Rhz4567
JF-Expert Member
- Mar 16, 2018
- 4,893
- 6,599
Bad faceKingi Somo aliwai Siku mmoja mkaba Mwanajeshi na Magwanda yake mchana mida ya saa sita sita!! ila Police walimalizana nae .Pale Firstinn mpaka kwa Binti Kahenga CCM palikuwa ni moto wa Kuotea Mbali.Ila kwa sasa pako powa sana