Ikitokea leo Simba ikashinda au ikatoa sare naenda kuwin hii milioni 46 siku ya leo maombi kwa Simba

Nimeupa baraka mkeka wako.unikumbuke kwa chochote utacho barikiwa.amen
 
Wewe kweli mpira hujui yaani yanga haiaminiki yaani bingwa mara 3 mfulilizo unasema haiaminiki unataka tuamini timu ambayo sio bingwa mzee embu fatilia mchezo mwingine unaweza kuijua ila mpira huujui kama unasema yanga haiaminiki wakati ni bingwa
Chizi huyo.
 
Mwaka jana nilikuwa kwenye situation kama hii mkeka umetiki ikawa imebaki mechi moja tu kati ya ManU na Leicester nikitarajia Man ashinde nipige milioni 38. Man kaliwa kichwa 3 moja. Shubaamit
 
Mwaka jana nilikuwa kwenye situation kama hii mkeka umetiki ikawa imebaki mechi moja tu kati ya ManU na Leicester nikitarajia Man ashinde nipige milioni 38. Man kaliwa kichwa 3 moja. Shubaamit
Dah halafu haya makampuni yanafunga cashout
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…