Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu wangu MimiMuumba wa mbingu na nchi au una mwingne mkuu😅
Guardiola kaniua mkuuDaah mwana uneikosa 50M
Mimi waliitoa tu arsenal alivyofungwaMkuuu cash out dakika ya 90 haipo
Maumivu makali sana yalinitokea hadi nikawaga
Kampuni gani hiyo unatumia mkuu!Wamefunga cashout
Hapo ndio umuhimu wa kitu fecha cashout unapoonekana.
Mimi ikibakia timu moja huwa naungalia mkeka dakika zote kama mgongwa wa uangalizi maalum.
Mhindi akileta bei yenye maslahi nafanya naye biashara halafu nabeti
Leo dk ya 89 game ya Levekusen mhindi bado kaniachia cashout tena imezidi hadi stake nikawaza sio kawaida yake nikaiacha liwalo na liwe.....matokeo yake ningecashout ule mtaji sasa hivi ningekuwa nalia kilio cha mbwa kokoHapo ndio umuhimu wa kitu fecha cashout unapoonekana.
Mimi ikibakia timu moja huwa naungalia mkeka dakika zote kama mgongwa wa uangalizi maalum.
Mhindi akileta bei yenye maslahi nafanya naye biashara halafu nabeti tena.
Ni bahati mbaya tu mkuu. Sema ile hela inaumaga sana haijalishi uliweka bei gani.Kawaida tu mkuu ndio betting
Yaah ni kweliNi bahati mbaya tu mkuu. Sema ile hela inaumaga sana haijalishi uliweka bei gani.
Bora zichane hata timu 2 haiumi sana.
Cashout inaraha yake na ubaya ukiona mpaka dakika ya 85 anakuletea cashout ujue huo mkeka una asilimia 95 kuwinMimi zamani cashou
Leo dk ya 89 game ya Levekusen mhindi bado kaniachia cashout tena imezidi hadi stake nikawaza sio kawaida yake nikaiacha liwalo na liwe.....matokeo yake ningecashout ule mtaji sasa hivi ningekuwa nalia kilio cha mbwa koko
Kawaida mkuuUtakuwa na hali mbaya sana hadi muda huu.
Kawaida kulose sio riziki yanguKama ulijua utakula 50M kukosa hata hela kidogo Ni uzembe wa Hali ya juu . Kama ilibaki timu moja unge cover mkeke na double chance ya arsenal wakati alipofungwa moja 2X au hata kabla ninauhakika hungekosa odds 3 au hata 2. Ukiweka 5M (2X) ungejipoosa Ni M zako 15M
Kawaida mbona hii kwenye bettingHatokuja kuisahau hii siku
Kawaida sana hii kwenye bettingDuh kweli mpira hautabiriki, dakika za nyongeza Man city wanasawazisha hapa na dakika mbili baadae wanapata chuma cha tatu. Dakika za jioooooni Man City inamfurahisha mleta uzi. Man city 3 Arsenal 2. Mechi imeisha, mleta uzi kachukue milioni 50 yako. Hongera sana haikuwa rahisi aisee.
Kawaida sana hii kwenye bettingSema mbilinge kama hizi wajasiliamali tunazipitia sana ndio hivyo matumaini ni mengi
Kawaida sana hii kwenye betting tushazoeaKiunua mgongo cha mtumishi aliyetumikia zaidi ya miaka 20 unataka ukipate kiwepesi maisha hayajawa rahisi kihivyo
Kawaida sana kwenye betting nishazoeaMikeka huwa haipendi kupigiwa kelele hapo kuna kila dalili mhindi anakukamua
Sporty betKampuni gani hiyo unatumia mkuu!