Bad faceKingi Somo aliwai Siku mmoja mkaba Mwanajeshi na Magwanda yake mchana mida ya saa sita sita!! ila Police walimalizana nae .Pale Firstinn mpaka kwa Binti Kahenga CCM palikuwa ni moto wa Kuotea Mbali.Ila kwa sasa pako powa sana
Hahaha[emoji23] .... Du wavimba macho walimfilimba?Kuna mwana mmoja alikuwa anaitwa lusekelo
Alikuwa mbavu sana sema alikuwa anatumia madawa,ila anamiguvu akikupa loba hutoki
Sasa mm lusekelo namjua mpaka familia yake
Yote alafu unafikiri familia yake ilikuwa nashida
Mzee wake alikuwa na miradi,mashamba sema yeye sasa
Sasa kuna bar moja pale kota manyanya,kino shule inaitwa kwa ligu akipita alikuwa na style kama za dibo yule[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Akiona mtu kavaa cheni saa anakuambia vua
Sema naye mabaharia alikuwa anawajua hawavusi
Jamaa madawa yalimpelekesha sana
Kuna wakati akapelekwaga China huko
Akaishia kupigwa nyundo
Ova
Kaka unawakumbuka Jerusalem? Maskani yao karibu na kwa mzee Paul muuza mishkaki? Japo sisi tulikuwa wadogo miaka ile ya 90 lkn tulikuwa tunasikia habari zaoKingi Somo aliwai Siku mmoja mkaba Mwanajeshi na Magwanda yake mchana mida ya saa sita sita!! ila Police walimalizana nae .Pale Firstinn mpaka kwa Binti Kahenga CCM palikuwa ni moto wa Kuotea Mbali.Ila kwa sasa pako powa sana
Ya nawakumbuka sana! Police walimalizana nao Kwa kuvamia Nyumba moja baada ya nyingine na wajumbe wa Nyumba Kumi Kumi na kuwakamata wakiwa wamelala baada ya hapo Ndo amani ikaanza kupatikana pale firstinn na maeneo ya Jirani.Kaka unawakumbuka Jerusalem? Maskani yao karibu na kwa mzee Paul muuza mishkaki? Japo sisi tulikuwa wadogo miaka ile ya 90 lkn tulikuwa tunasikia habari zao
Hee..... We ni kademu?Sisi watoto waMwananyamala Msisiri B kwa mudi machips tuliwaogopa sana vijana wa sogodo, kwa diwani Songoro mnyonge, ilikuwa balaa na hatujawahi kumkubali mwanaume yeyote wa pale.
Kuna mwana mmoja alikuwa anaitwa lusekelo
Alikuwa mbavu sana sema alikuwa anatumia madawa,ila anamiguvu akikupa loba hutoki
Sasa mm lusekelo namjua mpaka familia yake
Yote alafu unafikiri familia yake ilikuwa nashida
Mzee wake alikuwa na miradi,mashamba sema yeye sasa
Sasa kuna bar moja pale kota manyanya,kino shule inaitwa kwa ligu akipita alikuwa na style kama za dibo yule😂😂😂😂
Akiona mtu kavaa cheni saa anakuambia vua
Sema naye mabaharia alikuwa anawajua hawavusi
Jamaa madawa yalimpelekesha sana
Kuna wakati akapelekwaga China huko
Akaishia kupigwa nyundo
Ova
Haha mwamba alikuwa na pigo hizoUmenikumbusha FRIDAY , CHRIS TURKER & ICE CUBE 1995
Hivi yule mtemi makarateka santanaMkifika habari za MANZESE NA MAGOMENI mnishtue na mm nichangie
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Upo vizuri kwa kumbukizi mzeeHiv kina shamba la bangi, juma kishipa na yule mcheza boxer aliong,olewa meno nahs anaitwa Alh wapo... Enzi hizo pisi kali ni kina betty jimmy na marehemu dada ake.. Zawadi wa kwa kina salama bashir kabla watoto kina mau jimmy kupata watoto wanne akiwa akiwa chini ya 22yrs
Dah umenikumbusha mbali mwananyamala kino enzi hizo tunaupiga mpira msufin pale mchana usiku mama ntilie na wachawi wanajumuika kuuza vyakula.. Wenyeji tunajua maharage ya mboga tukanunue wapi ukijichanganya utajikuta unahudumiwa na viganja vya mtoto mdogo ndo upawa
Mshanajr anajua hz mambo
Visa vichache vifuatavyi vya kuanzia kule kwa muuza chips maarufu mwenye kachumbari hatari kino nzima kaka ake moyo(moyoni) jina limenitoka
Kisa 1
Sisahau enzi hizo kabla msufi haujakatwa tulipata beki tatu mpya akatumwa akanunue samak msufini. Akaenda na sister ili ajue mazingira mida ya usiku baada ya dk 10 tunamuona sister peke yake kuuliza anasema beki tatu kakimbia kama.chiz kumbe beki tatu ana dawa za kuona wachaw tunakuja kumpata anadai uwanja mzima watu walikuwa uchi wanahudumia wateja kwa viganja na maiti za watoto wengine wamekali misukule kama mabench
Msufi ulikatwa mwez mzima kila wakataji hawamaliz kazi
Kisa 2
Jmosi tunakwenda kuwachek wanyasa na ngoma zao mwisho wa mwez wamakonde na vinyago au mabinti zao wakitoka kufundwa
Kisa 3
Enz za babu maumba na shule yake ya chekechea a.k.a vidudu chini ya miembe na minaz ya kule kambangwa... Akidondoka nyoka mapumziko ikinyesha mvua day of au likizo ya siku kadhaa kabisa
Kisa 4
Kuna mzee alikuwa kazulumiwa nyumba na ndugu zake mitaa ya hom basi kwa wiki mara moja saa 12 asubuhi anakuja mitaa ya hom anatukana. Hadi saa mbili anapiga vichwa kwenye nguzo za umeme
usiku walinzi wa magar ccm almaarufu baraza la kahawa msisiri wanafanya guest bubu
Dah old good and bitter memories. Mabishoo wa msufini kina paulo pawa
Upo vizuri kwa kumbukizi mzee
Umenikumbusha mbali sana mkuu, mimi nimekulia Kinondoni Shamba...kaka ndo tulikozaliwa na kukulia huko kuanzia kino mkwajuni a.k.a kino moscow vuka barabara pita kuzungukia vijana shuka na mwananyamala. had uibukie mwananyamala shule urud kino bwawan ya chini nnyooaha had hadi kwa mzee kikwete kwa kaka yake pale kino
uvuke biafra ukatize kama unaenda ada estate ila kula chocho nyuma ya biafra sec ibukia kino shamba uje hadi nyuma ya open university pita juu kwa juu tokea shule ya muslim vuka ingia soko la tx pita kanisa katoliki tokezea baa ya Chez Temba a.k.a shetembaa ilipozaliwa ngwasuma band ya kina mkweji a.k.a Jose (Hozee) mara enz hizo ndo wanafanyia mazoez pale Mara rud kati ibukia lang'ata kino makaburi njoo american chips vuka pita kati uibukie kino mahakamani /shule bwanan pale vuka njoo kanisa la waluteri nyoosha urudi sogodo
ndo mitaa ya kujidai enzi hizo
Midizini? Uwanja wa fisi?Mkifika habari za MANZESE NA MAGOMENI mnishtue na mm nichangie
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
wote wanafahamu jomba, daah cuf ukanda wa gaza walikuwa tishio, dah umenikumbusha mbali sanaOk kama uliishi nyuma ya msikiti kwa miaka hiyo bila shaka utakuwa unafahamu mtiti wa lile tawi maarufu la cuf ukanda wa gaza na utakuwa unawajua pia wale wezi maarufu wa mifukoni wa kuitwa wakali wa danta
Heri mzozo tumeenda nae sana safari za ndege beach, alitusaidia sana wajinga wajinga wasituletee undewaBila shaka huyu ni thomas mashali, alikuwa anakuja mtaani kwetu kagera anatoka kwao tandale anakuja kuleta utemi usiokuwa na mpango wowote, tulikuwa tunamshtakia mzozo,, kwenye kwenye kamali akiliwa tu anaanzisha gwamvu,,, ila mzozo akiwepo anaufyata mkia.. miaka inasonga tumekuwa watu wazima sasa dah
[emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio mitaa yangu hiyo, bata letu la kigumu kichizi. Binti wa darasa la nne anakunywa dabokiki 6 kavu na ana mabwana wanne, wote wanajuana
Hivi yale magari mabovu barabarani kule mwananyamala yalikusanywa wapi ?Gesti ya chabo. Kuna mwamba alijikuta anampiga chabo maza ake! Halafu alikuwa analiwa jicho
Kino shamba nlikuwa na wana wengiUmenikumbusha mbali sana mkuu, mimi nimekulia Kinondoni Shamba...