Je, CCM iko radhi kura zihesabiwe kwa uwazi kama ilivyofanya kwenye kura za maoni ya wagombea wake (japo u-rais huo ushindani ulipigwa stop)?
Wafe😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je, CCM iko radhi kura zihesabiwe kwa uwazi kama ilivyofanya kwenye kura za maoni ya wagombea wake (japo u-rais huo ushindani ulipigwa stop)?
Hili UMESEMA mule muleAkifanikiwa kupewa urais awasikilize wananchi wanataka nini asilazimishe wananchi kukubali na kusifia anavyotaka yeye.
sio kwamba hawapendi tu kuzisikia?Shida sio Magufuli, ila ni wshauri wake. Hivi leo una weza kuzuia redio na tv kweli? Zisitangaze habari fulani? Su wao Ccm ndio wana jidanganya hizo habari hazionekani?? Mambo ya utopolo kabisa
Naenda moja kwa moja kwenye hii mada.
Kumekuwa na mihemko kutoka baadhi ya kundi la watu humu JF wamekuwa wanaandika mada mbalimbali zikimhusu TL, namna ambavyo anaandikwa humu utadhani kama vile TL ataweza kumng'oa mheshimiwa rais JPM au kama vile Chadema itaenda kuing'oa CCM hapo Oktoba panapo majaliwa.
Ukweli ni huu ndugu zanguni CCM haitang'oka wala JPM hatong'oka leo wala kesho wala hiyo Oktoba. Chadema hizi tambo za mitandaoni haziwezi kuwapa nchi, hii nchi haipo JF,FB,INSTA wala Twitter, endeleeni kupost tu kwa hizo ndoto zenu za Bunuwasi.
CCM haing'oki leo wala kesho.
Haujui kama haujui CCM imeshaisha ni jina tuNyie kura za maoni mlizihesabu wa uwazi? Hata zikihesabiwa kwa uwazi ukweli ni kwamba hamuwezi shinda !
Kama kuna mtu Magufuli na CCM wanapaswa kumlaani ni yule aliyetoa wazo la kumpiga risasi Lissu. Huyo ndo mwanaCCM Mpumbavu kuliko wote japokuwa wakati anatoa wazo lake la kipumbavu aliungwa mkono.
Umeandika upuuzi ...bao lako lililokutunga wewe bora llingemwagwa baharin samaki wale ..wewe ni mtu wa ovyo
yeye huyo sasa😀Akishinda urais aondoe sheria kandamizi za vyombo vya habari, na uhuru wa wananchi kujieleza
Mkuu kama umeyaona yaliyo moyoni mwangu na kuyaweka kwenye maandishi. Watu wengi wanashadadia upinzani sasa hivi kwasababu ya aliyoyafanya jiwe ambayo hatukuyategemea kabisa. Siyarudii kuyataja kwasababu tayari ushayasema, wengine hawakuwa wanachama wa vyama vya upinzani ila watawapigia kura upinzani especially Lissu kwasababu yakutopendezwa na udhalimu wote uliokuwa ukifanyika kipindi hiki chote cha miaka 5.Wapinzani ni watu, ni ndugu zako, ni rafiki zako na ni Watanzania wenzako. Ukitaka kuua upinzani ni kwamba uko tayari kuwaua Watanzania wenzako na kwa hilo jitihada zake zimeonekana, Watanzania wengi wameumizwa.
Awali Watanzania walikuwa watu wa amani na wakarimu na walijulikana hivyo duniani kote hadi mwaka 2015. Maisha yao yalipoanza kuwa hatarini kwa sababu ya kiongozi moja aliyetaka kuua upinzania, matokeo ndiyo haya.
Watanzania kwa umoja wao wamekataa hizo hila za kuwagawa na mwezi Oktoba nina hakika wataonesha kwa vitendo kwamba ukatili na uonevu si jadi yetu. Watakataa dhulma na ukandamizi kwa mgongo wa hapa kazi tu.
Watarudi kwa ile misingi aliyoianzisha baba wa taifa, Mwalimu Kambarage Julius Nyerere ya uhuru na kazi, uhuru na haki, uhuru na usawa. Madikteta uchwara na malimbukeni watapewa haki yao kwa kurudishwa wanakostahili.
Watanzania wengi tumemchoka huyu mwenye kudharau raia na Taasisi ya Urais
Watu wamepata sehemu ya kusikia vitu ambavyo walizuiliwa kwa miaka 5 wasivijue.watu wanaongezeka kwenye mikutano ya Lissu kutaka kujua ni vitu gani hivyo ambavyo serikali haitaki tuvisikie kwenye vyombo vya habari.
Mimi kama mwana CCM moja ya matamanio yangu ni kuona CCM ikiendelea kushika dola ya Tanzania.
Ila kati ya jambo ninalotamani litokee kwenye muhula wa pili wa Rais Magufuli endapo akifanikiwa kushinda, ni kuacha kabisa kuwachokonoa wapinzani.
Wapinzani waachwe na kuishi maisha yao na ku play part yao kama kusudi la kuwepo kwa mfumo wa vyama vingi.
Binafsi pamoja na kuegemea upande wa CCM ila sijafurahishwa kabisa na baadhi ya matukio ndani ya miaka mitano iliyopita ya kukandamiza upinzani.
Tukio la kupigwa risasi Lisu, hila za kununua viongozi wa upinzani, vitabaki kama doa lisilofutika kwa utawala wa kwanza wa Magufuli. Ni moja wapo ya mbinu chafu za kisiasa karne hii ya utandawazi.
Kwa hizi wiki chache za ujio wa Lissu na mapokeo yake, ni kama vile upinzani umekuwa na nguvu maradufu pamoja na hila zote hizo chafu.
Najua wanadamu hukosea, Magufuli rais wangu kweli hapo ni mahali alikosea, lakini ana uwezo wa kuparekebisha endapo akichaguliwa tena.
Awaache upinzani waishi maisha yao kama maana ya kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi nchini.
Kama bado mbona mnaubana na kuupa ila au unawashwaNamaanisha upinzani bado sana kishinda Urais wa Tanzania huo ndo ukweli mchungu japo hamtaki kuusikia ! Bado upinzani haujajipanga kimkakati kushinda Urais ndugu!
Magufuli akifanikiwa kushinda urais awamu hii ndio ataongeza mbinyo na baadhi ya viongozi wa upinzani itabidi waende uhamishoni la sivyo yatawakuta yaliyomkuta Lisu 2017.Mimi kama mwana CCM moja ya matamanio yangu ni kuona CCM ikiendelea kushika dola ya Tanzania.
Ila kati ya jambo ninalotamani litokee kwenye muhula wa pili wa Rais Magufuli endapo akifanikiwa kushinda, ni kuacha kabisa kuwachokonoa wapinzani.
Wapinzani waachwe na kuishi maisha yao na ku play part yao kama kusudi la kuwepo kwa mfumo wa vyama vingi.
Binafsi pamoja na kuegemea upande wa CCM ila sijafurahishwa kabisa na baadhi ya matukio ndani ya miaka mitano iliyopita ya kukandamiza upinzani.
Tukio la kupigwa risasi Lisu, hila za kununua viongozi wa upinzani, vitabaki kama doa lisilofutika kwa utawala wa kwanza wa Magufuli. Ni moja wapo ya mbinu chafu za kisiasa karne hii ya utandawazi.
Kwa hizi wiki chache za ujio wa Lissu na mapokeo yake, ni kama vile upinzani umekuwa na nguvu maradufu pamoja na hila zote hizo chafu.
Najua wanadamu hukosea, Magufuli rais wangu kweli hapo ni mahali alikosea, lakini ana uwezo wa kuparekebisha endapo akichaguliwa tena.
Awaache upinzani waishi maisha yao kama maana ya kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi nchini.
Ukiwa mpinzani, ccm hawaoni kazi kuku smashWapinzani ni watu, ni ndugu zako, ni rafiki zako na ni Watanzania wenzako. Ukitaka kuua upinzani ni kwamba uko tayari kuwaua Watanzania wenzako na kwa hilo jitihada zake zimeonekana, Watanzania wengi wameumizwa.
Awali Watanzania walikuwa watu wa amani na wakarimu na walijulikana hivyo duniani kote hadi mwaka 2015. Maisha yao yalipoanza kuwa hatarini kwa sababu ya kiongozi moja aliyetaka kuua upinzania, matokeo ndiyo haya.
Watanzania kwa umoja wao wamekataa hizo hila za kuwagawa na mwezi Oktoba nina hakika wataonesha kwa vitendo kwamba ukatili na uonevu si jadi yetu. Watakataa dhulma na ukandamizi kwa mgongo wa hapa kazi tu.
Watarudi kwa ile misingi aliyoianzisha baba wa taifa, Mwalimu Kambarage Julius Nyerere ya uhuru na kazi, uhuru na haki, uhuru na usawa. Madikteta uchwara na malimbukeni watapewa haki yao kwa kurudishwa wanakostahili.
Tunamlaumu mshauri yupi hapo ?Shida sio Magufuli, ila ni wshauri wake. Hivi leo una weza kuzuia redio na tv kweli? Zisitangaze habari fulani? Su wao Ccm ndio wana jidanganya hizo habari hazionekani?? Mambo ya utopolo kabisa
Sikiliza wewe DC wa Kitopeni,, mwaka huu mpaka mjambe cheche Lissu kawakamateni mmekamatika. Magufuli hashindi Urais full stop!kushinda Urais sio kama kuokota nazi ndugu! , endeleeni kuota ,huu uchaguzi kwenye Urais msijidanganye , pambanieni ubunge tu!.. maan si vibaya kuishi kwa matumaini !.
Mtu wa ovyo sababu nimezungumza ukweli mtupu ambao ata wewe na huo ubongo wako wa mende unaujua.Umeandika upuuzi ...bao lako lililokutunga wewe bora llingemwagwa baharin samaki wale ..wewe ni mtu wa ovyo
Ila Magufuli ana all necessary means za kumuwezesha kuwa rais wa awamu ijayo unlike Tundu Lisu anayetegemea kura za wananchi pekee.Sikiliza wewe DC wa Kitopeni,, mwaka huu mpaka mjambe cheche Lissu kawakamateni mmekamatika. Magufuli hashindi Urais full stop!