Ijue Jamhuri ya Watu wa SOGODO, Kinondoni

Walikuja toleo jipya sema uhuni wao ukawa wa chini chini na mbunge zungu akawasaidia kuanzisha timu ya mpira hapo ndo alicheza kama pele,
 
Si unajua watemi,anaweza chukulia sim
Cheni,pesa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Utemi mambo ya kizamani,sahv kila raia ana fascination zake unaweza muingia akakufanyia
Ndivyo sivyo

Ova
Dah masela walimuua kwa tuhuma za wizi aisee.
 
Madawa yamewalostisha vijana wengi sana
Kuna mwana mmoja alikuwa anaitwa lusekelo
Alikuwa mbavu sana sema alikuwa anatumia madawa,ila anamiguvu akikupa loba hutoki
Sasa mm lusekelo namjua mpaka familia yake
Yote alafu unafikiri familia yake ilikuwa nashida
Mzee wake alikuwa na miradi,mashamba sema yeye sasa
Sasa kuna bar moja pale kota manyanya,kino shule inaitwa kwa ligu akipita alikuwa na style kama za dibo yuleπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Akiona mtu kavaa cheni saa anakuambia vua
Sema naye mabaharia alikuwa anawajua hawavusi
Jamaa madawa yalimpelekesha sana
Kuna wakati akapelekwaga China huko
Akaishia kupigwa nyundo

Ova
 
Dah masela walimuua kwa tuhuma za wizi aisee.
Raia hawafai mzee
Zamani kulikuwa na bonding mmja anaitwa Paul siza,wakati huo vijanq tunasafirisafiri ukirudi unangaa cheni shingoni,chini raba kali
Yeye siza alikuwa analinda langata pale
Ukienda chooni anakuja nyuma yako
Anakugusa Bega ukiegeuka kitasa anakupa
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Sema uzuri wengine ule alwatan ulikuwepo
Kuna siku nko mtungi nko chooni kuchek nyuma siza..ahh nkamwambia mjomba vepe hata mm tenaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚akacheka sana
Siza alipoona kukaba hakumfai akaingia robbery
Kna siku walienda iba mahali raia waliwagumia
Walipiga hadi kuuaaa
Ila naye alishaonywaaa

Siku zote nasema usicheze na raia au kuwachukulia mafala siku wakikuamulia hutoki

Ova
 
Kwanza wengi wanatumia madawa ya kulevya, kula kwao shida, hawawezi show bila kutumia visilaha uchwara kama viwembe n.k., ukimtaitisha mmoja au wawili unawakalisha fresh tu ujanja wao wawe mtu mob.
Wahuni wengi hutumia silaha
Visu nk hawana muda wa kutumia mikono
Ushawahi ona mtu kabla ya kukabwa anaoneshwa visu vilivyokuwa ndani ya jacket

Ova
 
Sisi watoto waMwananyamala Msisiri B kwa mudi machips tuliwaogopa sana vijana wa sogodo, kwa diwani Songoro mnyonge, ilikuwa balaa na hatujawahi kumkubali mwanaume yeyote wa pale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…