Ijue Jamhuri ya Watu wa SOGODO, Kinondoni

dah, kweli aisee mm nilikuwa nipo primary karume nimeishi kagera mikoroshini
 
Hiv kina shamba la bangi, juma kishipa na yule mcheza boxer aliong,olewa meno nahs anaitwa Alh wapo... Enzi hizo pisi kali ni kina betty jimmy na marehemu dada ake.. Zawadi wa kwa kina salama bashir kabla watoto kina mau jimmy kupata watoto wanne akiwa akiwa chini ya 22yrs

Dah umenikumbusha mbali mwananyamala kino enzi hizo tunaupiga mpira msufin pale mchana usiku mama ntilie na wachawi wanajumuika kuuza vyakula.. Wenyeji tunajua maharage ya mboga tukanunue wapi ukijichanganya utajikuta unahudumiwa na viganja vya mtoto mdogo ndo upawa

Mshanajr anajua hz mambo

Visa vichache vifuatavyi vya kuanzia kule kwa muuza chips maarufu mwenye kachumbari hatari kino nzima kaka ake moyo(moyoni) jina limenitoka

Kisa 1
Sisahau enzi hizo kabla msufi haujakatwa tulipata beki tatu mpya akatumwa akanunue samak msufini. Akaenda na sister ili ajue mazingira mida ya usiku baada ya dk 10 tunamuona sister peke yake kuuliza anasema beki tatu kakimbia kama.chiz kumbe beki tatu ana dawa za kuona wachaw tunakuja kumpata anadai uwanja mzima watu walikuwa uchi wanahudumia wateja kwa viganja na maiti za watoto wengine wamekali misukule kama mabench

Msufi ulikatwa mwez mzima kila wakataji hawamaliz kazi

Kisa 2
Jmosi tunakwenda kuwachek wanyasa na ngoma zao mwisho wa mwez wamakonde na vinyago au mabinti zao wakitoka kufundwa

Kisa 3
Enz za babu maumba na shule yake ya chekechea a.k.a vidudu chini ya miembe na minaz ya kule kambangwa... Akidondoka nyoka mapumziko ikinyesha mvua day of au likizo ya siku kadhaa kabisa

Kisa 4
Kuna mzee alikuwa kazulumiwa nyumba na ndugu zake mitaa ya hom basi kwa wiki mara moja saa 12 asubuhi anakuja mitaa ya hom anatukana. Hadi saa mbili anapiga vichwa kwenye nguzo za umeme

usiku walinzi wa magar ccm almaarufu baraza la kahawa msisiri wanafanya guest bubu

Dah old good and bitter memories. Mabishoo wa msufini kina paulo pawa
 
Yeah mwanae anaitwa paul a.k.a paul pawa. Sasa hv mbavu nene zimeisha kawa tozi tu anajimegemea mijimama.
 
Ndio mitaa yangu hiyo, bata letu la kigumu kichizi. Binti wa darasa la nne anakunywa dabokiki 6 kavu na ana mabwana wanne, wote wanajuana
Na kashatoa mimba kama 3. Mabint wa sogodo watata wakienda "video" kule.ccm juu wanaingia staff. Enzi hizo.kina maua jimmy. Yeye. Na marehemu mama ake wote walipata watoto. Kipind kimoja
 
Tito alimzulumu sister mmoja kodi ya nyumba alijifanya dalali akampeleka kwenye chumba kina mtu tayar

Kaka wewe ndo ulifinga kile kijiwe dah
 
Dasa hv maji yanapita had yanafika kwa mzee vumbi
 
Dah...dah..dah..[emoji23] yani ukitengeneza movie itakuwa moto wa kuotea mbali..ngoja niibe baadhi ya visa
 
Saa hivi wamehamia nyuma ya uwanja wa taifa kule kota za polisi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waliniibia. . na aliyewapa mchongo ni Pembe mbwa yule.. Waliondoka na vitu vingi vya thamani sebuleni na jikoni kisha kwenye balon langu CRESTA LIMITED EDITION GX90 T 800 ABJ wakalisafisha nalo ... Niliwapangusa wote
Hahaa walijua kwamba wanaondoka sababu walikuibia?
Mitunguli hujaanza jana mkuu
 
Miaka ya 2000 hapa alikuwepo askar walikuwa wanamuita sura mbaya... Anakunywa kachasu huyo Mungu hapendi akija pale sogodo anatoa loki kwa "kiglass" au anaingia kwa mama jimmy kwenye matap tap kisha anaanza vurugu mtaani

Msufini usiku vichochoro vimejaa wakabaj vibaraza vya nyumba za watu unakuta watu wamebambiana tu
 
Waliniibia. . na aliyewapa mchongo ni Pembe mbwa yule.. Waliondoka na vitu vingi vya thamani sebuleni na jikoni kisha kwenye balon langu CRESTA LIMITED EDITION GX90 T 800 ABJ wakalisafisha nalo ... Niliwapangusa wote
Wezi wa huko wakiiba mitaa yao wanalindana
Ila wezi wakitoka mitaa mingine kwenda kuiba huko wanauliwa😂😂

Ova
 
Manzese pia pale Amsterdam, midizini palikuwa ovyo sana ila maisha yanabadilika wahuni wengi wamepungua
Sahv utamfanyia nani ubabe au uhuni,raia si watakuaa

Ova
sahivi ngumu kumrukia mtu hujui nani ana mguu wa kuku na Nani hana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…