Uchaguzi 2020 Ikiwa Dkt. Magufuli atafanikiwa kushinda, aachane na agenda za kuminya Upinzani

Uchaguzi 2020 Ikiwa Dkt. Magufuli atafanikiwa kushinda, aachane na agenda za kuminya Upinzani

Mimi kama mwana CCM moja ya matamanio yangu ni kuona CCM ikiendelea kushika dola ya Tanzania.

Ila kati ya jambo ninalotamani litokee kwenye muhula wa pili wa Rais Magufuli endapo akifanikiwa kushinda, ni kuacha kabisa kuwachokonoa wapinzani...
Hatoshinda , wachambuzi wanadai hatovuka 20%
 
Mkuu ni kuwa na washauri wabovu.

Unafikiri angewaacha waendelee na harakati zao leo hii wangeongea nini?...
Tutaona hayo mengi watakayoongea. Mengine tumeshaanza kuyasikia mtu anafananisha bwawa la kidatu/nyumba ya mungu na Stieglers Gorge. Eti nayo ni mabwawa yalijengwa huko nyuma.
 
Jomba usiseme maendeleo hatujayaona..sema wewe hujayaona..unaendelea kudanganyika..tu..endelea hivyohivyo jomba..kwanza tatizo kubwa nadhani ulitegemeaga biashara za madili..ambazo nyingi zimekufa..tafuta kazi ya kufanya jomba kuliko kuja na hoja zisizokuwa na mbele Wala nyuma..watakucheka watu. Umeandika jina lako Kama mkulima, hivi ni kweli hata kilimo kimekushinda...Basi wewe umeshindikana
Sasa si ujibu maendeleo uliyoyaona?jibu kwa hoja. Mimi katka wilaya yangu sjaona barabara ya lami,sjaona hospital iliyojengwa ispokua ya mission,sjaona shule ktk awamu hii iliyojengwa na kukusanya watoto wa maskini watembeao umbali mrefu kw mana ya boarding school,sjaona vijij vikiunganishwa na madarsja kuunganisha shughuli za wananchi nk.sasa wewe kama umeona usitkane Bali jibu kwa hoja. Mara nyingi mnaongea vitu ambavyo sisi wakijjn havna tija kwetu mfano ndege. Fly over sisi hivi havitusaidii!!

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Shida sio Magufuli, ila ni wshauri wake. Hivi leo una weza kuzuia redio na tv kweli? Zisitangaze habari fulani? Su wao Ccm ndio wana jidanganya hizo habari hazionekani?? Mambo ya utopolo kabisa
Hakuna mtu anayemshauri hivyo Magu, walishindwaje kumshawishi Kikwete na Mkapa.

Hizo ndio siasa zake hapendi kupingwa
 
Jomba usiseme maendeleo hatujayaona..sema wewe hujayaona..unaendelea kudanganyika..tu..endelea hivyohivyo jomba..kwanza tatizo kubwa nadhani ulitegemeaga biashara za madili..ambazo nyingi zimekufa..tafuta kazi ya kufanya jomba kuliko kuja na hoja zisizokuwa na mbele Wala nyuma..watakucheka watu. Umeandika jina lako Kama mkulima, hivi ni kweli hata kilimo kimekushinda...Basi wewe umeshindikana
Hakuna maendeleo Tanzania, unailinganisha na nchi gani kwa maendeleo
 
Mimi kama mwana CCM moja ya matamanio yangu ni kuona CCM ikiendelea kushika dola ya Tanzania.

Ila kati ya jambo ninalotamani litokee kwenye muhula wa pili wa Rais Magufuli endapo akifanikiwa kushinda, ni kuacha kabisa kuwachokonoa wapinzani.

Wapinzani waachwe na kuishi maisha yao na ku play part yao kama kusudi la kuwepo kwa mfumo wa vyama vingi.

Binafsi pamoja na kuegemea upande wa CCM ila sijafurahishwa kabisa na baadhi ya matukio ndani ya miaka mitano iliyopita ya kukandamiza upinzani.

Tukio la kupigwa risasi Lisu, hila za kununua viongozi wa upinzani, vitabaki kama doa lisilofutika kwa utawala wa kwanza wa Magufuli. Ni moja wapo ya mbinu chafu za kisiasa karne hii ya utandawazi.

Kwa hizi wiki chache za ujio wa Lissu na mapokeo yake, ni kama vile upinzani umekuwa na nguvu maradufu pamoja na hila zote hizo chafu.

Najua wanadamu hukosea, Magufuli rais wangu kweli hapo ni mahali alikosea, lakini ana uwezo wa kuparekebisha endapo akichaguliwa tena.

Awaache upinzani waishi maisha yao kama maana ya kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi nchini.
hayo yote yatahitimisha utawala wake oct,28/2020
 
Sikilza wewe mwana CCM. Magufuli hashindi uraisi mwaka huu. Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020 - 2025 ni Tundu Antipas Lissu!

Kama wewe unasoma Biblia nenda kasome hadithi ya Mfalme Saul na Mfalme Daudi alafu Njoo hapa niambie kama umeona tofauti yeyote kati ya yanayoendelea baina ya Magufuli na Tundu Lissu!

Hiyo biblia umeibinafsisha. Mzee wa kutopeep kwenye people’s Bedrooms
 
Nchi yetu imechafuliwa sana kwenye ulingo wa kimataifa.

Kwenye uchumi wa Leo. Ukisifiwa na kuwa msafi na watu wa huku tunakoishi bsi ujue wewe tapeli. Ukimwambia Mzungu kwetu Kuna umeme Pia. Anachukia badala ya kufurahia. Angependa akushushe uonekane kuishi ulaya Ni kama kupewa mbingu ya saba kutoka shimoni
 
Acha awapige wapinzani risasi, awadhurumu kura, akejeri anavotaka, ila mwisho wake ni mbaya sana, hajui Al Bashir aliko? ndo vizuri azidi kujiharibia, alijiroga mchana kweupee! hao washauri wake hawampendi, watamgeuka tu

Jiwe Aige mfano wa Mungu amemuachia shetani anatamba tu humu Duniani miaka kibao, sasa amechokwa kila sehemu hapendwi, kila mtu anampinga usiku na mchana, siku hizi hata kuzimu hakukaliki majini yanampinga haya taki kutumwa Damu. inambidi shetani aje mwenyewe live, kugema Damu na kurubuni binadamu!

Ana number zake humu ukimtaka tu unapiga simu moja kwa moja kwake anakujibu! but km una nia nae.
 
Mimi kama mwana CCM moja ya matamanio yangu ni kuona CCM ikiendelea kushika dola ya Tanzania.

Ila kati ya jambo ninalotamani litokee kwenye muhula wa pili wa Rais Magufuli endapo akifanikiwa kushinda, ni kuacha kabisa kuwachokonoa wapinzani.

Wapinzani waachwe na kuishi maisha yao na ku play part yao kama kusudi la kuwepo kwa mfumo wa vyama vingi.

Binafsi pamoja na kuegemea upande wa CCM ila sijafurahishwa kabisa na baadhi ya matukio ndani ya miaka mitano iliyopita ya kukandamiza upinzani.

Tukio la kupigwa risasi Lisu, hila za kununua viongozi wa upinzani, vitabaki kama doa lisilofutika kwa utawala wa kwanza wa Magufuli. Ni moja wapo ya mbinu chafu za kisiasa karne hii ya utandawazi.

Kwa hizi wiki chache za ujio wa Lissu na mapokeo yake, ni kama vile upinzani umekuwa na nguvu maradufu pamoja na hila zote hizo chafu.

Najua wanadamu hukosea, Magufuli rais wangu kweli hapo ni mahali alikosea, lakini ana uwezo wa kuparekebisha endapo akichaguliwa tena.

Awaache upinzani waishi maisha yao kama maana ya kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi nchini.
Upinzani haujawahi minywa, isipokuwa upinzani ulijisahau na kuhisi kuvunja taratibu za kidemokrasia sii tatizo kwani walifanya hivyo kwa miaka mingi hivyo wakaamua kuhalalisha, sasa matokeo yake ndio wanayaona hivi sasa mwishowe wanaanza kulalamika ya kuwa wanaminywa.
 
Mimi kama mwana CCM moja ya matamanio yangu ni kuona CCM ikiendelea kushika dola ya Tanzania.

Ila kati ya jambo ninalotamani litokee kwenye muhula wa pili wa Rais Magufuli endapo akifanikiwa kushinda, ni kuacha kabisa kuwachokonoa wapinzani.

Wapinzani waachwe na kuishi maisha yao na ku play part yao kama kusudi la kuwepo kwa mfumo wa vyama vingi.

Binafsi pamoja na kuegemea upande wa CCM ila sijafurahishwa kabisa na baadhi ya matukio ndani ya miaka mitano iliyopita ya kukandamiza upinzani.

Tukio la kupigwa risasi Lisu, hila za kununua viongozi wa upinzani, vitabaki kama doa lisilofutika kwa utawala wa kwanza wa Magufuli. Ni moja wapo ya mbinu chafu za kisiasa karne hii ya utandawazi.

Kwa hizi wiki chache za ujio wa Lissu na mapokeo yake, ni kama vile upinzani umekuwa na nguvu maradufu pamoja na hila zote hizo chafu.

Najua wanadamu hukosea, Magufuli rais wangu kweli hapo ni mahali alikosea, lakini ana uwezo wa kuparekebisha endapo akichaguliwa tena.

Awaache upinzani waishi maisha yao kama maana ya kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi nchini.
Watu wamefunga ili kitokee kitu aondoke duniani. Watu wanamuomba mungu kwa udi na uvumba hayo yatokee. Siku hiyo bia zitaadimika. Amesababisha taarifa ya habari hatusikilizi wala kuangalia, tupo mitandao ya kijamii na vyombo vya habari vya nje.
 
Kama kuna mtu Magufuli na CCM wanapaswa kumlaani ni yule aliyetoa wazo la kumpiga risasi Lissu. Huyo ndo mwanaCCM Mpumbavu kuliko wote japokuwa wakati anatoa wazo lake la kipumbavu aliungwa mkono.
Itakuwa Mwigulu Nchemba au Makonda.
 
Back
Top Bottom