Ijue Historia ya Firauni na uongo aliozushiwa

Mjinga na mpumbavu ni nani kama sio wewe MPUMBAVU usiye na akili unayejiita mjukuu wa Firauni!!! Pumbavu mkubwaa...

hujui historia yako bwege wewe unaropokaropoka tu unajua historia ya watu weusi wa kale unamjua general hanibal barca ambae alifanikiwa kuzichapa nchi zote na kuweka kambi mji mkuu wa roma kua alikua mweusi mwenye asili ya sudani ya kusini wewe fara unakurupuka na kubwabwaja ujinga wako hata hao wayahudi wanamakabila mengi na wakiwemo weusi na mmoja wao ni samson ila ulivyo punguani utaendelea kuidhalilisha rangi yetu na kuusifia uzungu na uarabu koko ulionao bwege wewe, mtoa mada amefungua milango ya kufanya utafiti wa kina ili tuweze kujitafakari na kujua tulikosea wapi, hivi unajua kuna kipindi africa ilitawala dunia na wote walikua wanakuja kuuza na kununua vitu africa? hivi unajua hata genius nguli wa falsafa socrates baada ya kuhukumiwa adhabu ya kifo huko kwao uigiriki vijana wake akina crito, critobulus na akina plato walimuhonga bwana jela ili wamtoroshe aje africa alexandria iliopo africa ambapo kulikua na maendeleo makuubwa..... jinga wewe usiejua historia yako....unawajua akina Anunakis walikua wa rangi gani? wastarabu hao waliogundua matumizi ya Ajmi chakra au third eye au pineal gland kama connection point kati ya mwili na roho pamoja na ujuzi wa astral projection walikua weusi....mbwa koko wewe hata hujui nini waethiopia na wa misri walianzisha kabla hata ya hao wabwege wenye kuruhusu matendo ya kishoga na usagaji na mashaka nawewe kama niwa kike utakua msagaji na kama wa kiume utakua bwabwa tu.....
 
We ni mpumbavu tu huna lolote bwege wewe! Ni mpumbavu tu ndie anaweza kuonea fahari kujiita mjukuu wa Firauni!! Kwahiyo wala sina muda ya kusoma upumbavu unaondikwa na mpumbavu... kwahiyo umepoteza muda kuandika hayo matakataka yako!!!
 
how europe underdeveloped afri
 
Nashukuru umejua swali ambalo ningekuuliza,, nasikitika kwamba hata uislamu huujui vyema, mi si muislamu ila najua uislamu ni full mfumo wa maisha ktk nyanja zote. Kuanzia utibabu, biashara, sayansi, historia, siasa nk.

Halafu usitoke nje ya mada mkuu. Inshu ni je waafrika hawakuweza na hawajawahi kufanya makuu na hawataweza bila msaada wa wazungu. Jibu letu, si kweli. Walishafanya makuu huko nyuma wkt ulaya lilipokuwa bara la giza.

Hilo la Timbuktu sijui farao ni viashiria tu vya haya tunayoyasimamia. Yako mengi, la msingi hapa ulitakiwa ujiulize hili tu, je watu weusi walipitia hatua walizopitia wazungu? Mfano ktk zana za chuma za mwanzo, wote walitumia teknolojia sawa? Hilo tu linatosha sana.
 
Okay! Kwa maswali yako ya hapo juu, niseme wazungu walitukuta tumeshapiga hatua ktk zote hizo. Kwa mahitaji yetu ya kipindi kile, tulijitosheleza ktk idara hizo. Ulitaka tuchimbe madini tukauze nje?

Kibiashara, East Africa ilianza biashara na far east zamani sana. Cha msingi tulikuwa na kila kitu kilichotufaa ktk maisha yetu. Mabadiliko ambayo yangejiri baadae, elimu tuliyokuwa nayo ingeyakabili tu.
 
Ktk ujenzi sijui ulimaanisha kitu gani mkuu, kwamba wazungu walitukuta tunaishi mapangoni au? Hiyo timbuktu ilijengwa vyema, ngome ya Zimbabwe nayo ilikuwa ni ya ustadi mkubwa. Hata hivyo, ujenzi wa nyumba na teknolojia yake, hutegemeana na mazingira ya maeneo husika.

Eneo la joto, baridi, jangwa, barafu, udongo, aina za malighafi nk. Hadi iko hivyo. Elimu ndogo ya kisasa, inaharibu mambo. Leo hii, kwa uzalamoni ukijenga nyumba ya bati, kuna kipindi itakulazimu kulala nje ndani ni joto,kwa nyumba zao hakuna hilo.
 
Hakika wewe ni njiti,njiti wengi wana uwezo mkubwa wa kufikiri
 
Nini maana ya sayansi, kiwanda, biashara? Tuanzie hapo mkuu.
 
Tumia uoni wa mbali kujua mantiki ya kila ninachokuuliza, kwangu kinanipa mantiki sana. Swali, ni sawa kwa Tanzania kutumia akili, maarifa, resources nk kutaka kuunda chombo leo, mwaka 2030 tuwe tumeshawatuma watz kwenda mwezini?
 
Mkuu, farao au firauni kwa kiswahili cha huku na nadhani hata kwa kiarabu, si jina bali ni cheo tu. Ni sawa nakusema mfalme, raisi, sultani nk.
 
kaka huyu jamaa najua anatumia makalio kwa ajiri ya kufikiliaa hawezii kutumia ubongoo .........anatuleteaa anavyofikilia matakoni mwakee tu..MSOMII HUWEZI LETEE UJINGA KAMA HUO KWA KUANGALIAA MOVES YOUTUBE ULETEE UZII KAMA HUOO.
Hapana, lugha uliyoitumia ni kali na haipaswi kutumika. Mjibu kwa hoja, toa hoja kinzani nk. Kesho ikibainika ulichokiita leo ujinga utasimamia wapi? Aliyejiulza kwanini embe hudondoka chini, si tu alionekana mjinga bali kichaa. Vipi leo hii matunda ya ujinga na uchizi wake yakoje?
Ubishi wa nini? Si atarudi, tutamuona, kama alikuwa Mwarabu, Mchina ama Mmatumbi!

 
Kwa mujibu wa maelezo yako. Je wapi kuna maendeleo zaidi kati ya Afrika na Nchi za Ulaya? Na kwanini sisi ni third world ?
Maendeleo ni nini? Nilishasema awali, tatizo letu ni tafsiri ya mambo tuyaishiyo. Si zetu, ni za kukopi na kupest, zinatusumbua. Leo kuna watu waonao kwamba maendeleo, ni magari tena ya kifahari hata yaso na tija, maghorofa marefu, nk. Je ni kweli hii ndo dhana halisi ya maendeleo?
 
Ungezaliwa miaka iyo ya firauni nisinge bisha ila kwakuwa ww pia umekopi na kupest nikwambie tu ata ww umemezeshwa jua iyo nayo ni imani ndo maana n ww umeamini.
 
Kwahyo Dar es salaam university nao ni mji, upo Tanzania au? Nyie ndio mnaowalazimisha wadau wengine watumie lugha zenye ukakasi. Unaambiwa Timbuktu university we unasema Timbuktu city za wapi?

Halafu, eti ni mji wa waarabu, Kwahyo akna Manka Musa ni waarabu? Unamjua huyu na cheo chake kwanza?

Unachoambiwa changanya na akili zako, weka shaka ktk yote. Hapo utaijua kweli, itakupa maarifa, utafurahia dunia. Fumulia mbali vifungo vyote, uwe huru. Eti mwarabu, unamjua mwarabu wewe? Wamisri, waturuki, si waarabu sawa na waindonesia walijua hilo?
 
Hautakuja uijue kweli kamwe. Umeufunga ubongo wako. Kila kitu huko kiko sawa.
 
Mkaka umenikumbusha huyu general, ndo jenerali mkuu kupita wote ktk historia ya dunia hii, alitoa kanuni, "kama hakuna njia tengeneza yako "
 
Kwanini useme Gari sio maendeleo? Kwani ukiugua ghafla utapelekwa hospitali kilomita 100 kwa punda??

-Maendeleo ni wazi kabisa kuweza kuwa na Barabara nzuri kila pande na Miundombinu mizuri.
-Viwanda vizuri vya uzalishaji wa bidhaa bora.
-Maendeleo ni uwezo wa mtoto kupata Elimu Bora.
-Maendeleo ni kua na hospitali nzuri na zenye vifaa vya kisasa kwa ajili ya Magonjwa Makubwa makubwa.

Kaka yako mengi sana katika suala la maendeleo.

Sasa nauliza Tena kati yetu sisi Waafrika na Nchi za Ulaya wapi kuna maedeleo zaidi?
 
Bahati mbaya wewe sio Chige, nashindwa nikujibuje. Natamani nijue Age taaluma na kiwango cha elimu, lakini sio fair. Basi endelea kunifatilia mkuu. Najua unahtaji kuelimika. Kweli itakutoa utumwani na itakupa maarifa, pamoja mkuu. Quiz, kama kusingekuwa na magonjwa hospital zingejengwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…