Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Mnyama alitamba sana huyo6 cylinders, inline engine block, 24 valve
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnyama alitamba sana huyo6 cylinders, inline engine block, 24 valve
Nilikuwa na Super Charger Mark II sikuwahi kujutaMnyama alitamba sana huyo
Hahaha mkuu wahuni wachaukucha,Au wale wahuni wa illawarra,mchikichini walikuwa wanaitwa chaukucha,walikuwa hawafai kabisa ila walichokuja wafanyiwa ahh
Walifurahi
Ova
Walikuja toleo jipya sema uhuni wao ukawa wa chini chini na mbunge zungu akawasaidia kuanzisha timu ya mpira hapo ndo alicheza kama pele,Chaukucha waliwafanyia watu umafia sana...
Walikuwa kama wameshindikana
Tukio moja wililifanya walimpora dem mmja hadi wakambaka..ilibdi viongz wa ilala wakae kikao
Cha chinichini wapange nmna ya kuwatuliza
Alikuja tafutwa mafia mmja wa zamani(rtd)
Smbdy m--nyga.....alipewa baraka zote
Jamaa aliwafagia wote,kmya kmya
Ndipo kipande kile kikaja kutulia
Unajua kuna watu wanajifanya wahuni,wakabaji
Kumbe kuna raia wapo wanawacheki wanawaona kama mafala,siku raia wakiamua
Ohooo ni nomaa
Ova
Raia wana hasira
Maisha yamebafilika
Mambo ya ubabe utamfanyia nani
Nilishawahi kumuonya yule bondia T.M
Tabia zake za utemi,ubabe usiyokuwa na maana
Ova
Nilikuwa na Super Charger Mark II sikuwahi kujuta
Hatari sana. Sema mimi naonaga wahuni wa Dar wana uhuni wa kishamba.Yeah ilikuwa na alama na niliikuta by chance kwa fundi radio ikiwa imechoka mno na spika ni moja.. Ni zile LG za 3 pieces, kipisi cha juu upande wa kushoto kiliwahi kumwagikiwa kidogo na ule wino wa mihuri, hiyo ndio ilikuwa alama
Kwanini[emoji3]Hatari sana. Sema mimi naonaga wahuni wa Dar wana uhuni wa kishamba.
Tuliwanyandua sana wallahi[emoji3][emoji3][emoji3]Nilikuwa na Super Charger Mark II sikuwahi kujuta
Kwanza wengi wanatumia madawa ya kulevya, kula kwao shida, hawawezi show bila kutumia visilaha uchwara kama viwembe n.k., ukimtaitisha mmoja au wawili unawakalisha fresh tu ujanja wao wawe mtu mob.Kwanini[emoji3]
Madawa yamewalostisha vijana wengi sanaKwanza wengi wanatumia madawa ya kulevya, kula kwao shida, hawawezi show bila kutumia visilaha uchwara kama viwembe n.k., ukimtaitisha mmoja au wawili unawakalisha fresh tu ujanja wao wawe mtu mob.
Si unajua watemi,anaweza chukulia simNa huyo bondia raia wakaja kumuua kweli kwa kugoma utemi wake.
Dah masela walimuua kwa tuhuma za wizi aisee.Si unajua watemi,anaweza chukulia sim
Cheni,pesa 😂😂😂
Utemi mambo ya kizamani,sahv kila raia ana fascination zake unaweza muingia akakufanyia
Ndivyo sivyo
Ova
Kuna mwana mmoja alikuwa anaitwa lusekeloMadawa yamewalostisha vijana wengi sana
Raia hawafai mzeeDah masela walimuua kwa tuhuma za wizi aisee.
Wahuni wengi hutumia silahaKwanza wengi wanatumia madawa ya kulevya, kula kwao shida, hawawezi show bila kutumia visilaha uchwara kama viwembe n.k., ukimtaitisha mmoja au wawili unawakalisha fresh tu ujanja wao wawe mtu mob.
Sisi watoto waMwananyamala Msisiri B kwa mudi machips tuliwaogopa sana vijana wa sogodo, kwa diwani Songoro mnyonge, ilikuwa balaa na hatujawahi kumkubali mwanaume yeyote wa pale.Kwa wakongwe kama Mshana Jr, mitaa ya Dizonga anainyaka vyema, kwani kakaa huko hadi pale alipohahamishwa na jini lililo mnasa vibao akitaka kulinanilihiiii kwenye nyumba ya wageni, akaona isiwe taabu, akahamia Masaki.
Sogodo ni eneo linalopatikana Mwananyamala Bwawani, nyuma ya mahakama ya Kinondoni, kanisa la KKKT Kinondoni, linasambaa hadi jirani na kwa Pawa, baba yake Jaki, alikuwa baunsa wa Billicanas Club Zama zile za kale.
Sogodo Empire, ilikuwa na watu wa hatari, watu wa Shari, wagomvi, watemi, waliojikataa, ambao wako tayari kwa lolote.
Watu wa jamhuri hiii walikuwa ni tishio kiasi kwamba walikuwa na mahakama yao, polisi wao na mamlaka yao wenyewe.
Ukiiba unapelekwa kwa Pawa, Pawa anakusikiliza mhalifu na washitaka wako, baada ya hapo anatoa hukumu.
Hukumu ikitekelezwa hamna kupelekana Polisi wala Nini. Kesi imeisha hiyo.
Sogodo Empire waliishi hivyo kwa miaka mingi.
😂😂😂 AiseeeeeMsisiri kuna vituko, hadi lile kqnisa la monravian sjui ilikuwa haipiti siku 3,4 ngumi znapigwa
Wanagombea sadaka na uongz wa kanisa
Ova