Ikitokea Manchester City akashinda leo navuta milion 50

Ikitokea Manchester City akashinda leo navuta milion 50

Kuna fala mmoja juzi huko X kabla ya kushinda mkeka wa mamilioni kaanza kuomba atafutiwe pisi ya kwenda kuburudika nayo

Alibakisha game ya Monaco vs Barca..... dk za mwanzo Barca kala umeme
 
Arsenal wanaongoza ila wapo pungufu, sizani kama City atamwacha Arsenal half ya pili. Ila Arsenal leo alikuwa game plan yake na the way anavyo cheza, waliplan vizuri. Refa nae kazingua ile faulo ya kawaida tu haikuwa na kadi amesha haribu kechi.
 
Arsenal wanaongoza ila wapo pungufu, sizani kama City atamwacha Arsenal half ya pili. Ila Arsenal leo alikuwa game plan yake na the way anavyo cheza, waliplan vizuri. Refa nae kazingua ile faulo ya kawaida tu haikuwa na kadi amesha haribu kechi.
Marefa wa epl wanabeti
 
Kuna fala mmoja juzi huko X kabla ya kushinda mkeka wa mamilioni kaanza kuomba atafutiwe pisi ya kwenda kuburudika nayo

Alibakisha game ya Monaco vs Barca..... dk za mwanzo Barca kala umeme
Mkeka ukakatika..? Imenikumbasha juz hull city 1st half kala moja aisee nikaenda bar kupiga vyombo nikiamin hapa nishakula mkeka aisee si akarudisha second half na kuongeza .
 
You can't without me😁
downloadfile.jpg
 
Alimpa barcelona??
Kuna fala mmoja juzi huko X kabla ya kushinda mkeka wa mamilioni kaanza kuomba atafutiwe pisi ya kwenda kuburudika nayo

Alibakisha game ya Monaco vs Barca..... dk za mwanzo Barca kala umeme
 
Usiwaze mkuu mkeka utatiki tu,juzi shinda jana kuna dogo kanunua nyumba kwa 16mil pesa alizopata kwene kubet,unaambiwa dogo alivyotajiwa tu bei hajasema hata nipunguzie dogo kakubali hapo hapo biashara ikaisha
 
Usiwaze mkuu mkeka utatiki tu,juzi shinda jana kuna dogo kanunua nyumba kwa 16mil pesa alizopata kwene kubet,unaambiwa dogo alivyotajiwa tu bei hajasema hata nipunguzie dogo kakubali hapo hapo biashara ikaisha
Hahaa dogo wa wapi?kumbe kubet ni rahisi tu.
 
Back
Top Bottom