Bas kusiwe na ballot papers za presidencykushinda Urais sio kama kuokota nazi ndugu! , endeleeni kuota ,huu uchaguzi kwenye Urais msijidanganye , pambanieni ubunge tu!.. maan si vibaya kuishi kwa matumaini !.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bas kusiwe na ballot papers za presidencykushinda Urais sio kama kuokota nazi ndugu! , endeleeni kuota ,huu uchaguzi kwenye Urais msijidanganye , pambanieni ubunge tu!.. maan si vibaya kuishi kwa matumaini !.
Jomba usiseme maendeleo hatujayaona..sema wewe hujayaona..unaendelea kudanganyika..tu..endelea hivyohivyo jomba..kwanza tatizo kubwa nadhani ulitegemeaga biashara za madili..ambazo nyingi zimekufa..tafuta kazi ya kufanya jomba kuliko kuja na hoja zisizokuwa na mbele Wala nyuma..watakucheka watu. Umeandika jina lako Kama mkulima, hivi ni kweli hata kilimo kimekushinda...Basi wewe umeshindikanaMaendeleo yakwao sio ya kwetu mana kwetu maendeleo hatujayaona
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Mimi kama mwana CCM moja ya matamanio yangu ni kuona CCM ikiendelea kushika dola ya Tanzania.
Ila kati ya jambo ninalotamani litokee kwenye muhula wa pili wa Rais Magufuli endapo akifanikiwa kushinda, ni kuacha kabisa kuwachokonoa wapinzani.
Wapinzani waachwe na kuishi maisha yao na ku play part yao kama kusudi la kuwepo kwa mfumo wa vyama vingi.
Binafsi pamoja na kuegemea upande wa CCM ila sijafurahishwa kabisa na baadhi ya matukio ndani ya miaka mitano iliyopita ya kukandamiza upinzani.
Tukio la kupigwa risasi Lisu, hila za kununua viongozi wa upinzani, vitabaki kama doa lisilofutika kwa utawala wa kwanza wa Magufuli. Ni moja wapo ya mbinu chafu za kisiasa karne hii ya utandawazi.
Kwa hizi wiki chache za ujio wa Lissu na mapokeo yake, ni kama vile upinzani umekuwa na nguvu maradufu pamoja na hila zote hizo chafu.
Najua wanadamu hukosea, Magufuli rais wangu kweli hapo ni mahali alikosea, lakini ana uwezo wa kuparekebisha endapo akichaguliwa tena.
Awaache upinzani waishi maisha yao kama maana ya kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi nchini.
Mimi kama mwana CCM moja ya matamanio yangu ni kuona CCM ikiendelea kushika dola ya Tanzania.
Ila kati ya jambo ninalotamani litokee kwenye muhula wa pili wa Rais Magufuli endapo akifanikiwa kushinda, ni kuacha kabisa kuwachokonoa wapinzani.
Wapinzani waachwe na kuishi maisha yao na ku play part yao kama kusudi la kuwepo kwa mfumo wa vyama vingi.
Binafsi pamoja na kuegemea upande wa CCM ila sijafurahishwa kabisa na baadhi ya matukio ndani ya miaka mitano iliyopita ya kukandamiza upinzani.
Tukio la kupigwa risasi Lisu, hila za kununua viongozi wa upinzani, vitabaki kama doa lisilofutika kwa utawala wa kwanza wa Magufuli. Ni moja wapo ya mbinu chafu za kisiasa karne hii ya utandawazi.
Kwa hizi wiki chache za ujio wa Lissu na mapokeo yake, ni kama vile upinzani umekuwa na nguvu maradufu pamoja na hila zote hizo chafu.
Najua wanadamu hukosea, Magufuli rais wangu kweli hapo ni mahali alikosea, lakini ana uwezo wa kuparekebisha endapo akichaguliwa tena.
Awaache upinzani waishi maisha yao kama maana ya kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi nchini.
Namaanisha upinzani bado sana kishinda Urais wa Tanzania huo ndo ukweli mchungu japo hamtaki kuusikia ! Bado upinzani haujajipanga kimkakati kushinda Urais ndugu!Bas kusiwe na ballot papers za presidency
Je, CCM iko radhi kura zihesabiwe kwa uwazi kama ilivyofanya kwenye kura za maoni ya wagombea wake (japo u-rais huo ushindani ulipigwa stop)?Namaanisha upinzani bado sana kishinda Urais wa Tanzania huo ndo ukweli mchungu japo hamtaki kuusikia ! Bado upinzani haujajipanga kimkakati kushinda Urais ndugu!
Nyie kura za maoni mlizihesabu wa uwazi? Hata zikihesabiwa kwa uwazi ukweli ni kwamba hamuwezi shinda !Je, CCM iko radhi kura zihesabiwe kwa uwazi kama ilivyofanya kwenye kura za maoni ya wagombea wake (japo u-rais huo ushindani ulipigwa stop)?
Mimi kama mwana CCM moja ya matamanio yangu ni kuona CCM ikiendelea kushika dola ya Tanzania.
Ila kati ya jambo ninalotamani litokee kwenye muhula wa pili wa Rais Magufuli endapo akifanikiwa kushinda, ni kuacha kabisa kuwachokonoa wapinzani.
Wapinzani waachwe na kuishi maisha yao na ku play part yao kama kusudi la kuwepo kwa mfumo wa vyama vingi.
Binafsi pamoja na kuegemea upande wa CCM ila sijafurahishwa kabisa na baadhi ya matukio ndani ya miaka mitano iliyopita ya kukandamiza upinzani.
Tukio la kupigwa risasi Lisu, hila za kununua viongozi wa upinzani, vitabaki kama doa lisilofutika kwa utawala wa kwanza wa Magufuli. Ni moja wapo ya mbinu chafu za kisiasa karne hii ya utandawazi.
Kwa hizi wiki chache za ujio wa Lissu na mapokeo yake, ni kama vile upinzani umekuwa na nguvu maradufu pamoja na hila zote hizo chafu.
Najua wanadamu hukosea, Magufuli rais wangu kweli hapo ni mahali alikosea, lakini ana uwezo wa kuparekebisha endapo akichaguliwa tena.
Awaache upinzani waishi maisha yao kama maana ya kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi nchini.
Mkuu ni kuwa na washauri wabovu.
Unafikiri angewaacha waendelee na harakati zao leo hii wangeongea nini!??
Sasa kinachotokea wanayo mengi ya kuongea waliyofungwa kwa miaka mitano.. Ukijumlisha na walivyokuwa missed.
Hatari tupu!!!
Tutaelewana.Saizi wanaongea nini cha maana ambacho wangalikiongea hapo kabla. Mikutano ya kisiasa baada ya uchaguzi kwa watakao kuwa wameshindwa ni kuruhusu utapeli wa kisiasa. Mbaya zaidi wengine wanatumia hiyo kama fursa ya kutumbua ruzuku za vyama na kuwachangisha wananchi fedha ya maji na mafuta ya chopa.
Upo sahihi mkuu.Namaanisha upinzani bado sana kishinda Urais wa Tanzania huo ndo ukweli mchungu japo hamtaki kuusikia ! Bado upinzani haujajipanga kimkakati kushinda Urais ndugu!
Ndio, wakati anatoa wazo alionekana bonge la genius kwenye viunga vya lumumbaKama kuna mtu Magufuli na CCM wanapaswa kumlaani ni yule aliyetoa wazo la kumpiga risasi Lissu. Huyo ndo mwanaCCM Mpumbavu kuliko wote japokuwa wakati anatoa wazo lake la kipumbavu aliungwa mkono.
Bahati nzuri au mbaya ni kuwa kwenye uchaguzi wa mwaka huu mshindi ni Tundu Antipas Lissu na ndo atakuwa Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania 2020 - 2025Wapinzani ni watu, ni ndugu zako, ni rafiki zako na ni Watanzania wenzako. Ukitaka kuua upinzani ni kwamba uko tayari kuwaua Watanzania wenzako na kwa hilo jitihada zake zimeonekana, Watanzania wengi wameumizwa.
Awali Watanzania walikuwa watu wa amani na wakarimu na walijulikana hivyo duniani kote hadi mwaka 2015. Maisha yao yalipoanza kuwa hatarini kwa sababu ya kiongozi moja aliyetaka kuua upinzania, matokeo ndiyo haya.
Watanzania kwa umoja wao wamekataa hizo hila za kuwagawa na mwezi Oktoba nina hakika wataonesha kwa vitendo kwamba ukatili na uonevu si jadi yetu. Watakataa dhulma na ukandamizi kwa mgongo wa hapa kazi tu.
Watarudi kwa ile misingi aliyoianzisha baba wa taifa, Mwalimu Kambarage Julius Nyerere ya uhuru na kazi, uhuru na haki, uhuru na usawa. Madikteta uchwara na malimbukeni watapewa haki yao kwa kurudishwa wanakostahili.
Kumetokea wimbi la nyumbu kujifanya ccm halafu wanatoa ushauri.Mimi kama mwana CCM moja ya matamanio yangu ni kuona CCM ikiendelea kushika dola ya Tanzania.
Ila kati ya jambo ninalotamani litokee kwenye muhula wa pili wa Rais Magufuli endapo akifanikiwa kushinda, ni kuacha kabisa kuwachokonoa wapinzani...
Ana miaka 25 kuchukua nchi Malikushinda Urais sio kama kuokota nazi ndugu! , endeleeni kuota ,huu uchaguzi kwenye Urais msijidanganye , pambanieni ubunge tu!.. maan si vibaya kuishi kwa matumaini !.