leodigardcyrilo
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 3,340
- 1,748
Sasa nyie mjiulize siku hyo nan alikuwa anarecord hizo ni simuliz za manabii MTU akisoma anatengeneza ambavyo watu weupe walitutangulia kwa technologiaHata Yesu Kristo mwana wa Yoseph alikuwa mweusi tii na nywere za kipilipili! Na ndio sababu utotoni alifichwa Misri kumkwepa Herode, kama angekuwa mzungu kama tunavyoonyeshwa kwenye sinema huko Misri wasingemficha...ila kwakuwa alikuwa mweusi basi alichangwanywa na weusi wenzanke.
Lugha ya mifano aliyokuwa akiitumia Yesu kwa mujibu wa biblia, asili take ni hapa usukumani...wazungu hawafundushi kupitia mifano ya "mpanzi na mbengu zilizoanguka kandokando ya njia..."
Herrode galilaya pilato romaHerode nadhani alikuwa ni mtu kutoka Roma, sina uhakika sana.
SIKIA KAKA UNAJUA UNAONGEA NA WASOMII HUMU JF sio FB kwamba ukipost watu watalike na kushare ovyo hovyo letee evidence bwana ulichokiongeaa ni utumboo mtupuu sijaonaa fact hata mojaa ..sijuii umeyatolea wapii wwkati wazungu na hao wazee wako wanaandika vitabu na kuprove uharisia wa firauni wa ndio yeye wewe unaletaa UONGO UONGO HAPAAKaka nimesoma andiko lako vizuri mno.Na nimeona mapungufu yafuatayo.
1.Hujaonyesha ushahidi wa kutosha ya kuwa ni kweli firauni hakufa katika gharika lililotokea wakati wa Musa alayhi salaam.Kwa kuwasingizia wale wenye kuamini hivyo ya kuwa wanadai tu na si wa kweli au hawana uhakika juu ya hilo.Kanuni za ujibuji wa hoja ni kuwa wewe mwenye kukanusha jambo hutangulizwa sababu unaonekana una elimu ya ziada juu ya jambo husika.Cha kusikitisha umeshindwa kulithibitisha hilo.
2. Jambo la pili ni kuhusu umri.Imekuja katika historia ya kuwa watu wa kale walikuwa wanaishi mpaka zaidi ya miaka 900,huo nimetoa mfano wa kukuzindua juu ya uhakiki wa habari za kihistoria. Kila zama zilikuwa na tabia kadiri ambavyo Mola aliye juu amepanga.Kwanza huwezi kunithibitishia ya kuwa Firauni alikufa akiwa na miaka 80.
Je unaweza kunithibitishia ya kuwa kwa umri umati za zamani mtu mwenye miaka 80 ni mzee ?
3.Unaonekana ya kuwa,kutokana na uelewa wenye imanai za dini huwa wanafata vitu kibubuswa yaani kichwa mchunga,kama una amini hivyo unakosea sana.Mathalani uma huu sisi huwa tunauita umma wa Muhammad,ni kuwa wastani wa kuishi ni miaka 70.Jua ya kuwa na umati zilizopita zilikuwa zina makadirio yao ya kuishi.Hapa nimekupa faida tu.
4.Pia kuwa na shahada,shahada ya uzamili au shahada ya uzamivu,si kipimo cha mtu kuwa na upeo wa juu kabisa wa kuhoji mambo au kung'amua mambo.Mawazo haya si sahihi.Mola wetu muadilifu sana,wapo watu hata hawajaenda huko kwenye usekula lakini wanang'amua mambo kwa upeo wa juu zaidi.
kaka CHIGE katika UZI nilipata kuona wa uongo wakwanza ni huu hivi unaletaa vitu vya kishamba ok fine letee evidence na umetoa kwa prof.ganii labda maana sijamuelewaa kabisa anachokusudia nini ....We jamaa kiazi kweli!! Just with Youtube video ndo unakuja with confidence kwamba eti "acha ubishi.....!!"
That's one but two; hata ukisikiliza hiyo video uliyoweka mwenyewe maelezo mengi ni "... is believed!" WHY is believed? Kwa sababu since then hadi sasa hakuna conclusive evidence kuhusu ancient egyptians. Akina nyie mnaokoteza hypothesis mbalimbali mnakuja na conclusion!!!
By the way, kama Ramses III probably ni Mkenya, Msudani, Mu-Ethiopia au yeyote kati ya hao uliowataja!! How come tena anakuwa babu yako wewe usiye Mkenya Msudan au yeyote miongoni mwa hao?! Au ndo yale yale niliyosema kwamba mnashindwa kujikubali mlivyo na matokeo yake mnaamua kujinasibisha na viumbe vinavyotajwa tajwa sana?!
The problem ya watu kama nyinyi ipo hivi: pakitokea crossbreeing kati ya Mzungu na Mwafrika... mtoto atakayezaliwa hata kama atakuwa mweupe namna gani na nywele nyoronyoro;Wazungu watamkataa na watamuita Mwafrika!!! There's no way atatambulika kama Mzungu!!!
Na ikitokea muhusika Mzungu Mwafrika amekuw mtu mzima na akakataa kwamba si Mwwafrika bali ni Mzungu; ni Waafrika ndio wataongoza kumlaani kwa "kujifanya mzungu!" Suala la kujiuliza ni kwamba, ikiwa mzazi mmoja ni mzungu na mwingine ni Mwafrika... kwanini asiwe Mzungu na ionekane kwamba yeye ni Mwafrika TU?!
Matokeo yake ndo haya! Hakuna evidence yoyote inayothibitisha (sio ku-claim) kwamba baba na mama wa akina Ramsey ni Wabantu lakini kwavile Waafrika ni zoa zoa kwavile hawana cha kujivunia; ndo hapo akina nyie mnakuja hapa na kusema eti Farao ni babu yenu!!!!
VERY FUNNY!
kaka huyu jamaa najua anatumia makalio kwa ajiri ya kufikiliaa hawezii kutumia ubongoo .........anatuleteaa anavyofikilia matakoni mwakee tu..MSOMII HUWEZI LETEE UJINGA KAMA HUO KWA KUANGALIAA MOVES YOUTUBE ULETEE UZII KAMA HUOO.Wakati wa Mussa kuondoka na Wana wa Israel .Farauni alikua na Miaka Mingapi?
Kwa mujibu wa maelezo yako. Je wapi kuna maendeleo zaidi kati ya Afrika na Nchi za Ulaya? Na kwanini sisi ni third world ?Kwani kwako maendeleo ni nini? Tatzo kuu letu ni tafsiri sahihi kwa kila jambo. Na huu ndo utumwa wetu mkuu. Ili uoneshe kuwa umeendelea lazima ujenge ghorofa hata kama uko na ardhi nyingi.
Lazima uunde treni hata kama wewe maisha yako ni Mafia na yanajitosheleza hukohuko Mafia. Uhuru wa kifkra ni muhimu sana. Ukipima kwa mawanda mapana sana, maisha ya Afrika baada ya ukoloni hadi hii 2017 yana ustawi butu ukilinganisha kabla ya ujio wa mgeni yeyote.
Wewe bado unafikra manzese ndo mjini kwa wajanja zaidi ya Kiluvya, au Kibamba..... Ila huyo umwitae mungu mzungu hawezi ishi manzese bali Kibamba.
JAMAA LABDA ULISOMA CHUO GANII EMBUU TUAMBIRRE HUENDAA AKATOKEA UDSM huyu tusiwwe tunamlaumuu na historia zakeHao walikuwa na elimu kubwa sana ya kuhifadhi miili kwa muda mrefu, mtu akishakufa walikuwa wanamtoa internal organs zote (Figo, Moyo, Maini, utumbo, mapafu, bandama nk) ambazo mara nyingi huwa ni rahisi kuharibika, kisha wanaviweka kwenye vyungu maalumu, na mwili uliobakia bila viungo vya ndani, wanaupaka dawa ambazo zinauezo wa kutunza mwili pamoja na nywele na kisha wanauzunguzia sanda ana bandeji maalumu
Sio Mapharaoh tu ndio waliokuwa wamafanyiwa hivyo, bali hata watu maarufu, Baba yeke Yusuph/Joseph mzee Yakub/Jakob alifia Misri na alikaushwa kama hivyo na aliwekwa kwenye sanduku kama wanavyofanywa mMapharao na alipelekwa kuzikwa kwao
FACT BIGS MOVESLeo tutakuokoa. Kiwiliwili chako baada ya kufa ili uwe ni ukumbusho kwa watu wajao mbele,
Inasemekana alikufa ktk gharika baada ya kukufuru kwa kujiita yeye ni Mungu mkuu
Fuatilia au tafuta filaamu moja inaitwa THE MOSES inaelezea kisa chote ambacho wame act wamisri ,wao wanaijua historia kuliko wewe mnyamwezi wa Tabora
SIKU NYINGINE UJEE BA ADABU HUMU SAWA SIO FB HUMU SAWAOoh bahati mbaya siko hapa kubishana mzee, siko kwa ligi hapa! Nenda kwenye thread nyingibe unaweza kufanya ligi.
nakukosoa TIMBUKTU hakikuwa chuo ila ulikuwa ni mjii wa kiarabu na mjii uliendeleaa karne hiyo na waarabu walikuwa wanafundisha dini ya kiisalmu na enzi hizo paliitwaa mjii wa timbuktu na ndio NEGER ya sasa ila walipokujaa kugundua wafaransa kuwa waarabu wanautawala na kuenezaa dini ndipo walipokujaa kuanzisha vitaa na kuubomoa mjii ulee pia ni kulifundishwaa elimu za dini ya kiisaamu na lugha ya kiraabu ..na hata leo asili ya watu wale wa niger wamegawanyika tabaka mbili weupe na weusi ...coz ya muungiliano huo ...PALE KILIKUWA KITUO USISEMEE UNIVERSITY PLEASETimbuktu university, was the world's oldest university mkuu.
WAFARANSA walikuja kuibomoa elimu ileWasomi wa taaluma ipi?! Manake kama unatk kuzungumzia vyuo vikuu vya Mali hususani Timbuktu, inafahamika focus yao ilikuwa sana kwenye masuala ya dini ya Kiislamu na kidog masuala ya biashara ambayo pia imezungumzwa sana kwenye dini ya Kiislamu hasa ukizingatia hata Mtume Muhammad kabla ya kupata daraja la utume, alifanya sana biashara kupitia mke wake Bi. Khadija!!!
Na kwa kuthibitisha elimu haimtupi mwenye nayo; Mali hadi kesho ni taifa ambalo dini ya Kiislamu wameishika kisawasawa! Hata akina Manka Mussa tunaeambiwa ndo richest person kupata kutokea duniani, anafahamika alikuwa ni devoted muslim ambae alichangia sana katika ujenzi wa hivyo vituo vya elimu ambavyo matunda yake hadi leo yanaonekana!
Na kwavile najua utakuja na hoja ya "kwani elimu ni nini...!" Nakupa jibu kabisa.... hapa tunazungumzia elimu ile ambayo mabara ya wenzetu inawafanya wapige hatua kimaendeleo wakati sie tuko pale pale! Elimu ya huko Mali endapo ingekuwa ndo hii tunayoizungumzia hapa basi matunda ya elimu hiyo yangeendelea kuwapo hadi sasa kama tunavyoona kwenye suala la elimu ya Kiislamu!
Watu weusi tuna taabu!! Tusipojiegesha kwa Wayahudi utasikia Misri ya Kale tulikuwa sisi!!
Tulivyo maboya, upande mwingine tunaamini sisi ni watoto wa Ibrahim! Na kuhitimisha uboya kama sio ukila.za wetu hapo hapo tunakubali, Ishmael ni mtoto wa Ibrahim na huyu Ishmael mama ake alitokea Misri! Na kutokana na unduze huo huo tulionao tunakubali Ishmael ndie chimbuko la Waarabu-- kwamba mtoto wa mama Mmisri ndie chimbuko la Waarabu na hivyo kuwa na uwezekano mkubwa kwamba mama ake Ishmael nae alikuwa Mwarabu wa Misri!
Sasa hao Waarabu walienda wapi hadi Misri ikageuka kuwa ya Wamatumbi akina Firauni?! Mbona hawa Wamatumbi hatusikii kwamba ndio wanadamu wa kale nchi jirani na Misri?!
Miafrika bhana... kusikia Wayahudi eti ma-genius na yenyewe inataka kujinasibisha na Wayahudi! Kusikia Mzungu na jeuri yake yote hadi leo hafahamu mapiramidi yalijengwaje... Wamatumbi hao; kama mkojo wa asubuhi kwamba eti mapiramidi yalijengwa na mababu zao!!
Ajabu ni kwamba, hawafananii na chochote na hao kimaarifa! Japo miaka elfu kadhaa ishapita, ndo kwanza wengine tunajiita Tanzania ya Viwanda lakini viwanda vyenyewe ni vile ambavyo Ulaya vilikuwepo miaka 500 iliyopita!
Umeandika kwa kejeli na dharau kuuuwakati kumbe unadhihirisha ujinga wako hasa katika mambo ya kihistoria... juzi juzi tu hapa oldiva gorge Dr Leaky na mkewe waligundua fuvu la binadama wakale kabisa kuishi duniani lenye umri wa zaidi ya miaka milion 4 aliishi Africa wewe na upumbavu wako unatuletea habari za agano la kale na jipya ambayo ukihesabu umri wa kuanzia adam mpaka yesu haijafika miaka elf 20.....
acha ubwege kama kuna mambo huyajua ni bora uulize au ukae kimya dawa ikuingie.........