Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,030
- 20,391
Sawa nkoi kwahiyo Naje nakalombe ijimbo masimiyu kwenoko.Hama chama 2025 Simiyu majimbo yote Chadema.....samaga nkoi YASHILAGA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa nkoi kwahiyo Naje nakalombe ijimbo masimiyu kwenoko.Hama chama 2025 Simiyu majimbo yote Chadema.....samaga nkoi YASHILAGA
Unaumia eeeh sokomezea BARAFUwafuasi wa chadema wamesahau kama huyu ndiye aliyehojiwa na bbc na kusema Mbowe ni gaidi
na wenzake watatu washafungwa.
Mama anaupiga mwingi ngoja tuone hatima yake.
Aiseee wewe unaonaaa....Wenzako wako ikulu wanakula bata wewe uko JF unagugumia maumivu.
Kabisa Ngalo ...Tunaanzia Lamadi kwa BijaSawa nkoi kwahiyo Naje nakalombe ijimbo masimiyu kwenoko.
Waliopiga kelele ni fisadi sio ni hao hao walimpa form ya urais.
Mmeachwa Solemba Mama ZagaloAiseee wewe unaonaaa....
Nimetoka kumla bata baada ya miaka 5 kupita....
"Mwamba tuvushe" ndembendembeee 🤣
Saba mala SABINIMaza Mizinguo anayakumbuka aliyosema BBC, au tuache kukumbushana sasa!
Ule haukuwa utoto?
Mwanamke ndiye asiye na uanaume ndani yake ila wanaume wote wana uanawake ndani yao na ndio maana wao ndio wenye kutuletea watoto wa kiume ama wa kike.......Naongezea ni Mwanaume mwenye Uwanaume ndani yake
Mtoto anapewa pipi baada ya kumchapa ili anyamaze anasahau yote baada ya hayo...Na waliosema ni gaidi ndio haohao wamemualika ikulu.
Maza Mizinguo anayakumbuka aliyosema BBC, au tuache kukumbushana sasa!
Ule haukuwa utoto?
Hahaaha!!!! vichwa panzi mnasahau mapema ngoja mwezi ujao tena muanze kumnanga mama yenu anayeupiga mwingi.Unaumia eeeh sokomezea BARAFU
CCM ina mbinu za medani 1773....toka 1977 zimetumika 81 tu .....Mmeachwa Solemba Mama Zagalo
Hawezi ni mbowe tu anaweza.Hivi gaidi anaweza kupeana mkono na Rais au kualikwa Ikulu kweli
Ngoja tujiandae na joto la 2025Kabisa Ngalo ...Tunaanzia Lamadi kwa Bija
Naiona Tanzania Mpya hii hapa...
Mwendazake alituelekeza mkondo wa kuzimu!
Sasa tushikamane sote tudai uhuru kamili tusonge mbele na ujenzi wa taifa letu!
Lini, wapi! Jibu haya maswali haraka kabla mods hawajakupiga na kitu kizito kichwani.