Ijue Historia ya Firauni na uongo aliozushiwa

Ijue Historia ya Firauni na uongo aliozushiwa

Hata Yesu Kristo mwana wa Yoseph alikuwa mweusi tii na nywere za kipilipili! Na ndio sababu utotoni alifichwa Misri kumkwepa Herode, kama angekuwa mzungu kama tunavyoonyeshwa kwenye sinema huko Misri wasingemficha...ila kwakuwa alikuwa mweusi basi alichangwanywa na weusi wenzanke.
Lugha ya mifano aliyokuwa akiitumia Yesu kwa mujibu wa biblia, asili take ni hapa usukumani...wazungu hawafundushi kupitia mifano ya "mpanzi na mbengu zilizoanguka kandokando ya njia..."
Sasa nyie mjiulize siku hyo nan alikuwa anarecord hizo ni simuliz za manabii MTU akisoma anatengeneza ambavyo watu weupe walitutangulia kwa technologia
 
Mkuu hapa ni kwamba watu wamejichanganya farau yule wa musa sio huyu ila kwa kuwa majina ya wafalme wote wa misri walifanana kumbe misri ilitumia mwanya huo kujipigia pesa za kitalii kwa kuuramanisha mwili wa RAMESSES II na ule wa firauni wa musa na wana wa isleri. Tukubali matukio Yale yalikuwepo kwani ss wakristo tuna prove spiritually tunapo taja jina la yesu wachawi wanakula ngege sijui ninyi wapagani mna amini nn.
 
Mpaka sasa ukoo wa daud uliopo ni wa watu weusi ambao ni waethiopia pia Israel nayo iko Africa bahar ndo ilisababisha waipeleke kule
 
Umesema yesu alikua msukuma .mim najua yesu alikua mchagga tena wa marangu na mlima aliokua akienda kusali siku zile alizokua anafunga siku arobaini ni mlima kilimanjaro.
 
najivunia rangi yangu na uafrika wangu....sijali nimetokea wapi...naamini asili yng... ni bara la afrika... naamini uwepo wa mtu mweusi ni kusudio la mwenyezi mungu....
 
Ubishi wa nini? Si atarudi, tutamuona, kama alikuwa Mwarabu, Mchina ama Mmatumbi!
 
Kaka nimesoma andiko lako vizuri mno.Na nimeona mapungufu yafuatayo.

1.Hujaonyesha ushahidi wa kutosha ya kuwa ni kweli firauni hakufa katika gharika lililotokea wakati wa Musa alayhi salaam.Kwa kuwasingizia wale wenye kuamini hivyo ya kuwa wanadai tu na si wa kweli au hawana uhakika juu ya hilo.Kanuni za ujibuji wa hoja ni kuwa wewe mwenye kukanusha jambo hutangulizwa sababu unaonekana una elimu ya ziada juu ya jambo husika.Cha kusikitisha umeshindwa kulithibitisha hilo.

2. Jambo la pili ni kuhusu umri.Imekuja katika historia ya kuwa watu wa kale walikuwa wanaishi mpaka zaidi ya miaka 900,huo nimetoa mfano wa kukuzindua juu ya uhakiki wa habari za kihistoria. Kila zama zilikuwa na tabia kadiri ambavyo Mola aliye juu amepanga.Kwanza huwezi kunithibitishia ya kuwa Firauni alikufa akiwa na miaka 80.
Je unaweza kunithibitishia ya kuwa kwa umri umati za zamani mtu mwenye miaka 80 ni mzee ?

3.Unaonekana ya kuwa,kutokana na uelewa wenye imanai za dini huwa wanafata vitu kibubuswa yaani kichwa mchunga,kama una amini hivyo unakosea sana.Mathalani uma huu sisi huwa tunauita umma wa Muhammad,ni kuwa wastani wa kuishi ni miaka 70.Jua ya kuwa na umati zilizopita zilikuwa zina makadirio yao ya kuishi.Hapa nimekupa faida tu.

4.Pia kuwa na shahada,shahada ya uzamili au shahada ya uzamivu,si kipimo cha mtu kuwa na upeo wa juu kabisa wa kuhoji mambo au kung'amua mambo.Mawazo haya si sahihi.Mola wetu muadilifu sana,wapo watu hata hawajaenda huko kwenye usekula lakini wanang'amua mambo kwa upeo wa juu zaidi.
SIKIA KAKA UNAJUA UNAONGEA NA WASOMII HUMU JF sio FB kwamba ukipost watu watalike na kushare ovyo hovyo letee evidence bwana ulichokiongeaa ni utumboo mtupuu sijaonaa fact hata mojaa ..sijuii umeyatolea wapii wwkati wazungu na hao wazee wako wanaandika vitabu na kuprove uharisia wa firauni wa ndio yeye wewe unaletaa UONGO UONGO HAPAA
 
We jamaa kiazi kweli!! Just with Youtube video ndo unakuja with confidence kwamba eti "acha ubishi.....!!"

That's one but two; hata ukisikiliza hiyo video uliyoweka mwenyewe maelezo mengi ni "... is believed!" WHY is believed? Kwa sababu since then hadi sasa hakuna conclusive evidence kuhusu ancient egyptians. Akina nyie mnaokoteza hypothesis mbalimbali mnakuja na conclusion!!!

By the way, kama Ramses III probably ni Mkenya, Msudani, Mu-Ethiopia au yeyote kati ya hao uliowataja!! How come tena anakuwa babu yako wewe usiye Mkenya Msudan au yeyote miongoni mwa hao?! Au ndo yale yale niliyosema kwamba mnashindwa kujikubali mlivyo na matokeo yake mnaamua kujinasibisha na viumbe vinavyotajwa tajwa sana?!

The problem ya watu kama nyinyi ipo hivi: pakitokea crossbreeing kati ya Mzungu na Mwafrika... mtoto atakayezaliwa hata kama atakuwa mweupe namna gani na nywele nyoronyoro;Wazungu watamkataa na watamuita Mwafrika!!! There's no way atatambulika kama Mzungu!!!

Na ikitokea muhusika Mzungu Mwafrika amekuw mtu mzima na akakataa kwamba si Mwwafrika bali ni Mzungu; ni Waafrika ndio wataongoza kumlaani kwa "kujifanya mzungu!" Suala la kujiuliza ni kwamba, ikiwa mzazi mmoja ni mzungu na mwingine ni Mwafrika... kwanini asiwe Mzungu na ionekane kwamba yeye ni Mwafrika TU?!

Matokeo yake ndo haya! Hakuna evidence yoyote inayothibitisha (sio ku-claim) kwamba baba na mama wa akina Ramsey ni Wabantu lakini kwavile Waafrika ni zoa zoa kwavile hawana cha kujivunia; ndo hapo akina nyie mnakuja hapa na kusema eti Farao ni babu yenu!!!!

VERY FUNNY!
kaka CHIGE katika UZI nilipata kuona wa uongo wakwanza ni huu hivi unaletaa vitu vya kishamba ok fine letee evidence na umetoa kwa prof.ganii labda maana sijamuelewaa kabisa anachokusudia nini ....
 
Wakati wa Mussa kuondoka na Wana wa Israel .Farauni alikua na Miaka Mingapi?
kaka huyu jamaa najua anatumia makalio kwa ajiri ya kufikiliaa hawezii kutumia ubongoo .........anatuleteaa anavyofikilia matakoni mwakee tu..MSOMII HUWEZI LETEE UJINGA KAMA HUO KWA KUANGALIAA MOVES YOUTUBE ULETEE UZII KAMA HUOO.
 
Kwani kwako maendeleo ni nini? Tatzo kuu letu ni tafsiri sahihi kwa kila jambo. Na huu ndo utumwa wetu mkuu. Ili uoneshe kuwa umeendelea lazima ujenge ghorofa hata kama uko na ardhi nyingi.

Lazima uunde treni hata kama wewe maisha yako ni Mafia na yanajitosheleza hukohuko Mafia. Uhuru wa kifkra ni muhimu sana. Ukipima kwa mawanda mapana sana, maisha ya Afrika baada ya ukoloni hadi hii 2017 yana ustawi butu ukilinganisha kabla ya ujio wa mgeni yeyote.

Wewe bado unafikra manzese ndo mjini kwa wajanja zaidi ya Kiluvya, au Kibamba..... Ila huyo umwitae mungu mzungu hawezi ishi manzese bali Kibamba.
Kwa mujibu wa maelezo yako. Je wapi kuna maendeleo zaidi kati ya Afrika na Nchi za Ulaya? Na kwanini sisi ni third world ?
 
Hao walikuwa na elimu kubwa sana ya kuhifadhi miili kwa muda mrefu, mtu akishakufa walikuwa wanamtoa internal organs zote (Figo, Moyo, Maini, utumbo, mapafu, bandama nk) ambazo mara nyingi huwa ni rahisi kuharibika, kisha wanaviweka kwenye vyungu maalumu, na mwili uliobakia bila viungo vya ndani, wanaupaka dawa ambazo zinauezo wa kutunza mwili pamoja na nywele na kisha wanauzunguzia sanda ana bandeji maalumu

Sio Mapharaoh tu ndio waliokuwa wamafanyiwa hivyo, bali hata watu maarufu, Baba yeke Yusuph/Joseph mzee Yakub/Jakob alifia Misri na alikaushwa kama hivyo na aliwekwa kwenye sanduku kama wanavyofanywa mMapharao na alipelekwa kuzikwa kwao
JAMAA LABDA ULISOMA CHUO GANII EMBUU TUAMBIRRE HUENDAA AKATOKEA UDSM huyu tusiwwe tunamlaumuu na historia zake
 
Leo tutakuokoa. Kiwiliwili chako baada ya kufa ili uwe ni ukumbusho kwa watu wajao mbele,
Inasemekana alikufa ktk gharika baada ya kukufuru kwa kujiita yeye ni Mungu mkuu
Fuatilia au tafuta filaamu moja inaitwa THE MOSES inaelezea kisa chote ambacho wame act wamisri ,wao wanaijua historia kuliko wewe mnyamwezi wa Tabora
FACT BIGS MOVES
 
Timbuktu university, was the world's oldest university mkuu.
nakukosoa TIMBUKTU hakikuwa chuo ila ulikuwa ni mjii wa kiarabu na mjii uliendeleaa karne hiyo na waarabu walikuwa wanafundisha dini ya kiisalmu na enzi hizo paliitwaa mjii wa timbuktu na ndio NEGER ya sasa ila walipokujaa kugundua wafaransa kuwa waarabu wanautawala na kuenezaa dini ndipo walipokujaa kuanzisha vitaa na kuubomoa mjii ulee pia ni kulifundishwaa elimu za dini ya kiisaamu na lugha ya kiraabu ..na hata leo asili ya watu wale wa niger wamegawanyika tabaka mbili weupe na weusi ...coz ya muungiliano huo ...PALE KILIKUWA KITUO USISEMEE UNIVERSITY PLEASE
 
Wasomi wa taaluma ipi?! Manake kama unatk kuzungumzia vyuo vikuu vya Mali hususani Timbuktu, inafahamika focus yao ilikuwa sana kwenye masuala ya dini ya Kiislamu na kidog masuala ya biashara ambayo pia imezungumzwa sana kwenye dini ya Kiislamu hasa ukizingatia hata Mtume Muhammad kabla ya kupata daraja la utume, alifanya sana biashara kupitia mke wake Bi. Khadija!!!

Na kwa kuthibitisha elimu haimtupi mwenye nayo; Mali hadi kesho ni taifa ambalo dini ya Kiislamu wameishika kisawasawa! Hata akina Manka Mussa tunaeambiwa ndo richest person kupata kutokea duniani, anafahamika alikuwa ni devoted muslim ambae alichangia sana katika ujenzi wa hivyo vituo vya elimu ambavyo matunda yake hadi leo yanaonekana!

Na kwavile najua utakuja na hoja ya "kwani elimu ni nini...!" Nakupa jibu kabisa.... hapa tunazungumzia elimu ile ambayo mabara ya wenzetu inawafanya wapige hatua kimaendeleo wakati sie tuko pale pale! Elimu ya huko Mali endapo ingekuwa ndo hii tunayoizungumzia hapa basi matunda ya elimu hiyo yangeendelea kuwapo hadi sasa kama tunavyoona kwenye suala la elimu ya Kiislamu!
WAFARANSA walikuja kuibomoa elimu ile
 
NIMEITOA FB HII SASA NAIKUBALII AMEENDA KWENYE KEYPOINT.
UKWELI USIOZINGATIWA

Assalaam alaikum warahmatullah wabarakaatuh

Sifa zote njema zinamstahiki Allah tabaaraka wataala,na rehma na amani zimuendee kipenzi chetu na kiigizo chetu chema mtume Muhammad swallallahu alayhi wasallam na maswahaba wake na wote wenye kuwafuata mpk siku ya kiama.

Ndugu zangu leo tuusome ukweli huu kuhusu mal uuni fiaraun ambao wengi hatuujal wala hatuna mazingatio nao.

Firaun alikuwa mfalme aliyetawala taifa la misri.mfalme huyu aliyekuwa anamuabudia shetan alifika hatua ya kujiita mola wa waisrael. Aliwatesa sana huku akiwaua watoto wa kiume kwa hofu ya kupinduliwa utawala wake. Wakat mwingine Allah hufanya jambo lake kupitia adui yake. Baada ya nabii Mussa alayhi salaam kuzaliwa alilelewa na firaun.

Baadae Allah akampa unabii na kumtuma mjumbe wake huyo kwa firaun ili kuwaokoa wana was Israel. Wakat wakiyakimbia majeshi ya firaun Musa na waisrael walifika pwani ya bahar ya red sea alielekezwa na Allah apige fimbo yake bahar na baada ya kufanya jivyo bahar ikajitenga wakapita. Allah anasema

فَأَوْحَيْنَا إِلَىٰ مُوسَىٰ أَنِ اضْرِبْ بِعَصَاكَ الْبَحْرَ ۖ فَانْفَلَقَ فَكَانَ كُلُّ فِرْقٍ كَالطَّوْدِ الْعَظِيمِ

Tulimletea wahyi Musa tukamwambia: Piga bahari kwa fimbo yako. Basi ikatengana, na kila sehemu ikawa kama mlima mkubwa.

Baada ya kuvuka upande wa pili majeshi ya firaun nayo yakawa yameshaingia na kufik katikat ya bahar. Nabii Musa akawa hajui afanyeje kwa kuwa firaun hakuwa mbali nao. Allah akamwambia akamwambia Mussa alayhi salaam

وَاتْرُكِ الْبَحْرَ رَهْوًا ۖ إِنَّهُمْ جُنْدٌ مُغْرَقُونَ

Na iache bahari vivyo hivyo imeachana, hakika wao hao ni jeshi litakalo zamishwa.

Allah akayaangamiza majeshi ya firaun naye pia akaangamia. Baada ya tukio hill ndio ukawa mwisho wa mal uuni huyu yy na jeshi lake.

Mwaka 1898 kwa mara ya kwaza baada ya miaka mingi sana kupita mwili wa firaun ukaonekana kando ya bahar ya red sea nchini misri. Mwili huo ulikutwa haujaoza ,ulikuw kama umeopolewa siku chache. Ikaaminiwa na wamisri kwanba huo sio mwili wa yeyote yule said ya firaun, baadaye ukahamishiwa katika jumba la makumbusho mpk leo .

Mwaka 1981 rais wa ufaransa ,Fransisco mata aliutaka mwili wa firaun kutoka serekal ya misri ili waufanyie uchunguz na wabaini huo mwili ni wa nan na kwann hauozi.

Akaagiza jopo la wanasayans likiongozwa na dokta wa upasuaji( surgeon) bingwa duniani wa wakat huo aliyeitwa professor Maurice bucaille kuufanyia uchunguzi mwili huo. Wanasayans hawa hawakuon dawa wala kemikal yeyote ktk mwili huo inayosababisha mwili huo kutooza kama binadam wengine. Baada ya uchunguzi wao waligundua mwili huo ulikuwa umejaa chumvi nyingi inayothibitisha kuwa uliopolewa baharin. Baada ya njia za kisayansi kufel kupata ukweli kuhusu mwili huo ni wa nani na kwann hauozi ikabid wawahoji viongoz wa dini.

Wakatazama katika biblia na kukuta kuwa ndani ya biblia hakuna mahala popote penye maelezo kuhusu mwili huo. Biblia inasema:
KUTOKA 14 : 27-28

Mussa akaunyoosha mkono wake juu ya bahari na kulipopambazuka ikarudi kwa nguvu zake, wamisri wakakimbilia mbele yake na BWANA akawakukutia mbali hao wamisri kati ya bahar. Yale maji yakarud yakafunikiza magar na wapanda farasi hata jeshi lote la Farao lililoingia katika bahar nyuma yao hakusalia hata mtu mmoja.

Hapo biblia inabainisha kwamba firaun na jeshi lake lote waliangamizwa na hakuna aliesalia.

Swali likazid kuwa gumu na kukosa jibu kwa wanasayansi hao kuwa mwili huo ni wa nan na kwann hauozi????

Ndipo wakashauriwa kuiuliza qur an ( kitabu chetu waislam) ambapo baada ya kuiuliza qur an walijibiwa na kufahamishwa kila walichokuwa wakihitaj. Qur an ikawaambia kwamba huo mwili ni wa firaun na Allah aliamua kuuihifadhi ili uwe Ishara kwa watu watakaoishi duniani zama za mwisho. Allah anasema

فَالْيَوْمَ نُنَجِّيكَ بِبَدَنِكَ لِتَكُونَ لِمَنْ خَلْفَكَ آيَةً ۚ وَإِنَّ كَثِيرًا مِنَ النَّاسِ عَنْ آيَاتِنَا لَغَافِلُونَ
Basi leo tutauokoa mwili wako, ili uwe Ishara kwa ajili ya walio nyuma yako. Na hakika watu wengi wameghafilika na Ishara zetu.

Mabwana hawa wakawa wamepata kilichowasunbua kwa muda mrefu lakini kubwa ni kwamba:

Hapa kuna mambo mengi tunajifunza sisi tunaoishi duniani hivi sasa kwa kuwa huyu mtu Allah alimuhifadhi ili awe ishara kwamba yeyote atakaewakadhibisha wajumbe wa Allah mwisho wake ni kuangamizwa( kama ambavyo leo waislam tunavyompinga mtume Muhammad swallallahu alayhi wasallam. Mfano hai:

Mtume swallallahu alayhi wasallam alisema tukiona Majumba yanaenda juu yaani maghorofa tujue ni dalili ya kiama. Leo waislam magorofa tumeyaona lakini tunasema MAENDELEO.

hivi kati ya mtume swallallahu alayhi wasallam na sisi anayeyajua maendeleo nan???

Kwa kauli yake kuwa ghorofa ni dalili ya kiama sie kusema ni maendeleo na baadhi ya misikiti yetu mpk majumba yetu ni ghorofa hapa hatujampinga????

Lengo la kutuambia ghorofa ni dalili ya kiama ni ili na sie tujenge????

Inna lillaah wainnaa ilayh raajiuun

Mtume swallallahu alayhi wasallam tunampenda mdomoni tu lakin mioyoni mwetu hayupo.

Allah anasema tena kuhusu firaaun Laanatullaah alayhi

فَجَعَلْنَاهُمْ سَلَفًا وَمَثَلًا لِلْآخِرِينَ

Kisha tukawafanya( firauni na waliomtwii) kuwa watangulizi na mfano kwa vizazi vitakavyokuja baadaye( ambao ndio Sisi tuliokuja baada ya firauni Laanatullaah alayhi)

Firauni alikataa ujumbe wa Allah tabaaraka wataala alioletewa na Mussa alayhi salaam. Akawambia watu wake

أَمْ أَنَا خَيْرٌ مِنْ هَٰذَا الَّذِي هُوَ مَهِينٌ وَلَا يَكَادُ يُبِينُ

Au mimi si bora kuliko huyu aliye mnyonge, wala hawezi kusema waziwazi?

Katika tafsir ya ibn kathiir asema Ibnu jariir ( radhi za Allah zimuendee) asema firauni alimaanisha musa alayh salaam hakuwa na jeshi, mamlaka ya utawala na hakuwa na mali sasa vp wafuate ilhal musa alayh salaam hana kitu( choka mbaya)

Watu wakamsikiza na kumkubal wakauacha ujumbe wa Allah mwisho wake wakaangamizwa wote.

Na hata ss wajumbe wa Allah haya ndio yanayowakuta kwa kuwa hawana mali, jeshi wala mamlaka hivyo watu wwanawadharau na kuwachukulia kama waomba misaada. Mfano wetu ni firauni Laanatullaah alayhi.

Allah atunusuru

Inasemekana professor MAURICE BUCAILLE alisilimu akaamua kujifunza na kiarabu na baadae aliandika kitabu kinachoitwa THE QUR AN, THE BIBLE AND SCIENCE akifafanua ukweli na usahihi wa qur an tukufu.

Tukio hili pia ni la ajabu na mazingatio kwa wenye kutafuta haki, mwili wa mtu kutooza mpk leo Kw zaid ya miaka 3000 kupita na mpaka NYWELE zake pia hazijanyonyoka.

Makosa aliyoyafanya mtu huyu ya kujiita na kujinadi kuwa yeye ni Mungu ni makosa makubwa yaliyosababisha Allah akaamua kumuweka ili kila atakaezaliwa hapa duniani amshuhudie mpk dunia itakapomalizika kabisa.

Makosa aliyoyafanya firaaun Laanatullaah alayhi ndio yanayofanywa na viongozi wetu wa sasa. Na wenye jukumu la kukemea ni sisi waislam ( Mashekh, maulamaa kwa kuwa wao ndio warithi wa mitume)

Msiba mkubwa ni kwamba mashekh na maulamaa( WAISLAM) tunayakubal haya ndio maana tu kimyaaaaaa. Na hii ndio moja ya sababu za waislam kupigwa na kudhalilishwa duniani, na mpaka jina zuri wakatuchagulia,saivi wanatuita GAIDI/ MAGAIDI

Ipo siku tutakutana na aliyetupa jukumu la kukemea haya yanayofanyika sijui tutamjibu nn.

Kwa elimu zaid ingia you tube andika zama za mwisho 1

Imeandaliwa na elber mmbaga

0675648283

na

hassan mrisho

0678932949
 
Watu weusi tuna taabu!! Tusipojiegesha kwa Wayahudi utasikia Misri ya Kale tulikuwa sisi!!

Tulivyo maboya, upande mwingine tunaamini sisi ni watoto wa Ibrahim! Na kuhitimisha uboya kama sio ukila.za wetu hapo hapo tunakubali, Ishmael ni mtoto wa Ibrahim na huyu Ishmael mama ake alitokea Misri! Na kutokana na unduze huo huo tulionao tunakubali Ishmael ndie chimbuko la Waarabu-- kwamba mtoto wa mama Mmisri ndie chimbuko la Waarabu na hivyo kuwa na uwezekano mkubwa kwamba mama ake Ishmael nae alikuwa Mwarabu wa Misri!

Sasa hao Waarabu walienda wapi hadi Misri ikageuka kuwa ya Wamatumbi akina Firauni?! Mbona hawa Wamatumbi hatusikii kwamba ndio wanadamu wa kale nchi jirani na Misri?!

Miafrika bhana... kusikia Wayahudi eti ma-genius na yenyewe inataka kujinasibisha na Wayahudi! Kusikia Mzungu na jeuri yake yote hadi leo hafahamu mapiramidi yalijengwaje... Wamatumbi hao; kama mkojo wa asubuhi kwamba eti mapiramidi yalijengwa na mababu zao!!

Ajabu ni kwamba, hawafananii na chochote na hao kimaarifa! Japo miaka elfu kadhaa ishapita, ndo kwanza wengine tunajiita Tanzania ya Viwanda lakini viwanda vyenyewe ni vile ambavyo Ulaya vilikuwepo miaka 500 iliyopita!

Umeandika kwa kejeli na dharau kuuuwakati kumbe unadhihirisha ujinga wako hasa katika mambo ya kihistoria... juzi juzi tu hapa oldiva gorge Dr Leaky na mkewe waligundua fuvu la binadama wakale kabisa kuishi duniani lenye umri wa zaidi ya miaka milion 4 aliishi Africa wewe na upumbavu wako unatuletea habari za agano la kale na jipya ambayo ukihesabu umri wa kuanzia adam mpaka yesu haijafika miaka elf 20.....

acha ubwege kama kuna mambo huyajua ni bora uulize au ukae kimya dawa ikuingie.........
 
Umeandika kwa kejeli na dharau kuuuwakati kumbe unadhihirisha ujinga wako hasa katika mambo ya kihistoria... juzi juzi tu hapa oldiva gorge Dr Leaky na mkewe waligundua fuvu la binadama wakale kabisa kuishi duniani lenye umri wa zaidi ya miaka milion 4 aliishi Africa wewe na upumbavu wako unatuletea habari za agano la kale na jipya ambayo ukihesabu umri wa kuanzia adam mpaka yesu haijafika miaka elf 20.....

acha ubwege kama kuna mambo huyajua ni bora uulize au ukae kimya dawa ikuingie.........

Mjinga na mpumbavu ni nani kama sio wewe MPUMBAVU usiye na akili unayejiita mjukuu wa Firauni!!! Pumbavu mkubwaa na bwege lililopitiliza mipaka ya ubegwe!

Na ulivyo mpumbavu na bwege usiye na akili wala hufahamu kwamba hakuna aliyekataa uwepo wa firauni au masalia yake! Sasa huo mfano wa Dr. Leakey unaingiaje hapa? Au huyo Dr. Leakey alisema hilo fuvu ni la nani? Mpumbavu mkubwa ambae ulienda shule kukariri
 
Back
Top Bottom