1. Wizara ya Maji -Aliyeteuliwa Juma Aweso
2. Wizara ya Habari , Utamaduni Sanaa na Michezo- Aliyeteuliwa Innocent Bashungwa
3.Ofisi ya Waziri Mkuu , Sera , Bunge , Vijana na Wenye Ulemavu Aliyet Jenister Mhagama .
4.Waziri wa Afya , Maendeleo ya Jamii , Jinsia na Watoto Aliyeteuliwa Doroth Gwajima ( Mbunge mpya alikuwa naibu katibu mkuu )
5. Wizara ya Uwekezaji ofisi ya Rais- Aliyeteuliwa Mkumbo Kitila
6. Wizara ya Katiba na Sheria- Aliyeteuliwa Mwigulu Nchemba .
7. Wizara ya Elimu , Sayansi na Teknolojia- Aliyeteuliwa Prof Joyce Ndalichako
. 8. Wizara ya Mifugo na Uvuvi - Aliyeteuliwa Mashimba Mashauri Ndaki .
9. Wizara ya Maliasili na Utalii- Aliyeteuliwa DK Ndumbalo Damas .
10. Wizara ya Ofisi ya Rais- TAMISEMI Suleiman Jaffo
11. Wizara ya Madini- Aliyeteuliwa Dotto Biteko
12. Wizara ya Nishati- Aliyeteuliwa Dkt Medard Kalemani .
13. Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi- Aliyeteuliwa ( mbunge mpya ) , Mhandisi Dkt Leonard Chamuliho ( alikuwa Katibu Mkuu Uchukuzi