Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 3,626
- 3,869
We have a very good president,who is a human.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kunywa maji maana hakuna namna ndio hivo tena mama anasema tuendelee kuaminiana na kushirikiana kuijenga Tanzania mpya. Pia tuzingatie Haki na kila kitu tufanye kwa misingi ya HAKI . Kwahiyo nyie wauza sumu tafuteni pakwenda mambo yashakorogeka.Wazee wa mama anaupiga mwingi na kuwakomoa mataga na sukuma gang mmerudi kwa kasi.
Ngoja atoe boko tena muanze kulia lia.. huwa mnapenda kushangilia vitu vidogo nyumbu bhana.
Mungu wa mbinguni ni mwema!
Akina Swila na wale waliomnyima chakula Mbowe kwa miezi 5 wakiona hii picha sijui hata wanawazaje!
Mtoto anapewa pipi baada ya kumchapa ili anyamaze anasahau yote baada ya hayo.
Mbowe usile chochote hapo mjengoni wala kunywa please.
Asante
Nikuulize mkuu, katika uzoefu wako, tukio kama hili uliwahi kuliona wapi duniani!..ameomba msamaha.
..you can see it in her body language.
Tunategemea chadema itaendelea na mapambano ya kudai Haki na uhuru wa vyama vingi hili likishindikana basi tena tujiunge wote na ccm tu hakuna namna. Kwahiyo mwenyekiti pamoja na yote mliyozungumza na Rais samia leo baada ya kutoka gerezani hilo naomba uliweke akilini.
Sisi hatujui kitu ila mbona nyie wanaharakati wa ikulu mmenuna? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] .
Mnajua Nini ninyi wanaharakati wa Mitandaoni
Mimi sina shida na Mbowe wala mama yako.Kunywa maji maana hakuna namna ndio hivo tena mama anasema tuendelee kuaminiana na kushirikiana kuijenga Tanzania mpya. Pia tuzingatie Haki na kila kitu tufanye kwa misingi ya HAKI . Kwahiyo nyie wauza sumu tafuteni pakwenda mambo yashakorogeka.
View attachment 2139150
🤣🤣🤣Rais Samia kamuomba aende ikulu wayamalize.
Hiyo akili kubwa ndio ilimfunga mbowe....hawezi tena kurudi kwenye uhuni wa Magufuli.
..kama ni ukatili na hujuma za kisiasa basi watafanya kwa kutumia akili na hawatakuwa careless kama awamu ya 5.
..watafanya makongamano bila kuingiliwa na polisi.
Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) Zitto Kabwe amesema kukutana kwa Mwenyekiti wa @ChademaTz Mhe. @freemanmbowetz na rais @SamiaSuluhu ikulu ni miongoni mwa jitihada alizokuwa anazifanya yeye binafsi. 😁😁😁😁😁
[/QUOT
Zitto alitaka kupata credit ila ameshindwa maana walioweka pressure Mh Mbowe aachiwe Ni wengi Sana.
Sasa leo leo kaachiwa kaenda kukutana na rais Ikulu maana yake nini? Sio tamu ata kidogo
Mmandegesi akili za kimaskini uchoyo uchawi .....sasa Mikutano ya Chadema inaanza nchi nzima ...kama hupendi Burundi sio mbaliHahaaha!!!! vichwa panzi mnasahau mapema ngoja mwezi ujao tena muanze kumnanga mama yenu anayeupiga mwingi.
mama anatuchanganya sana mataga.. anabadilika badilika kama kinyonga hahaha..sjui tuparamie lipi muda huu.. #aliskika mataga mmoja kutoka mchafukoge street