Raia wana hasirasahivi ngumu kumrukia mtu hujui nani ana mguu wa kuku na Nani hana
Haha LG hiyo sikuletewa ofisini πππHapo ilikuwa 2006 ndio nikaingia kilingeni rasmi sasa
Imagine sebuleni nilikuwa na mziki wa 1.2 LG na kwenye gari nilifunga Panasonic ya laki 8 pamoja na subwoofer
mtaani kwetu mwaka jana mwishoni kuna tabia za panya road kuvamia mida ya saa moja jioni giza inapoanza ,ubaya wanatoka huko wanakuja segerea hasa huku bonyokwa ,raia wakaona huu useng*e wakajipanga kwamba wakiingia anga tu ni vita,si wakajichanganya ,kwanza chocho zote ziliwahi wasikimbie ...kuanzia mwaka jana Hadi leo hawajarudi ,wakati kila week matukio mawili,Sasa hivi wananchi wana stressRaia wana hasira
Maisha yamebafilika
Mambo ya ubabe utamfanyia nani
Nilishawahi kumuonya yule bondia T.M
Tabia zake za utemi,ubabe usiyokuwa na maana
Ova
Raia wakiamua lao hatoki mtumtaani kwetu mwaka jana mwishoni kuna tabia za panya road kuvamia mida ya saa moja jioni giza inapoanza ,ubaya wanatoka huko wanakuja segerea hasa huku bonyokwa ,raia wakaona huu useng*e wakajipanga kwamba wakiingia anga tu ni vita,si wakajichanganya ,kwanza chocho zote ziliwahi wasikimbie ...kuanzia mwaka jana Hadi leo hawajarudi ,wakati kila week matukio mawili,Sasa hivi wananchi wana stress
karume 2000, kagera niliishi nyuma ya msikiti wa pale barabaraniKarume ulimaliza mwaka gani na kagera uliishi maeneo gani
[emoji3][emoji3][emoji3] yani ni story ndefu kidogo kwakweli ila bima walinilipa kila kitu.. Cha ajabu nikaja kuuziwa vifaa vyangu vya gari baada ya miezi miwiliHaha LG hiyo sikuletewa ofisini [emoji23][emoji23][emoji23]
Mazabe.com
Hukuvipata kweli au ulipotezea
Ova
Wezi wanatia hasira[emoji3][emoji3][emoji3] yani ni story ndefu kidogo kwakweli ila bima walinilipa kila kitu.. Cha ajabu nikaja kuuziwa vifaa vyangu vya gari baada ya miezi miwili
Radio nilikuja kuikuta Picha ya ndege 2016 inauzwa laki 2[emoji23]
Kweli unapafahamu Kati ya hai Nani alipanda juu ya mabati kabla ya kupata usafiri was kwenda kwa baba juu mbinguni? Ili niwe na uhakika unapafahamu.[emoji3][emoji3][emoji3] kuna mdau muhimu mzee wa Pachoto anapaswa kufika hapa! mrangi
Baadhi ya wanachama wake tishio ambao hawatanisahau huko kuzimu walipo ni
#Tito
#Kumbwiga
#Morroco
#Jumanne
#Pembe
Baada ya kufa hawa washenzi hata kijiwe chao cha VIDA PALAVIDA kilikufa
Hukuru huyo pale kwa mzee maganga.Gesti ya chabo. Kuna mwamba alijikuta anampiga chabo maza ake! Halafu alikuwa analiwa jicho
Marehemu John `Ngogo alikuwa na kitu chake kicheche mitaa ile,nadhani wale wa zamani wanamjua John Ngogo alikuwa nani jiji hili la Darisalaama, ile udongo huu unatufunika kwelikweli.Lakini mpaka leo gongo inanyweka mchana bila wasi, kuvuta bange hadharani mtindo mmoja, malaya watoto ndio usiseme, ngoma na yenyewe pale imetamalaki.
Kuna siku nilienda na dogo fulani wa mitaa ile nilimkuta pale kota karibu na kwa black, nikamwambia leo nipeleke kitaa kwenu ila sitaki niibiwe, ndio nikajionea yote hayo.
Acha basi masihara Mshana. Yani imeibiwa Mwananyamala 2006 ukaja kuikuta inauzwa Picha ya Ndege 2016? ππππ[emoji3][emoji3][emoji3] yani ni story ndefu kidogo kwakweli ila bima walinilipa kila kitu.. Cha ajabu nikaja kuuziwa vifaa vyangu vya gari baada ya miezi miwili
Radio nilikuja kuikuta Picha ya ndege 2016 inauzwa laki 2[emoji23]
KambaAcha basi masihara Mshana. Yani imeibiwa Mwananyamala 2006 ukaja kuikuta inauzwa Picha ya Ndege 2016? ππππ
Ok kama uliishi nyuma ya msikiti kwa miaka hiyo bila shaka utakuwa unafahamu mtiti wa lile tawi maarufu la cuf ukanda wa gaza na utakuwa unawajua pia wale wezi maarufu wa mifukoni wa kuitwa wakali wa dantakarume 2000, kagera niliishi nyuma ya msikiti wa pale barabarani
Bila shaka huyu ni thomas mashali, alikuwa anakuja mtaani kwetu kagera anatoka kwao tandale anakuja kuleta utemi usiokuwa na mpango wowote, tulikuwa tunamshtakia mzozo,, kwenye kwenye kamali akiliwa tu anaanzisha gwamvu,,, ila mzozo akiwepo anaufyata mkia.. miaka inasonga tumekuwa watu wazima sasa dahNilishawahi kumuonya yule bondia T.M
Tabia zake za utemi,ubabe usiyokuwa na maana
Duh ila wewe jamaa kila uhuni wa dar unaujua na viunga vyakeChaukucha waliwafanyia watu umafia sana...
Walikuwa kama wameshindikana
Tukio moja wililifanya walimpora dem mmja hadi wakambaka..ilibdi viongz wa ilala wakae kikao
Cha chinichini wapange nmna ya kuwatuliza
Alikuja tafutwa mafia mmja wa zamani(rtd)
Smbdy m--nyga.....alipewa baraka zote
Jamaa aliwafagia wote,kmya kmya
Ndipo kipande kile kikaja kutulia
Unajua kuna watu wanajifanya wahuni,wakabaji
Kumbe kuna raia wapo wanawacheki wanawaona kama mafala,siku raia wakiamua
Ohooo ni nomaa
Ova
6 cylinders, inline engine block, 24 valveWaliniibia. . na aliyewapa mchongo ni Pembe mbwa yule.. Waliondoka na vitu vingi vya thamani sebuleni na jikoni kisha kwenye balon langu CRESTA LIMITED EDITION GX90 T 800 ABJ wakalisafisha nalo ... Niliwapangusa wote
Hahaha hamna kituDuh ila wewe jamaa kila uhuni wa dar unaujua na viunga vyake
Au nawewe ulikuwa ndy babalao
E.mzozo alikuwa mtataBila shaka huyu ni thomas mashali, alikuwa anakuja mtaani kwetu kagera anatoka kwao tandale anakuja kuleta utemi usiokuwa na mpango wowote, tulikuwa tunamshtakia mzozo,, kwenye kwenye kamali akiliwa tu anaanzisha gwamvu,,, ila mzozo akiwepo anaufyata mkia.. miaka inasonga tumekuwa watu wazima sasa dah
SijakuelewaKweli unapafahamu Kati ya hai Nani alipanda juu ya mabati kabla ya kupata usafiri was kwenda kwa baba juu mbinguni? Ili niwe na uhakika unapafahamu.
Yeah ilikuwa na alama na niliikuta by chance kwa fundi radio ikiwa imechoka mno na spika ni moja.. Ni zile LG za 3 pieces, kipisi cha juu upande wa kushoto kiliwahi kumwagikiwa kidogo na ule wino wa mihuri, hiyo ndio ilikuwa alamaAcha basi masihara Mshana. Yani imeibiwa Mwananyamala 2006 ukaja kuikuta inauzwa Picha ya Ndege 2016? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]