Ikulu, Dar: Rais Samia akutana na Freeman Mbowe

Ikulu, Dar: Rais Samia akutana na Freeman Mbowe

Wazee wa mama anaupiga mwingi na kuwakomoa mataga na sukuma gang mmerudi kwa kasi.
Ngoja atoe boko tena muanze kulia lia.. huwa mnapenda kushangilia vitu vidogo nyumbu bhana.
Kunywa maji maana hakuna namna ndio hivo tena mama anasema tuendelee kuaminiana na kushirikiana kuijenga Tanzania mpya. Pia tuzingatie Haki na kila kitu tufanye kwa misingi ya HAKI . Kwahiyo nyie wauza sumu tafuteni pakwenda mambo yashakorogeka.

IMG-20220304-WA0020.jpg
 
..ameomba msamaha.

..you can see it in her body language.
Nikuulize mkuu, katika uzoefu wako, tukio kama hili uliwahi kuliona wapi duniani!

Komedi hizi huenda zinapatikana Tanzania pekee.

Ili nisikuache na malowelowe, piga picha hapo akiwepo Mwalimu Nyerere anafanya haya tunayoyaona leo!

Unapozungumzia 'body language' ya huyu mama; unanikumbusha ile 'display' aliyoionyesha kule Nairobi akimmpa pole Lissu. Ile picha inaganda akilini mwangu; na baadae nikashangaa kusikia maneno ya kumkashifu Lissu kutoka kwa mtu huyo huyo!
 
Sasa leo leo kaachiwa kaenda kukutana na rais Ikulu maana yake nini? Sio tamu ata kidogo
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] .
Mnajua Nini ninyi wanaharakati wa Mitandaoni
Tunategemea chadema itaendelea na mapambano ya kudai Haki na uhuru wa vyama vingi hili likishindikana basi tena tujiunge wote na ccm tu hakuna namna. Kwahiyo mwenyekiti pamoja na yote mliyozungumza na Rais samia leo baada ya kutoka gerezani hilo naomba uliweke akilini.
 
Mwamba Tuvushe atakuwa mwanafunzi katika BATCH ya kwanza kusoma pale CHUO CHA UONGOZI JULIUS NYERERE maeneo ya kibaha kwa Mathias!

#Siempre CCM🙏
 
Mwenyekiti amekosea sana.
Hawa watesi wametuumiza sana. Mwenyekiti ana busara na hekma ni kweli, lakini angetulia kwanza tujipoze majeraha ya hawa watesi wetu. Imekuwa haraka sana hii.
 
Kunywa maji maana hakuna namna ndio hivo tena mama anasema tuendelee kuaminiana na kushirikiana kuijenga Tanzania mpya. Pia tuzingatie Haki na kila kitu tufanye kwa misingi ya HAKI . Kwahiyo nyie wauza sumu tafuteni pakwenda mambo yashakorogeka.

View attachment 2139150
Mimi sina shida na Mbowe wala mama yako.
Sema nimekataa kuwa kichwa panzi kama wewe.
Huyu ndiye yule aliyesema Mbowe gaidi mbele ya bbc na salim kikeke.
Huyu ndiye aliyesema Lukuvi na Kabudi wanautaka uraisi baadae akasema ni wachapakazi
na watapewa nafasi maalum.
Huyu ndiye aliyesema mmeanza chokochoko.
Baada ya kumtoa spika ndiye aliyemwalika ikulu wazungumze.
Kuitwa kwa mbowe ikulu haina uspesho huo kwa huyo mnayemwita mama yenu
kwa sababu hajawahi kujua anasimamia.
Siku si nyingi mtafungua thread za kumponda hapa hapa.
 
Rais Samia kamuomba aende ikulu wayamalize.
🤣🤣🤣
Umelewa kahawa ama mbege?!!!

Yaani Mwenyekiti Samia wa CCM niijuayo amuombe msamaha Mbowe?!!!

Unamzumgumzia huyuhuyu mtoto wa ubatizo wa baba wa taifa?!!!!
 
..hawezi tena kurudi kwenye uhuni wa Magufuli.

..kama ni ukatili na hujuma za kisiasa basi watafanya kwa kutumia akili na hawatakuwa careless kama awamu ya 5.
Hiyo akili kubwa ndio ilimfunga mbowe..
Mbona unaongea kama umekatwa kichwa.
 
..watafanya makongamano bila kuingiliwa na polisi.

Naiona opportunity aliyoikosa Vasco Dagama ya kuacha legacy kwenye utawala wake Samia anaweza kufaulu kuipata iwapo atacheza vizuri karata ya kuipatia nchi KATIBA waitakayo wananchi!!! She has the capacity and will to accomplish the feat if only she can handle the ccm hardliners!
 
Z
Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) Zitto Kabwe amesema kukutana kwa Mwenyekiti wa @ChademaTz Mhe. @freemanmbowetz na rais @SamiaSuluhu ikulu ni miongoni mwa jitihada alizokuwa anazifanya yeye binafsi. 😁😁😁😁😁
[/QUOT

Zitto alitaka kupata credit ila ameshindwa maana walioweka pressure Mh Mbowe aachiwe Ni wengi Sana.
 
Sasa leo leo kaachiwa kaenda kukutana na rais Ikulu maana yake nini? Sio tamu ata kidogo

04 March 2022
Dar es Salaam, Tanzania

KAULI YA MBOWE YA KWANZA BAADA YA KUTOKA GEREZANI, ATOA TAMKO KWA WAFUASI WA CHADEMA NA WATANZANIA.. HATIMAYE Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, ameachiwa huru baada ya DPP kuwasilisha mahakamani hati ya kutakuwa na nia ya kuendelea na kesi.




Nyuma ya pazia mengi yamefanikisha haya tunayoyaona ikiwemo kule Belgium, Makamu Mwenyekiti Tundu Lissu kukutana na Rais Samia na leo hapa Dar es Salaam Mwenyekiti Freeman Mbowe kupata nafasi ya kukutana na rais Ikulu baada ya kutoka mahabusu gerezani

 
Lisu alisema nimeambiwa Mbowe asiposumbua na katiba mpya atatolewa...
Baada ya siku chache katoka...
Na yuko Ikulu... ilipangwa lini?
What next?[emoji16][emoji16]
mama anatuchanganya sana mataga.. anabadilika badilika kama kinyonga hahaha..sjui tuparamie lipi muda huu.. #aliskika mataga mmoja kutoka mchafukoge street
 
Back
Top Bottom