Ijue Jamhuri ya Watu wa SOGODO, Kinondoni

Ijue Jamhuri ya Watu wa SOGODO, Kinondoni

Kingi Somo aliwai Siku mmoja mkaba Mwanajeshi na Magwanda yake mchana mida ya saa sita sita!! ila Police walimalizana nae .Pale Firstinn mpaka kwa Binti Kahenga CCM palikuwa ni moto wa Kuotea Mbali.Ila kwa sasa pako powa sana
Bad face
 
Kuna mwana mmoja alikuwa anaitwa lusekelo
Alikuwa mbavu sana sema alikuwa anatumia madawa,ila anamiguvu akikupa loba hutoki
Sasa mm lusekelo namjua mpaka familia yake
Yote alafu unafikiri familia yake ilikuwa nashida
Mzee wake alikuwa na miradi,mashamba sema yeye sasa
Sasa kuna bar moja pale kota manyanya,kino shule inaitwa kwa ligu akipita alikuwa na style kama za dibo yule[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Akiona mtu kavaa cheni saa anakuambia vua
Sema naye mabaharia alikuwa anawajua hawavusi
Jamaa madawa yalimpelekesha sana
Kuna wakati akapelekwaga China huko
Akaishia kupigwa nyundo

Ova
Hahaha[emoji23] .... Du wavimba macho walimfilimba?
 
Kingi Somo aliwai Siku mmoja mkaba Mwanajeshi na Magwanda yake mchana mida ya saa sita sita!! ila Police walimalizana nae .Pale Firstinn mpaka kwa Binti Kahenga CCM palikuwa ni moto wa Kuotea Mbali.Ila kwa sasa pako powa sana
Kaka unawakumbuka Jerusalem? Maskani yao karibu na kwa mzee Paul muuza mishkaki? Japo sisi tulikuwa wadogo miaka ile ya 90 lkn tulikuwa tunasikia habari zao
 
Kaka unawakumbuka Jerusalem? Maskani yao karibu na kwa mzee Paul muuza mishkaki? Japo sisi tulikuwa wadogo miaka ile ya 90 lkn tulikuwa tunasikia habari zao
Ya nawakumbuka sana! Police walimalizana nao Kwa kuvamia Nyumba moja baada ya nyingine na wajumbe wa Nyumba Kumi Kumi na kuwakamata wakiwa wamelala baada ya hapo Ndo amani ikaanza kupatikana pale firstinn na maeneo ya Jirani.
Enzi zile Juwata Jazz au Msondo Ngoma walikuwa wanapiga Amana Social club,watu waliokuwa wanarudi toka mziki walikuwa wanawakaba na pengine ata mademu zao kuwaachia hawa jamaa.
 
Umenikumbusha FRIDAY , CHRIS TURKER & ICE CUBE 1995
Kuna mwana mmoja alikuwa anaitwa lusekelo
Alikuwa mbavu sana sema alikuwa anatumia madawa,ila anamiguvu akikupa loba hutoki
Sasa mm lusekelo namjua mpaka familia yake
Yote alafu unafikiri familia yake ilikuwa nashida
Mzee wake alikuwa na miradi,mashamba sema yeye sasa
Sasa kuna bar moja pale kota manyanya,kino shule inaitwa kwa ligu akipita alikuwa na style kama za dibo yule😂😂😂😂
Akiona mtu kavaa cheni saa anakuambia vua
Sema naye mabaharia alikuwa anawajua hawavusi
Jamaa madawa yalimpelekesha sana
Kuna wakati akapelekwaga China huko
Akaishia kupigwa nyundo

Ova
 
Hiv kina shamba la bangi, juma kishipa na yule mcheza boxer aliong,olewa meno nahs anaitwa Alh wapo... Enzi hizo pisi kali ni kina betty jimmy na marehemu dada ake.. Zawadi wa kwa kina salama bashir kabla watoto kina mau jimmy kupata watoto wanne akiwa akiwa chini ya 22yrs

Dah umenikumbusha mbali mwananyamala kino enzi hizo tunaupiga mpira msufin pale mchana usiku mama ntilie na wachawi wanajumuika kuuza vyakula.. Wenyeji tunajua maharage ya mboga tukanunue wapi ukijichanganya utajikuta unahudumiwa na viganja vya mtoto mdogo ndo upawa

Mshanajr anajua hz mambo

Visa vichache vifuatavyi vya kuanzia kule kwa muuza chips maarufu mwenye kachumbari hatari kino nzima kaka ake moyo(moyoni) jina limenitoka

Kisa 1
Sisahau enzi hizo kabla msufi haujakatwa tulipata beki tatu mpya akatumwa akanunue samak msufini. Akaenda na sister ili ajue mazingira mida ya usiku baada ya dk 10 tunamuona sister peke yake kuuliza anasema beki tatu kakimbia kama.chiz kumbe beki tatu ana dawa za kuona wachaw tunakuja kumpata anadai uwanja mzima watu walikuwa uchi wanahudumia wateja kwa viganja na maiti za watoto wengine wamekali misukule kama mabench

Msufi ulikatwa mwez mzima kila wakataji hawamaliz kazi

Kisa 2
Jmosi tunakwenda kuwachek wanyasa na ngoma zao mwisho wa mwez wamakonde na vinyago au mabinti zao wakitoka kufundwa

Kisa 3
Enz za babu maumba na shule yake ya chekechea a.k.a vidudu chini ya miembe na minaz ya kule kambangwa... Akidondoka nyoka mapumziko ikinyesha mvua day of au likizo ya siku kadhaa kabisa

Kisa 4
Kuna mzee alikuwa kazulumiwa nyumba na ndugu zake mitaa ya hom basi kwa wiki mara moja saa 12 asubuhi anakuja mitaa ya hom anatukana. Hadi saa mbili anapiga vichwa kwenye nguzo za umeme

usiku walinzi wa magar ccm almaarufu baraza la kahawa msisiri wanafanya guest bubu

Dah old good and bitter memories. Mabishoo wa msufini kina paulo pawa
Upo vizuri kwa kumbukizi mzee
 
Upo vizuri kwa kumbukizi mzee



kaka ndo tulikozaliwa na kukulia huko kuanzia kino mkwajuni a.k.a kino moscow vuka barabara pita kuzungukia vijana shuka na mwananyamala. had uibukie mwananyamala shule urud kino bwawan ya chini nnyooaha had hadi kwa mzee kikwete kwa kaka yake pale kino

uvuke biafra ukatize kama unaenda ada estate ila kula chocho nyuma ya biafra sec ibukia kino shamba uje hadi nyuma ya open university pita juu kwa juu tokea shule ya muslim vuka ingia soko la tx pita kanisa katoliki tokezea baa ya Chez Temba a.k.a shetembaa ilipozaliwa ngwasuma band ya kina mkweji a.k.a Jose (Hozee) mara enz hizo ndo wanafanyia mazoez pale Mara rud kati ibukia lang'ata kino makaburi njoo american chips vuka pita kati uibukie kino mahakamani /shule bwanan pale vuka njoo kanisa la waluteri nyoosha urudi sogodo

ndo mitaa ya kujidai enzi hizo
 
kaka ndo tulikozaliwa na kukulia huko kuanzia kino mkwajuni a.k.a kino moscow vuka barabara pita kuzungukia vijana shuka na mwananyamala. had uibukie mwananyamala shule urud kino bwawan ya chini nnyooaha had hadi kwa mzee kikwete kwa kaka yake pale kino

uvuke biafra ukatize kama unaenda ada estate ila kula chocho nyuma ya biafra sec ibukia kino shamba uje hadi nyuma ya open university pita juu kwa juu tokea shule ya muslim vuka ingia soko la tx pita kanisa katoliki tokezea baa ya Chez Temba a.k.a shetembaa ilipozaliwa ngwasuma band ya kina mkweji a.k.a Jose (Hozee) mara enz hizo ndo wanafanyia mazoez pale Mara rud kati ibukia lang'ata kino makaburi njoo american chips vuka pita kati uibukie kino mahakamani /shule bwanan pale vuka njoo kanisa la waluteri nyoosha urudi sogodo

ndo mitaa ya kujidai enzi hizo
Umenikumbusha mbali sana mkuu, mimi nimekulia Kinondoni Shamba...
 
Ok kama uliishi nyuma ya msikiti kwa miaka hiyo bila shaka utakuwa unafahamu mtiti wa lile tawi maarufu la cuf ukanda wa gaza na utakuwa unawajua pia wale wezi maarufu wa mifukoni wa kuitwa wakali wa danta
wote wanafahamu jomba, daah cuf ukanda wa gaza walikuwa tishio, dah umenikumbusha mbali sana
 
mz
Bila shaka huyu ni thomas mashali, alikuwa anakuja mtaani kwetu kagera anatoka kwao tandale anakuja kuleta utemi usiokuwa na mpango wowote, tulikuwa tunamshtakia mzozo,, kwenye kwenye kamali akiliwa tu anaanzisha gwamvu,,, ila mzozo akiwepo anaufyata mkia.. miaka inasonga tumekuwa watu wazima sasa dah
Heri mzozo tumeenda nae sana safari za ndege beach, alitusaidia sana wajinga wajinga wasituletee undewa
 
Ndio mitaa yangu hiyo, bata letu la kigumu kichizi. Binti wa darasa la nne anakunywa dabokiki 6 kavu na ana mabwana wanne, wote wanajuana
[emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umenikumbusha mbali sana mkuu, mimi nimekulia Kinondoni Shamba...
Kino shamba nlikuwa na wana wengi
Wakina Bob samba Kwak kulikuwa na gym,alikwepugi chamsela marehemu,
Pale Muslim kulikuwa na skani kubwa ya msebenze...
Kweli maisha yameenda kasi sana

Ova
 
Back
Top Bottom