Ijue Historia ya Firauni na uongo aliozushiwa

Ijue Historia ya Firauni na uongo aliozushiwa

Kwani kwako maendeleo ni nini? Tatzo kuu letu ni tafsiri sahihi kwa kila jambo. Na huu ndo utumwa wetu mkuu. Ili uoneshe kuwa umeendelea lazima ujenge ghorofa hata kama uko na ardhi nyingi.

Lazima uunde treni hata kama wewe maisha yako ni Mafia na yanajitosheleza hukohuko Mafia. Uhuru wa kifkra ni muhimu sana. Ukipima kwa mawanda mapana sana, maisha ya Afrika baada ya ukoloni hadi hii 2017 yana ustawi butu ukilinganisha kabla ya ujio wa mgeni yeyote.

Wewe bado unafikra manzese ndo mjini kwa wajanja zaidi ya Kiluvya, au Kibamba..... Ila huyo umwitae mungu mzungu hawezi ishi manzese bali Kibamba.
We jamaa kwa viroja hujambo!!! Mbona unazidi kumbwela mbwela tu hapa! Nimekuuliza hapa taja hapa hayo maendeleo unayosema!!! Mbona swali rahisi sana..... Au ndo huo ufuaji wa chuma kwa kujianika kwenye moto ili hatimae upate kitu cha kuchimbia wakati wengine walikuwa wameshapita hapo na walishafika kwenye kutumia chuma kwenye maendeleo ya viwanda!!!
 
Nilipenda na kukubaliana kwa kiasi kikubwa na maelezo yako umenifukuza mbali kabisa na wewe kwenye eneo la Waafrika hamna cha kujivunia.Tuna vingi vya kujivunia tangu kale hata sasa.
Sasa kama tuna cha kujivunia; shida yote ya nini ya kujinasibisha na watu ambao hata asili yao hatuijui!! Na mimi ningependa sana tuwe na cha kujivunia lakini inaonekana hatuna na ndio maana tumekuwa ni watu wa kujiegemeza egemeza tu!!!!
 
kwa hiyo herode alikuwa Muzungu??? na alikuwa katika nchi ipi maana kuna siku nimesoma kuwa hiyo israel na misri walikuwa wanaishi watu weusi
Ni kweli kuwa waizrael/wayahudi ni weusi na wametapakaa dunia nzima, hao wazungu mnao waona Israel ni wahamiaji tu
 
Sasa kama tuna cha kujivunia; shida yote ya nini ya kujinasibisha na watu ambao hata asili yao hatuijui!!!

Kujinasabisha na wengine ni upuuzi ila kwamba hatuna cha kujivunia kwa maoni yangu ni upuuzi Zaidi.Nina lundo la maelezo ya maeneo tuliyofanya vizuri kuliko binadamu mwingine yeyote toka kale hata sasa.

Kipindi hicho mnachojadiliana kuhusu filauni uhuni ulikuwa mkubwa huko wengine wanakoona kuna waungwana.Arabuni,Babeli,Rumi na Israeli ya wakati huo kimbilio salama la walionewa lilikuwa Misri.Misri ipo Afrika.

Maandishi ya kwanza ya binadamu yalianzia Misri.Watalii waliomua kwenda wanapotaka kwa gharama zao kushuhudia wanayosimuliwa walikuwa waafrika,rejea ziara ya malkia wa Kushi kumtembelea mfalme wa Israel aliyeitwa Suleiman mwana wa Daudi.

Njaa ilipoikabili Israel kimbilio lao lilikuwa Misri.Misri ni Afrika.

Rejea simulizi za Walter Rodney" How Europe underdeveloped Africa",usiishie tu kusoma habari zake fuatilia sababu/kiini cha kifo chake utajua kiwango cha uwezo wa akili zetu.Huko mbali fuatilia Patrice Lumumba na nmna alivyomalizwa kikatili utajua uwezo wetu wa akili ukoje.Shida ni mamluki na kundi dogo wanaotamani kuwa watumwa milele.

Afrika hatujapungukiwa uwezo wa akili wala raslimali,tumebweteka kwa utajiri uliokithiri( najua unafuata ubishi na matusi mengi),nitatoa kielelezo.Mwajiriwa anayelipwa Tsh.1000,000/=( take home) na mfugaji wa kimasai au kisukuma mwenye ng'ombe 50 anaozurula nao mchna na usiku,jua lake na mvua yake ukikutana nao njiani utamwona nani tajiri aliyefanikiwa? wengi watamwona mopkea 1,000,000/= Kila mwezi tajiri kwa kungalia anavyokula, anavyo vaa, simu aliyo nayo, kagari kamkopo nk.Mfugaji mwenye mgolole ataonekana omba omba. Sitisha ajira mwezi mmoja tu,utajua nani tajiri kati yao.

Ndiyo tofauti yetu na hao ambao miongoni mwao wanatamani kujinasabisha nao.Wana mbwe mbwe hawana kitu Zaidi yetu ila shida zimepanua matumizi ya akili zao.Nitabaki Mwafrika na kujivunia uafrika.

Kwa mada iliyo mezani awe Filauni au Farao maadam alikuwa mtawala wa Misri na kama ngozi yake nyeusi kama yangu huyo ni sehemu yangu,makosa yake ni makosa yetu kinachonitenganisha naye ni maungamo yangu kwenye makosa aliyoyatenda.Damu ya thamani kubwa ilinitenganisha na kila uovu.

Baraka za Ibrahimu zitaambatana name kwa kuwa nilishiriki kuwatunza watumishi wa MUNGU waliofukuzwa na kukataliwa na wakwake.

Ninajua kuwa historia ya kweli Misri ni ya waafrika halisi weusi kama tulivyo.
 
Kwani kutosoma histori ndo kusoma sayansi...we wa wapi wewe!!! By the way, unadhani hayo uliyoongea ndo yanafuta ukweli kwamba mmedanganywa?!!

Badala ya kuruka ruka... jibu hizo hoja!

Wakati wakoloni wanaingia Afrika tayari huko kwao walikuwa wameshapiga hatua kubwa ya kimaendeleo kuanzia sayansi, teknolojia na tayari nchi zao zilishakuwa ni za viwanda!

SWALI: Hapa Afrika walikuta nini hadi mseme tulikuwa sawa? Hiyo ndo hoja... jibu!!

ANOTHER PROBLEM: Hapo juu nilitaja tatizo la kwanza la watu kama nyinyi! Tatizo la pili, mnadhani mtu akiwa na msimamo kama mimi ni kwamba huyo mtu ana utumwa wa kuabudu Wazungu!!! Msichofahamu ni kwamba, watu kama sisi huwa hatupendi blah blah za kusingizia watu matatizo ya kwetu wenyewe!! Ni kiroja hadi karne ya 21 bado watu wanaingizia ukoloni lakini cha ajabu hata ukiwauliza hao wakoloni walikuta tumepiga hatua ipi hakuna anayekupa jibu la kueleweka!!!

Kingine msichotaka kukubali ni kwamba vitabu vya historia hususani hivi vya Afrika vinaegemea kwa yule anaye-fund publication! There's no way kitabu kilichogharamiwa na Pan Africanist kama Nyerere kiandike eti Wakoloni waliingia Afrika wakati Waafrika wakiwa hawawezi hata kutengeneza njiti za kuchokonolea meno!!
Kuna kitu unakikosea hapa, hoja ya msingi ni utumwa wa kifikra juu ya weusi wetu kutokuweza lolote bila ya weupe. Ndo maana wajuvi wanakwambia tujikomboe, tuuondoe huo utumwa.

Mwaka 1600,ulaya walikuwa na teknolojia ipi ambayo Afrika haikuwepo? Kama wanyama walitumika kwa usafiri vivyo hivyo kwa Afrika. Kama upepo ulitumika kwa usafiri na Afrika pia, kilimo ni kwa jembe la mkono kote, na mengine ni tofauti tu ya kimazingira. Au ulidhani walishakuwa na ndege, umeme magari nk?

Halafu kama unakuwa muwazi kidogo, hapa hatutumii historia ya darasani. Ni ya kimazingira na uhalisia zaidi hapa.

Na teknplojia si lazima mojakwamoja uibuni wewe, unaweza ukaiingiza toka kwa wengine na ndivyo ilivyotokea ulaya.

Afrika ilikutwa iko na mifumo yake ya kisayansi, kisheria, kisiasa,kitabibu na kijamii. Na hadi leo, inaonesha ilikuwa bora kuliko hii mifumo mipya tuloletewa. Kulikuwa na viwanda vyetu, vyenye teknolojia sawa na vya ulaya tofauti labda ni ukubwa tu.

Jinsi nguo ilivyotengenezwa ndivyo tulivyotengeneza sie. Uhunzi ulitumia teknolojia ileile ya kuwasha moto kwa upepo kama kwa wafipa tu.
 
We jamaa kwa viroja hujambo!!! Mbona unazidi kumbwela mbwela tu hapa! Nimekuuliza hapa taja hapa hayo maendeleo unayosema!!! Mbona swali rahisi sana..... Au ndo huo ufuaji wa chuma kwa kujianika kwenye moto ili hatimae upate kitu cha kuchimbia wakati wengine walikuwa wameshapita hapo na walishafika kwenye kutumia chuma kwenye maendeleo ya viwanda!!!
We umeyataja yapi unayoyaita maendeleo ya huko ulaya yaliyo tuzidi huku Afrika kabla ya ujio wao huku, tuanzie hapo. Mi nilikuwa nakupa kanuni za maendeleo, nadhani kwako maendeleo ni vitu si watu.
 
We jamaa kwa viroja hujambo!!! Mbona unazidi kumbwela mbwela tu hapa! Nimekuuliza hapa taja hapa hayo maendeleo unayosema!!! Mbona swali rahisi sana..... Au ndo huo ufuaji wa chuma kwa kujianika kwenye moto ili hatimae upate kitu cha kuchimbia wakati wengine walikuwa wameshapita hapo na walishafika kwenye kutumia chuma kwenye maendeleo ya viwanda!!!
Afrika ndo bara la kwanza kuwa na chuo kikuu ktk dunia hii. Na si Afrika ya waarabu bali weusi, na ni kabla ya muingiliano na weupe wa ulaya. Sijui hapa unasemaje.
 
We jamaa kwa viroja hujambo!!! Mbona unazidi kumbwela mbwela tu hapa! Nimekuuliza hapa taja hapa hayo maendeleo unayosema!!! Mbona swali rahisi sana..... Au ndo huo ufuaji wa chuma kwa kujianika kwenye moto ili hatimae upate kitu cha kuchimbia wakati wengine walikuwa wameshapita hapo na walishafika kwenye kutumia chuma kwenye maendeleo ya viwanda!!!
Chuma kwenye maendeleo ya viwanda? Vilikuwaje hivyo viwanda, havikutumia kuni na makaa kama vile vya wafipa au?
 
Kwani RED INDIANS WA NORTH AMERICA WAKO WAPI? na AUSTRALIA wale watu wa asili wako wapi? MZUNGU NENDA NAE KWA HEKIMA NA BUSARA PAMOJA NA UFAHAMU WA HALI YA JUU. ..
Kidogo afute weusi south.mzungu co mtu kbisaa
 
Watu weusi tuna taabu!! Tusipojiegesha kwa Wayahudi utasikia Misri ya Kale tulikuwa sisi!!

Tulivyo maboya, upande mwingine tunaamini sisi ni watoto wa Ibrahim! Na kuhitimisha uboya kama sio ukila.za wetu hapo hapo tunakubali, Ishmael ni mtoto wa Ibrahim na huyu Ishmael mama ake alitokea Misri! Na kutokana na unduze huo huo tulionao tunakubali Ishmael ndie chimbuko la Waarabu-- kwamba mtoto wa mama Mmisri ndie chimbuko la Waarabu na hivyo kuwa na uwezekano mkubwa kwamba mama ake Ishmael nae alikuwa Mwarabu wa Misri!

Sasa hao Waarabu walienda wapi hadi Misri ikageuka kuwa ya Wamatumbi akina Firauni?! Mbona hawa Wamatumbi hatusikii kwamba ndio wanadamu wa kale nchi jirani na Misri?!

Miafrika bhana... kusikia Wayahudi eti ma-genius na yenyewe inataka kujinasibisha na Wayahudi! Kusikia Mzungu na jeuri yake yote hadi leo hafahamu mapiramidi yalijengwaje... Wamatumbi hao; kama mkojo wa asubuhi kwamba eti mapiramidi yalijengwa na mababu zao!!

Ajabu ni kwamba, hawafananii na chochote na hao kimaarifa! Japo miaka elfu kadhaa ishapita, ndo kwanza wengine tunajiita Tanzania ya Viwanda lakini viwanda vyenyewe ni vile ambavyo Ulaya vilikuwepo miaka 500 iliyopita!
naomba uniambie u-genius wa wayahudi ni upi??
 
Mimi niliyeukubali Uafrika wangu na nyie ambao mara mjinasibishe na Wayahudi mara mjinasibishe na akina Farao; ni kati yetu anayestahili kuitwa nyani?! Ni nani kati yetu anayejidharau?! Unaona ulivyo na akili za kitumwa?! Kumbe kutokuwa tayari kujinasibisha na akina Farao ni sawa na kuwa takataka! Na ili usiwe takataka ndio maana hamuishi kujinasibisha na akina Farao na Wayahudi?! Halafu ona unavyotoa mifano irrelevant! Sasa hao Wachina wamejinasibisha na Mafarao?!

Mtu kama mimi ninayekubali Uafrika wangu bila kujinasibisha na yeyote siwezi kujisikia takataka lakini wewe unaeamini eti Farao huenda alikuwa babu yako ndie unayejiona takataka cuz' you can't stand on your own!

Badala ya kunyesha mapovu; jibu hoja!
Mkuu kumbuka duniaani kuna matukio mengi kutokana na Muda hivyo si vibaya watu kusoma na kutafuta ukweli juu ya historia husika pia kumbuka kuna vitu vingi duniani vinaficha wa malengo fulani hivyo si vibaya kutafuta ukweli wake.Na ni rahisi pia ni vigumu kujua ukweli,lakini unaweza ukajiuliza kwa nini kitu/historia iliyo sahihi iwe na contridiction ndani yake?? kwa nini kisiwe 100% sure ndipo hapo watu huanza kujifunza zaidi-kwa hiyo lengo sio kujifannanisha na hao mafarao
 
Duh wapi kasema yeye ni mwarabu? Je kuwa mwarabu ni dhambi? Acha ubaguzi haufai
aliyeumba watu akawapa utofauti wa rangi amisha halalisha ubaguzi,hivyo ubaguzi upo na utaendelea kuwepo mpaka mwisho wa dunia
 
We jamaa kiazi kweli!! Just with Youtube video ndo unakuja with confidence kwamba eti "acha ubishi.....!!"

That's one but two; hata ukisikiliza hiyo video uliyoweka mwenyewe maelezo mengi ni "... is believed!" WHY is believed? Kwa sababu since then hadi sasa hakuna conclusive evidence kuhusu ancient egyptians. Akina nyie mnaokoteza hypothesis mbalimbali mnakuja na conclusion!!! kila tafiti huanza na hypothesisi na si kila tafiti inahitaji conclusive evidence ya asilimia 100 ndio maana matokeo ya utafiti yanaanzia na asilimia fulani 0.5%,0.7% mpaka 0.9% (hii ni kutokana na mazingira ya kinyakati) hii inatokana na ku research kitu ambacho hukuwepo kipindi kinatokea
By the way, kama Ramses III probably ni Mkenya, Msudani, Mu-Ethiopia au yeyote kati ya hao uliowataja!! How come tena anakuwa babu yako wewe usiye Mkenya Msudan au yeyote miongoni mwa hao kumbuka hamna tofauti kati ya kenya na Tanzania iliyopo ni mipaka ambayo sote tunajua iliwekwa na wakoloni ?! Au ndo yale yale niliyosema kwamba mnashindwa kujikubali mlivyo na matokeo yake mnaamua kujinasibisha na viumbe vinavyotajwa tajwa sana?!

The problem ya watu kama nyinyi ipo hivi: pakitokea crossbreeing kati ya Mzungu na Mwafrika... mtoto atakayezaliwa hata kama atakuwa mweupe namna gani na nywele nyoronyoro;Wazungu watamkataa na watamuita Mwafrika!!! There's no way atatambulika kama Mzungu!!!

Na ikitokea muhusika Mzungu Mwafrika amekuw mtu mzima na akakataa kwamba si Mwwafrika bali ni Mzungu; ni Waafrika ndio wataongoza kumlaani kwa "kujifanya mzungu!" Suala la kujiuliza ni kwamba, ikiwa mzazi mmoja ni mzungu na mwingine ni Mwafrika... kwanini asiwe Mzungu na ionekane kwamba yeye ni Mwafrika TU?!

Matokeo yake ndo haya! Hakuna evidence yoyote inayothibitisha (sio ku-claim) kwamba baba na mama wa akina Ramsey ni Wabantu lakini kwavile Waafrika ni zoa zoa kwavile hawana cha kujivunia; ndo hapo akina nyie mnakuja hapa na kusema eti Farao ni babu yenu!!!!

VERY FUNNY!
 
Wale wale... eti ukoloni!!!

Sasa kama miaka ya 1400 tulikuwa sawa, ilikuwaje tena tukazidiwa maarifa na watu ambao tulikuwa nao sawa?! kabla ya kuuliza hili swali ulisha wahi jiuliza inakuwaje Mapacha wawili wa jinsiia inayofanana walioz aliwa pamoja inakuwaje wanatofautiana uwezo wa kufikiri wakiwa wakubwa ?? Hivi mbona mnakubali kudanganywa danganywa kirahisi hivi?!

Thanks God sikusoma history historia sio lazima usomee unaweza ipata pia kwa njia ya simulizi manake na mimi ningeishia kudanganywa danganywa kama ambavyo mmedanganywa wengine na hamkuwa na namna; mlilazimika kumeza hayo mauongo ili hatimae muweze kufaulu mitihani!!!

Kwa historia yangu hiyo hiyo ya kuunga unga, nafahamu mtu kama Vasco Da Gama alianza kuzunguka dunia miaka zaidi 600 iliyopita!

Hao Wakoloni mnaowasingizia, waliingia Afrika wakati kule kwao wakiwa wameshapiga hatua kubwa si ya kimaendeleo tu bali pia sayansi na teknolojia...!! Hapa Afrika walikuta nini zaidi ya hayo machuma butu?! Machuma ambayo huko Ulaya yalikuwa tayari yameshaanza kutumika industrially wakati sisi huku ndo kwanza mtu analazimika kushinda kwenye moto kutengeneza kifaa duni cha chuma!!!! we jamaa kweli inakubidi usome historia kama wewe mwenyewe unakili kuwa tayari walikuwa wamisha endelea kiviwanda kule kwao na bado wanakuja afrika,kwani hujui kuwa viwanda vinahitaji resource za ??? hujui kuwa resources nyingi duniani ni Non-renewable

Uchumi ambao Wakoloni waliuacha kwao wakati wanakuja Afrika; sio tu kwamba Afrika hatukuwa na uchumi sawa na huo lakini hadi leo hapa tunapoongea bado hatujaufikia!!!!

Nchi ambazo ziliathiriwa na ukoloni utazijua tu! Kwa mfano India, Singapore and the like! Hawa wanaweza kuwasingizia wakoloni kwa sababu, baada ya Wakoloni kuondoka, wanaonekana walivyopiga hatua! kaka ukoloni nao ulikuwa na matabaka na muda ,ukoloni walifanyia wahindi si sawa na waliofanyiwa Waaafrika kumbuka wahindi na hao wa Asia bado ni rangi Nyeupe so usitegemee walichokifanya india ndicho walichokifanya afrika-mateso ya ukoloni kwa nchi za kiafrika halizidi zaidi.


kinyume chake, Afrika bado tunaendelea kusingizia Wakoloni ingawaje hawakukuta chochote cha maana na hata baada ya kuondoka; majority ya vile vinavyoonekana vina mafungamano na Wakoloni!!!
 
Kwani kutosoma histori ndo kusoma sayansi...we wa wapi wewe!!! By the way, unadhani hayo uliyoongea ndo yanafuta ukweli kwamba mmedanganywa?!!

Badala ya kuruka ruka... jibu hizo hoja!

Wakati wakoloni wanaingia Afrika tayari huko kwao walikuwa wameshapiga hatua kubwa ya kimaendeleo kuanzia sayansi, teknolojia na tayari nchi zao zilishakuwa ni za viwanda!

SWALI: Hapa Afrika walikuta nini hadi mseme tulikuwa sawa? Hiyo ndo hoja... jibu!! hapa Afrika walikuta natural resources nyingi tofauti na kwao,kuna utofauti wa muda kati ya kipindi ambacho nchi za africa na ulaya zilikuwa na sawa kimaendeleo na muda wa kuingia kwa ukoloni afrika,kwa kurahisisha jibu ni kuwa Maendeleo yanayosema yalikuwa sawa baina ya nchi za kiafrika na ulaya ilikuwa karne ya 16 na utumwa uliingia karne ya 19
ANOTHER PROBLEM: Hapo juu nilitaja tatizo la kwanza la watu kama nyinyi! Tatizo la pili, mnadhani mtu akiwa na msimamo kama mimi ni kwamba huyo mtu ana utumwa wa kuabudu Wazungu!!! Msichofahamu ni kwamba, watu kama sisi huwa hatupendi blah blah za kusingizia watu matatizo ya kwetu wenyewe!! Ni kiroja hadi karne ya 21 bado watu wanaingizia ukoloni lakini cha ajabu hata ukiwauliza hao wakoloni walikuta tumepiga hatua ipi hakuna anayekupa jibu la kueleweka!!!

Kingine msichotaka kukubali ni kwamba vitabu vya historia hususani hivi vya Afrika vinaegemea kwa yule anaye-fund publication! There's no way kitabu kilichogharamiwa na Pan Africanist kama Nyerere kiandike eti Wakoloni waliingia Afrika wakati Waafrika wakiwa hawawezi hata kutengeneza njiti za kuchokonolea meno!!
 
Leo tutakuokoa. Kiwiliwili chako baada ya kufa ili uwe ni ukumbusho kwa watu wajao mbele,
Inasemekana alikufa ktk gharika baada ya kukufuru kwa kujiita yeye ni Mungu mkuu
Fuatilia au tafuta filaamu moja inaitwa THE MOSES inaelezea kisa chote ambacho wame act wamisri ,wao wanaijua historia kuliko wewe mnyamwezi wa Tabora
 
Back
Top Bottom