha rangi yetu na kuusifia uzungu na uarabu koko ulionao bwege wewe, mtoa mada amefungua milango ya kufanya utafiti wa kina ili tuweze kujitafakari na kujua tulikosea wapi, hivi unajua kuna kipindi africa ilitawala dunia na wote walikua wanakuja kuuza na kununua vitu africa? hivi unajua hata genius nguli wa falsafa socrates baada ya kuhukumiwa adhabu ya kifo huko kwao uigiriki vijana wake akina crito, critobulus na akina plato walimuhonga bwana jela ili wamtoroshe aje africa alexandria iliopo africa ambapo kulikua na maendeleo makuubwa..... jinga wewe usiejua historia yako....unawajua akina Anunakis walikua wa rangi gani? wastarabu hao waliogundua matumizi ya Ajmi chakra au third eye au pineal gland kama connection point kati ya mwili na roho pamoja na ujuzi wa astral projection walikua weusi....mbwa koko wewe hata hujui nini waethiopia na wa misri walianzisha kabla hata ya hao wabwege wenye kuruhusu matendo ya kishoga na usagaji na mashaka nawewe kama niwa kike utakua msagaji na kama wa kiume utakua bwabwa tu.....
 
hujui historia yako bwege wewe unaropokaropoka tu unajua historia ya watu weusi wa kale unamjua general hanibal barca ambae alifanikiwa kuzichapa nchi zote na kuweka kambi mji mkuu wa roma kua alikua mweusi mwenye asili ya sudani ya kusini wewe fara unakurupuka na kubwabwaja ujinga wako hata hao wayahudi wanamakabila mengi na wakiwemo weusi na mmoja wao ni samson ila ulivyo punguani utaendelea kuidhalilisha rangi yetu na kuusifia uzungu na uarabu koko ulionao bwege wewe, mtoa mada amefungua milango ya kufanya utafiti wa kina ili tuweze kujitafakari na kujua tulikosea wapi, hivi unajua kuna kipindi africa ilitawala dunia na wote walikua wanakuja kuuza na kununua vitu africa? hivi unajua hata genius nguli wa falsafa socrates baada ya kuhukumiwa adhabu ya kifo huko kwao uigiriki vijana wake akina crito, critobulus na akina plato walimuhonga bwana jela ili wamtoroshe aje africa alexandria iliopo africa ambapo kulikua na maendeleo makuubwa..... jinga wewe usiejua historia yako....unawajua akina Anunakis walikua wa rangi gani? wastarabu hao waliogundua matumizi ya Ajmi chakra au third eye au pineal gland kama connection point kati ya mwili na roho pamoja na ujuzi wa astral projection walikua weusi....mbwa koko wewe hata hujui nini waethiopia na wa misri walianzisha kabla hata ya hao wabwege wenye kuruhusu matendo ya kishoga na usagaji na mashaka nawewe kama niwa kike utakua msagaji na kama wa kiume utakua bwabwa tu.....
We ni mpumbavu tu huna lolote bwege wewe! Ni mpumbavu tu ndie anaweza kuonea fahari kujiita mjukuu wa Firauni!! Kwahiyo wala sina muda ya kusoma upumbavu unaondikwa na mpumbavu... kwahiyo umepoteza muda kuandika hayo matakataka yako!!!
 
how europe underdeveloped afri
nakukosoa TIMBUKTU hakikuwa chuo ila ulikuwa ni mjii wa kiarabu na mjii uliendeleaa karne hiyo na waarabu walikuwa wanafundisha dini ya kiisalmu na enzi hizo paliitwaa mjii wa timbuktu na ndio NEGER ya sasa ila walipokujaa kugundua wafaransa kuwa waarabu wanautawala na kuenezaa dini ndipo walipokujaa kuanzisha vitaa na kuubomoa mjii ulee pia ni kulifundishwaa elimu za dini ya kiisaamu na lugha ya kiraabu ..na hata leo asili ya watu wale wa niger wamegawanyika tabaka mbili weupe na weusi ...coz ya muungiliano huo ...PALE KILIKUWA KITUO USISEMEE UNIVERSITY PLEASE[/

kitabu cha water rodney cha how europe under developed africa kaelezea kulikua na vyuo vikuu vitatu vya mwanzo kabisa africa ambavyo ni azhar, timbuktu na fezi nawashangaa mnabisha kimadrasa madrasa, maana ya africa kuanzia historia ya Leo afrikanus baba yetu sisi wa africa ni kwamba africa ni bara la watu weusi na nyie warabu koko mafedhuli babu zenu walikuja na ushenzi wao kutoka huko majangwani na kuvamia maeneo ya huko kazkazini na kujifanya ni waafrika......
 
Wasomi wa taaluma ipi?! Manake kama unatk kuzungumzia vyuo vikuu vya Mali hususani Timbuktu, inafahamika focus yao ilikuwa sana kwenye masuala ya dini ya Kiislamu na kidog masuala ya biashara ambayo pia imezungumzwa sana kwenye dini ya Kiislamu hasa ukizingatia hata Mtume Muhammad kabla ya kupata daraja la utume, alifanya sana biashara kupitia mke wake Bi. Khadija!!!

Na kwa kuthibitisha elimu haimtupi mwenye nayo; Mali hadi kesho ni taifa ambalo dini ya Kiislamu wameishika kisawasawa! Hata akina Manka Mussa tunaeambiwa ndo richest person kupata kutokea duniani, anafahamika alikuwa ni devoted muslim ambae alichangia sana katika ujenzi wa hivyo vituo vya elimu ambavyo matunda yake hadi leo yanaonekana!

Na kwavile najua utakuja na hoja ya "kwani elimu ni nini...!" Nakupa jibu kabisa.... hapa tunazungumzia elimu ile ambayo mabara ya wenzetu inawafanya wapige hatua kimaendeleo wakati sie tuko pale pale! Elimu ya huko Mali endapo ingekuwa ndo hii tunayoizungumzia hapa basi matunda ya elimu hiyo yangeendelea kuwapo hadi sasa kama tunavyoona kwenye suala la elimu ya Kiislamu!
Nashukuru umejua swali ambalo ningekuuliza,, nasikitika kwamba hata uislamu huujui vyema, mi si muislamu ila najua uislamu ni full mfumo wa maisha ktk nyanja zote. Kuanzia utibabu, biashara, sayansi, historia, siasa nk.

Halafu usitoke nje ya mada mkuu. Inshu ni je waafrika hawakuweza na hawajawahi kufanya makuu na hawataweza bila msaada wa wazungu. Jibu letu, si kweli. Walishafanya makuu huko nyuma wkt ulaya lilipokuwa bara la giza.

Hilo la Timbuktu sijui farao ni viashiria tu vya haya tunayoyasimamia. Yako mengi, la msingi hapa ulitakiwa ujiulize hili tu, je watu weusi walipitia hatua walizopitia wazungu? Mfano ktk zana za chuma za mwanzo, wote walitumia teknolojia sawa? Hilo tu linatosha sana.
 
Tatizo unakwepa kujibu maswali yangu! Lakini nitakujibu... tayari vilishakuwapo viwanda vinavyozalisha bidhaa na huo moto ulitumika kama nishati tu kama ambavyo leo tunatumia umeme au mafuta lakini hawakutumia moto kama tulivyokuwa tunatumia sisi... kwamba mhunzi anakaa mbele ya moto na fukufuku lake kuyeyusha chuma kabla hajaanza kulibonda bonda kutafuta umbo ambalo, end product bado ni chuma lenye kali; PERIOD! Kama ambavyo leo tunavyobangua korosho lakini end product bado ni korosho ile ile!!!

Sasa nakurudisha kwenye swali la msingi: Wakati Wakoloni wanakuja Afrika, walikuta tumepiga maendeleo kwenye sekta ipi?
  • Elimu dunia?
  • Viwanda?
  • Sayansi?
  • Teknolojia?
  • Biashara?
  • Ujenzi?
  • Other?
Okay! Kwa maswali yako ya hapo juu, niseme wazungu walitukuta tumeshapiga hatua ktk zote hizo. Kwa mahitaji yetu ya kipindi kile, tulijitosheleza ktk idara hizo. Ulitaka tuchimbe madini tukauze nje?

Kibiashara, East Africa ilianza biashara na far east zamani sana. Cha msingi tulikuwa na kila kitu kilichotufaa ktk maisha yetu. Mabadiliko ambayo yangejiri baadae, elimu tuliyokuwa nayo ingeyakabili tu.
 
Tatizo unakwepa kujibu maswali yangu! Lakini nitakujibu... tayari vilishakuwapo viwanda vinavyozalisha bidhaa na huo moto ulitumika kama nishati tu kama ambavyo leo tunatumia umeme au mafuta lakini hawakutumia moto kama tulivyokuwa tunatumia sisi... kwamba mhunzi anakaa mbele ya moto na fukufuku lake kuyeyusha chuma kabla hajaanza kulibonda bonda kutafuta umbo ambalo, end product bado ni chuma lenye kali; PERIOD! Kama ambavyo leo tunavyobangua korosho lakini end product bado ni korosho ile ile!!!

Sasa nakurudisha kwenye swali la msingi: Wakati Wakoloni wanakuja Afrika, walikuta tumepiga maendeleo kwenye sekta ipi?
  • Elimu dunia?
  • Viwanda?
  • Sayansi?
  • Teknolojia?
  • Biashara?
  • Ujenzi?
  • Other?
Ktk ujenzi sijui ulimaanisha kitu gani mkuu, kwamba wazungu walitukuta tunaishi mapangoni au? Hiyo timbuktu ilijengwa vyema, ngome ya Zimbabwe nayo ilikuwa ni ya ustadi mkubwa. Hata hivyo, ujenzi wa nyumba na teknolojia yake, hutegemeana na mazingira ya maeneo husika.

Eneo la joto, baridi, jangwa, barafu, udongo, aina za malighafi nk. Hadi iko hivyo. Elimu ndogo ya kisasa, inaharibu mambo. Leo hii, kwa uzalamoni ukijenga nyumba ya bati, kuna kipindi itakulazimu kulala nje ndani ni joto,kwa nyumba zao hakuna hilo.
 
Hata Yesu Kristo mwana wa Yoseph alikuwa mweusi tii na nywere za kipilipili! Na ndio sababu utotoni alifichwa Misri kumkwepa Herode, kama angekuwa mzungu kama tunavyoonyeshwa kwenye sinema huko Misri wasingemficha...ila kwakuwa alikuwa mweusi basi alichangwanywa na weusi wenzanke.
Lugha ya mifano aliyokuwa akiitumia Yesu kwa mujibu wa biblia, asili take ni hapa usukumani...wazungu hawafundushi kupitia mifano ya "mpanzi na mbengu zilizoanguka kandokando ya njia..."
Hakika wewe ni njiti,njiti wengi wana uwezo mkubwa wa kufikiri
 
Tatizo unakwepa kujibu maswali yangu! Lakini nitakujibu... tayari vilishakuwapo viwanda vinavyozalisha bidhaa na huo moto ulitumika kama nishati tu kama ambavyo leo tunatumia umeme au mafuta lakini hawakutumia moto kama tulivyokuwa tunatumia sisi... kwamba mhunzi anakaa mbele ya moto na fukufuku lake kuyeyusha chuma kabla hajaanza kulibonda bonda kutafuta umbo ambalo, end product bado ni chuma lenye kali; PERIOD! Kama ambavyo leo tunavyobangua korosho lakini end product bado ni korosho ile ile!!!

Sasa nakurudisha kwenye swali la msingi: Wakati Wakoloni wanakuja Afrika, walikuta tumepiga maendeleo kwenye sekta ipi?
  • Elimu dunia?
  • Viwanda?
  • Sayansi?
  • Teknolojia?
  • Biashara?
  • Ujenzi?
  • Other?
Nini maana ya sayansi, kiwanda, biashara? Tuanzie hapo mkuu.
 
Dalili ya kushindwa kujibu hoja hii manake nilishaongea kabla kwamba:
Na hata intermidiate history inasema Wakoloni walikuja Afrika kutafuta malighafi ya kulisha viwanda vyao kule Europe... kumbe walikuja huku wakati wameshapiga hatua ya viwanda kule kwao! Endapo Afrika tungekuwa tumeendelea japo kwa kilimo; nadhani historia ingekuwa sio hii... badala ya kuwa na history ya utumwa basi huenda ingekuwa history ya biashara na utumwa au hata biashara peke yake!

Kwavile textile industry ilishakua kule kwao, endapo tungekuwa angalau na textile materials huenda pangekuwa na Wakoloni wafanyabiashara ambao focus yao ingekuwa ni kununua hizo textile materials to Europe!

Itoshe tu kusema kwamba, hadi Wakoloni wanagawana Afrika tayari, Benz walishakuwa wameshatengeneza huu usafiri:

View attachment 463863

Chini ya miaka 50, tayari walikuwa wameshafika hapa:
View attachment 463865

Kisha tujiongeze hapa:

View attachment 463866

SWALI: Hao Wafipa ambao walishakuwa Wahunzi by 1200; nini kiliwazuia kusonga mbele na teknolojia yao ya ufuaji chuma?! Unataka kusema Wakoloni walifika Ufipani before 1800 hata wakazuia maendeleo ya ukuaji wa sekta ya chuma; sekta ambayo huko Ulaya ilishapitia kutoka kwenye stage ya kufua chuma into different shape, largely kukifanya kuwa zana ya ncha kali hadi kukifanya chuma kuwa raw material ya kutengeneza bidhaa zingine!!!!

Hayo maendeleo mnayosingizia Wakoloni kwamba ndo sababu ya sisi kutoendelea ni yapi? Hayo maendeleo mnayosema kabla ya kuja kwao tulikuwa sawa na wao ni yapi?!

FREE TIP: Tip #2 nilikumbia wanahistoria walikuwa wanaandika historia zao kwa kuegemea nani ana-fund hiyo project/publishing project na matokeo yake historia ya Afrika imejaa mauongo kibao!!! Hata historia ya juzi juzi tu hapa ya Zanzibar nayo imejaa uongo!

Kama CIA wasinge-declassify classified far dated 1960's bado hadi leo tungeamini kwamba ni Hayati Baba wa Taifa ndie ali-engineer Muungano wa Tanganyika na Zanzibar! Wakati tupo shule sote sisi tumeimba nyimbo za Hayati Sheikh Abeid Aman Karume kuongoza mapinduzi wakati kuna kila dalili kwamba hakufahamu lolote kuhusu hayo mapinduzi!!!

Tip #3: Viongozi wa Afrika hawakuwa na namna ya kuwaridhisha wanaowaongoza zaidi ya kuwalisha uongo kwamba umaskini wao unatokana na Wakoloni! Walishafahamu in advance kwamba hawakuwa na uwezo wa kuifikisha Afrika pale walipoahidi kwahiyo njia muafaka ilikuwa ni kutafuta wa kuwadondoshea jumba bovu... WAKOLONI !!!!!!!! Kwamba, Wakoloni waliiba raslimali zetu... ukiuliza raslimali zipi; HUPATI JIBU na kama zipo basi ni zile ambazo hata Waafrika wenyewe hawakufahamu umuhimu wake kwahiyo they were just rubbish from African awareness!!!

Kama utajiri waliotuibia ni Fuvu la Mkwawa, NAKUBALI kinyume chake, ndo yale yale ya akina Benard Membe kwenda kuda Masalia ya Mjusi yaliyochukuliwa na Mjerumani!!!!

Tuache ujanja ujanja wa kutafuta mchawi wa matatizo yetu wenyewe vinginevyo tutaendelea kuwa masikini hivi daima!!!!

Hicho mnachosema kwamba hapo kale Afrika na Ulaya tulikuwa sawa kimaendeleo ni sawa na pale watoto wanapoanza darasa la kwanza... hawa wote wanakuwa almost equal but pumba na mchele huwa vinajitenga with time!!! Ni kama MD Students wanapoingia kwa mara ya kwanza pale Muhimbili lakini pumba na mchele hujitenga with time!!
Tumia uoni wa mbali kujua mantiki ya kila ninachokuuliza, kwangu kinanipa mantiki sana. Swali, ni sawa kwa Tanzania kutumia akili, maarifa, resources nk kutaka kuunda chombo leo, mwaka 2030 tuwe tumeshawatuma watz kwenda mwezini?
 
Mkuu hapa ni kwamba watu wamejichanganya farau yule wa musa sio huyu ila kwa kuwa majina ya wafalme wote wa misri walifanana kumbe misri ilitumia mwanya huo kujipigia pesa za kitalii kwa kuuramanisha mwili wa RAMESSES II na ule wa firauni wa musa na wana wa isleri. Tukubali matukio Yale yalikuwepo kwani ss wakristo tuna prove spiritually tunapo taja jina la yesu wachawi wanakula ngege sijui ninyi wapagani mna amini nn.
Mkuu, farao au firauni kwa kiswahili cha huku na nadhani hata kwa kiarabu, si jina bali ni cheo tu. Ni sawa nakusema mfalme, raisi, sultani nk.
 
kaka huyu jamaa najua anatumia makalio kwa ajiri ya kufikiliaa hawezii kutumia ubongoo .........anatuleteaa anavyofikilia matakoni mwakee tu..MSOMII HUWEZI LETEE UJINGA KAMA HUO KWA KUANGALIAA MOVES YOUTUBE ULETEE UZII KAMA HUOO.
Hapana, lugha uliyoitumia ni kali na haipaswi kutumika. Mjibu kwa hoja, toa hoja kinzani nk. Kesho ikibainika ulichokiita leo ujinga utasimamia wapi? Aliyejiulza kwanini embe hudondoka chini, si tu alionekana mjinga bali kichaa. Vipi leo hii matunda ya ujinga na uchizi wake yakoje?
Ubishi wa nini? Si atarudi, tutamuona, kama alikuwa Mwarabu, Mchina ama Mmatumbi!

SIKIA KAKA UNAJUA UNAONGEA NA WASOMII HUMU JF sio FB kwamba ukipost watu watalike na kushare ovyo hovyo letee evidence bwana ulichokiongeaa ni utumboo mtupuu sijaonaa fact hata mojaa ..sijuii umeyatolea wapii wwkati wazungu na hao wazee wako wanaandika vitabu na kuprove uharisia wa firauni wa ndio yeye wewe unaletaa UONGO UONGO HAPAA
 
Kwa mujibu wa maelezo yako. Je wapi kuna maendeleo zaidi kati ya Afrika na Nchi za Ulaya? Na kwanini sisi ni third world ?
Maendeleo ni nini? Nilishasema awali, tatizo letu ni tafsiri ya mambo tuyaishiyo. Si zetu, ni za kukopi na kupest, zinatusumbua. Leo kuna watu waonao kwamba maendeleo, ni magari tena ya kifahari hata yaso na tija, maghorofa marefu, nk. Je ni kweli hii ndo dhana halisi ya maendeleo?
 
Ungezaliwa miaka iyo ya firauni nisinge bisha ila kwakuwa ww pia umekopi na kupest nikwambie tu ata ww umemezeshwa jua iyo nayo ni imani ndo maana n ww umeamini.
 
nakukosoa TIMBUKTU hakikuwa chuo ila ulikuwa ni mjii wa kiarabu na mjii uliendeleaa karne hiyo na waarabu walikuwa wanafundisha dini ya kiisalmu na enzi hizo paliitwaa mjii wa timbuktu na ndio NEGER ya sasa ila walipokujaa kugundua wafaransa kuwa waarabu wanautawala na kuenezaa dini ndipo walipokujaa kuanzisha vitaa na kuubomoa mjii ulee pia ni kulifundishwaa elimu za dini ya kiisaamu na lugha ya kiraabu ..na hata leo asili ya watu wale wa niger wamegawanyika tabaka mbili weupe na weusi ...coz ya muungiliano huo ...PALE KILIKUWA KITUO USISEMEE UNIVERSITY PLEASE
Kwahyo Dar es salaam university nao ni mji, upo Tanzania au? Nyie ndio mnaowalazimisha wadau wengine watumie lugha zenye ukakasi. Unaambiwa Timbuktu university we unasema Timbuktu city za wapi?

Halafu, eti ni mji wa waarabu, Kwahyo akna Manka Musa ni waarabu? Unamjua huyu na cheo chake kwanza?

Unachoambiwa changanya na akili zako, weka shaka ktk yote. Hapo utaijua kweli, itakupa maarifa, utafurahia dunia. Fumulia mbali vifungo vyote, uwe huru. Eti mwarabu, unamjua mwarabu wewe? Wamisri, waturuki, si waarabu sawa na waindonesia walijua hilo?
 
NIMEITOA FB HII SASA NAIKUBALII AMEENDA KWENYE KEYPOINT.
UKWELI USIOZINGATIWA

Assalaam alaikum warahmatullah wabarakaatuh

Sifa zote njema zinamstahiki Allah tabaaraka wataala,na rehma na amani zimuendee kipenzi chetu na kiigizo chetu chema mtume Muhammad swallallahu alayhi wasallam na maswahaba wake na wote wenye kuwafuata mpk siku ya kiama.

Ndugu zangu leo tuusome ukweli huu kuhusu mal uuni fiaraun ambao wengi hatuujal wala hatuna mazingatio nao.

Firaun alikuwa mfalme aliyetawala taifa la misri.mfalme huyu aliyekuwa anamuabudia shetan alifika hatua ya kujiita mola wa waisrael. Aliwatesa sana huku akiwaua watoto wa kiume kwa hofu ya kupinduliwa utawala wake. Wakat mwingine Allah hufanya jambo lake kupitia adui yake. Baada ya nabii Mussa alayhi salaam kuzaliwa alilelewa na firaun.

Baadae Allah akampa unabii na kumtuma mjumbe wake huyo kwa firaun ili kuwaokoa wana was Israel. Wakat wakiyakimbia majeshi ya firaun Musa na waisrael walifika pwani ya bahar ya red sea alielekezwa na Allah apige fimbo yake bahar na baada ya kufanya jivyo bahar ikajitenga wakapita. Allah anasema

فَأَوْحَيْنَا إِلَىٰ مُوسَىٰ أَنِ اضْرِبْ بِعَصَاكَ الْبَحْرَ ۖ فَانْفَلَقَ فَكَانَ كُلُّ فِرْقٍ كَالطَّوْدِ الْعَظِيمِ

Tulimletea wahyi Musa tukamwambia: Piga bahari kwa fimbo yako. Basi ikatengana, na kila sehemu ikawa kama mlima mkubwa.

Baada ya kuvuka upande wa pili majeshi ya firaun nayo yakawa yameshaingia na kufik katikat ya bahar. Nabii Musa akawa hajui afanyeje kwa kuwa firaun hakuwa mbali nao. Allah akamwambia akamwambia Mussa alayhi salaam

وَاتْرُكِ الْبَحْرَ رَهْوًا ۖ إِنَّهُمْ جُنْدٌ مُغْرَقُونَ

Na iache bahari vivyo hivyo imeachana, hakika wao hao ni jeshi litakalo zamishwa.

Allah akayaangamiza majeshi ya firaun naye pia akaangamia. Baada ya tukio hill ndio ukawa mwisho wa mal uuni huyu yy na jeshi lake.

Mwaka 1898 kwa mara ya kwaza baada ya miaka mingi sana kupita mwili wa firaun ukaonekana kando ya bahar ya red sea nchini misri. Mwili huo ulikutwa haujaoza ,ulikuw kama umeopolewa siku chache. Ikaaminiwa na wamisri kwanba huo sio mwili wa yeyote yule said ya firaun, baadaye ukahamishiwa katika jumba la makumbusho mpk leo .

Mwaka 1981 rais wa ufaransa ,Fransisco mata aliutaka mwili wa firaun kutoka serekal ya misri ili waufanyie uchunguz na wabaini huo mwili ni wa nan na kwann hauozi.

Akaagiza jopo la wanasayans likiongozwa na dokta wa upasuaji( surgeon) bingwa duniani wa wakat huo aliyeitwa professor Maurice bucaille kuufanyia uchunguzi mwili huo. Wanasayans hawa hawakuon dawa wala kemikal yeyote ktk mwili huo inayosababisha mwili huo kutooza kama binadam wengine. Baada ya uchunguzi wao waligundua mwili huo ulikuwa umejaa chumvi nyingi inayothibitisha kuwa uliopolewa baharin. Baada ya njia za kisayansi kufel kupata ukweli kuhusu mwili huo ni wa nani na kwann hauozi ikabid wawahoji viongoz wa dini.

Wakatazama katika biblia na kukuta kuwa ndani ya biblia hakuna mahala popote penye maelezo kuhusu mwili huo. Biblia inasema:
KUTOKA 14 : 27-28

Mussa akaunyoosha mkono wake juu ya bahari na kulipopambazuka ikarudi kwa nguvu zake, wamisri wakakimbilia mbele yake na BWANA akawakukutia mbali hao wamisri kati ya bahar. Yale maji yakarud yakafunikiza magar na wapanda farasi hata jeshi lote la Farao lililoingia katika bahar nyuma yao hakusalia hata mtu mmoja.

Hapo biblia inabainisha kwamba firaun na jeshi lake lote waliangamizwa na hakuna aliesalia.

Swali likazid kuwa gumu na kukosa jibu kwa wanasayansi hao kuwa mwili huo ni wa nan na kwann hauozi????

Ndipo wakashauriwa kuiuliza qur an ( kitabu chetu waislam) ambapo baada ya kuiuliza qur an walijibiwa na kufahamishwa kila walichokuwa wakihitaj. Qur an ikawaambia kwamba huo mwili ni wa firaun na Allah aliamua kuuihifadhi ili uwe Ishara kwa watu watakaoishi duniani zama za mwisho. Allah anasema

فَالْيَوْمَ نُنَجِّيكَ بِبَدَنِكَ لِتَكُونَ لِمَنْ خَلْفَكَ آيَةً ۚ وَإِنَّ كَثِيرًا مِنَ النَّاسِ عَنْ آيَاتِنَا لَغَافِلُونَ
Basi leo tutauokoa mwili wako, ili uwe Ishara kwa ajili ya walio nyuma yako. Na hakika watu wengi wameghafilika na Ishara zetu.

Mabwana hawa wakawa wamepata kilichowasunbua kwa muda mrefu lakini kubwa ni kwamba:

Hapa kuna mambo mengi tunajifunza sisi tunaoishi duniani hivi sasa kwa kuwa huyu mtu Allah alimuhifadhi ili awe ishara kwamba yeyote atakaewakadhibisha wajumbe wa Allah mwisho wake ni kuangamizwa( kama ambavyo leo waislam tunavyompinga mtume Muhammad swallallahu alayhi wasallam. Mfano hai:

Mtume swallallahu alayhi wasallam alisema tukiona Majumba yanaenda juu yaani maghorofa tujue ni dalili ya kiama. Leo waislam magorofa tumeyaona lakini tunasema MAENDELEO.

hivi kati ya mtume swallallahu alayhi wasallam na sisi anayeyajua maendeleo nan???

Kwa kauli yake kuwa ghorofa ni dalili ya kiama sie kusema ni maendeleo na baadhi ya misikiti yetu mpk majumba yetu ni ghorofa hapa hatujampinga????

Lengo la kutuambia ghorofa ni dalili ya kiama ni ili na sie tujenge????

Inna lillaah wainnaa ilayh raajiuun

Mtume swallallahu alayhi wasallam tunampenda mdomoni tu lakin mioyoni mwetu hayupo.

Allah anasema tena kuhusu firaaun Laanatullaah alayhi

فَجَعَلْنَاهُمْ سَلَفًا وَمَثَلًا لِلْآخِرِينَ

Kisha tukawafanya( firauni na waliomtwii) kuwa watangulizi na mfano kwa vizazi vitakavyokuja baadaye( ambao ndio Sisi tuliokuja baada ya firauni Laanatullaah alayhi)

Firauni alikataa ujumbe wa Allah tabaaraka wataala alioletewa na Mussa alayhi salaam. Akawambia watu wake

أَمْ أَنَا خَيْرٌ مِنْ هَٰذَا الَّذِي هُوَ مَهِينٌ وَلَا يَكَادُ يُبِينُ

Au mimi si bora kuliko huyu aliye mnyonge, wala hawezi kusema waziwazi?

Katika tafsir ya ibn kathiir asema Ibnu jariir ( radhi za Allah zimuendee) asema firauni alimaanisha musa alayh salaam hakuwa na jeshi, mamlaka ya utawala na hakuwa na mali sasa vp wafuate ilhal musa alayh salaam hana kitu( choka mbaya)

Watu wakamsikiza na kumkubal wakauacha ujumbe wa Allah mwisho wake wakaangamizwa wote.

Na hata ss wajumbe wa Allah haya ndio yanayowakuta kwa kuwa hawana mali, jeshi wala mamlaka hivyo watu wwanawadharau na kuwachukulia kama waomba misaada. Mfano wetu ni firauni Laanatullaah alayhi.

Allah atunusuru

Inasemekana professor MAURICE BUCAILLE alisilimu akaamua kujifunza na kiarabu na baadae aliandika kitabu kinachoitwa THE QUR AN, THE BIBLE AND SCIENCE akifafanua ukweli na usahihi wa qur an tukufu.

Tukio hili pia ni la ajabu na mazingatio kwa wenye kutafuta haki, mwili wa mtu kutooza mpk leo Kw zaid ya miaka 3000 kupita na mpaka NYWELE zake pia hazijanyonyoka.

Makosa aliyoyafanya mtu huyu ya kujiita na kujinadi kuwa yeye ni Mungu ni makosa makubwa yaliyosababisha Allah akaamua kumuweka ili kila atakaezaliwa hapa duniani amshuhudie mpk dunia itakapomalizika kabisa.

Makosa aliyoyafanya firaaun Laanatullaah alayhi ndio yanayofanywa na viongozi wetu wa sasa. Na wenye jukumu la kukemea ni sisi waislam ( Mashekh, maulamaa kwa kuwa wao ndio warithi wa mitume)

Msiba mkubwa ni kwamba mashekh na maulamaa( WAISLAM) tunayakubal haya ndio maana tu kimyaaaaaa. Na hii ndio moja ya sababu za waislam kupigwa na kudhalilishwa duniani, na mpaka jina zuri wakatuchagulia,saivi wanatuita GAIDI/ MAGAIDI

Ipo siku tutakutana na aliyetupa jukumu la kukemea haya yanayofanyika sijui tutamjibu nn.

Kwa elimu zaid ingia you tube andika zama za mwisho 1

Imeandaliwa na elber mmbaga

0675648283

na

hassan mrisho

0678932949
Hautakuja uijue kweli kamwe. Umeufunga ubongo wako. Kila kitu huko kiko sawa.
 
hujui historia yako bwege wewe unaropokaropoka tu unajua historia ya watu weusi wa kale unamjua general hanibal barca ambae alifanikiwa kuzichapa nchi zote na kuweka kambi mji mkuu wa roma kua alikua mweusi mwenye asili ya sudani ya kusini wewe fara unakurupuka na kubwabwaja ujinga wako hata hao wayahudi wanamakabila mengi na wakiwemo weusi na mmoja wao ni samson ila ulivyo punguani utaendelea kuidhalilisha rangi yetu na kuusifia uzungu na uarabu koko ulionao bwege wewe, mtoa mada amefungua milango ya kufanya utafiti wa kina ili tuweze kujitafakari na kujua tulikosea wapi, hivi unajua kuna kipindi africa ilitawala dunia na wote walikua wanakuja kuuza na kununua vitu africa? hivi unajua hata genius nguli wa falsafa socrates baada ya kuhukumiwa adhabu ya kifo huko kwao uigiriki vijana wake akina crito, critobulus na akina plato walimuhonga bwana jela ili wamtoroshe aje africa alexandria iliopo africa ambapo kulikua na maendeleo makuubwa..... jinga wewe usiejua historia yako....unawajua akina Anunakis walikua wa rangi gani? wastarabu hao waliogundua matumizi ya Ajmi chakra au third eye au pineal gland kama connection point kati ya mwili na roho pamoja na ujuzi wa astral projection walikua weusi....mbwa koko wewe hata hujui nini waethiopia na wa misri walianzisha kabla hata ya hao wabwege wenye kuruhusu matendo ya kishoga na usagaji na mashaka nawewe kama niwa kike utakua msagaji na kama wa kiume utakua bwabwa tu.....
Mkaka umenikumbusha huyu general, ndo jenerali mkuu kupita wote ktk historia ya dunia hii, alitoa kanuni, "kama hakuna njia tengeneza yako "
 
Maendeleo ni nini? Nilishasema awali, tatizo letu ni tafsiri ya mambo tuyaishiyo. Si zetu, ni za kukopi na kupest, zinatusumbua. Leo kuna watu waonao kwamba maendeleo, ni magari tena ya kifahari hata yaso na tija, maghorofa marefu, nk. Je ni kweli hii ndo dhana halisi ya maendeleo?
Kwanini useme Gari sio maendeleo? Kwani ukiugua ghafla utapelekwa hospitali kilomita 100 kwa punda??

-Maendeleo ni wazi kabisa kuweza kuwa na Barabara nzuri kila pande na Miundombinu mizuri.
-Viwanda vizuri vya uzalishaji wa bidhaa bora.
-Maendeleo ni uwezo wa mtoto kupata Elimu Bora.
-Maendeleo ni kua na hospitali nzuri na zenye vifaa vya kisasa kwa ajili ya Magonjwa Makubwa makubwa.

Kaka yako mengi sana katika suala la maendeleo.

Sasa nauliza Tena kati yetu sisi Waafrika na Nchi za Ulaya wapi kuna maedeleo zaidi?
 
Kwanini useme Gari sio maendeleo? Kwani ukiugua ghafla utapelekwa hospitali kilomita 100 kwa punda??

-Maendeleo ni wazi kabisa kuweza kuwa na Barabara nzuri kila pande na Miundombinu mizuri.
-Viwanda vizuri vya uzalishaji wa bidhaa bora.
-Maendeleo ni uwezo wa mtoto kupata Elimu Bora.
-Maendeleo ni kua na hospitali nzuri na zenye vifaa vya kisasa kwa ajili ya Magonjwa Makubwa makubwa.

Kaka yako mengi sana katika suala la maendeleo.

Sasa nauliza Tena kati yetu sisi Waafrika na Nchi za Ulaya wapi kuna maedeleo zaidi?
Bahati mbaya wewe sio Chige, nashindwa nikujibuje. Natamani nijue Age taaluma na kiwango cha elimu, lakini sio fair. Basi endelea kunifatilia mkuu. Najua unahtaji kuelimika. Kweli itakutoa utumwani na itakupa maarifa, pamoja mkuu. Quiz, kama kusingekuwa na magonjwa hospital zingejengwa?
 
Back
Top Bottom