Ikulu, Dar: Rais Samia akutana na Freeman Mbowe

Ikulu, Dar: Rais Samia akutana na Freeman Mbowe

Hahahha... Yani siasa bana!

Mtu anakufunga miezi karibu 9 alafu mwishowe anakwambia njoo tuyajenge, alafu unaanza kushangilia!

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Ndivyo Mandela alivyokuwa Rais wa Africa Kusini na apartheid kuisha Africa kusini!

Ndivyo Hichilema alivyofanyika Rais wa Zambia na Lungu kukubali kuondoka!
 
Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) Zitto Kabwe amesema kukutana kwa Mwenyekiti wa @ChademaTz Mhe. @freemanmbowetz na rais @SamiaSuluhu ikulu ni miongoni mwa jitihada alizokuwa anazifanya yeye binafsi. [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Aiseeee
 
Nasisitiza tu, ukisikia mtu anamzungumzia vizuri au vibaya mtu fulani usiyemfahamu, usiwe mwepesi wa kuamini kile ulichoambiwa.

Tusiyoyajua ni mengi kuliko tunayoyajua!
Na si rahisi kujua kusudi la huyo anayekusimulia huo wema au ubaya wa mtu husika!
Screenshot_20220304-225127_1646423536552.jpg

Wanasiasa ni kama ndg, wakigombana shika jembe ukalime, wakipatana beba kikapu ukavune!```😆😆👌
 
Mchana niliwaambia wenzio mwamba kafika bei.
Hawakuelewa

Bei umefika wewe. Afike Bei kwa lipi?. Kuonana na Rais ndio kufika Bei. Ilibidi aonane na Rais maana yeye ndio alimtangaza BBC kuhusu ugaidi.
 
Nasisitiza tu, ukisikia mtu anamzungumzia vizuri au vibaya mtu fulani usiyemfahamu, usiwe mwepesi wa kuamini kile ulichoambiwa.

Tusiyoyajua ni mengi kuliko tunayoyajua!
Na si rahisi kujua kusudi la huyo anayekusimulia huo wema au ubaya wa mtu husika!
View attachment 2139181
Wanasiasa ni kama ndg, wakigombana shika jembe ukalime, wakipatana beba kikapu ukavune!```[emoji38][emoji38][emoji108]
Screenshot_20220304-233644.jpg
 
View attachment 2139083

Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan leo amekutana na kuzungumza na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Freeman Mbowe Ikulu Mkoani Dar Es Salaam.

Rais Samia amesisitiza kuwa kuna umuhimu wa kushirikiana ili kuijenga Tanzania kwa kuaminiana na kuheshimiana kwa misingi ya haki.

Mhe. Mbowe amemshukuru Rais Samia kwa kuonesha kwake kujali huku akikubali kuwa msingi mkubwa wa kujenga taila la Tanzania ni kusimama katika haki.

Vile vile, amesema wamekubaliana kufanya siasa za kistaarabu na kiungwana na kuwa yuko tayari kushirikiana na Serikali katika kuleta maendeleo ili nao pia waweze kutekeleza majukumu yao ipasavyo.
View attachment 2139172
View attachment 2139159
====

Picha Mbalimbali zikimuonesha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na kuzungumza na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe alipowasili Ikulu Jijini Dar Es salaam leo tarehe 04 March 2022

View attachment 2139037View attachment 2139038View attachment 2139039View attachment 2139058


Tunashukuru Raisi Samia kusikiliza watu wenye nia njema na nchi yetu lakini Vilevile tunamshukuru kwa kugundua wale matapeli wa vyombo vya usalama ! Yaani mtu gaidi akakutane na Rais wa nchi lazima tukubali hii tulifika pabaya hata Raisi amegundua hilo.
 
Mai
Usiseme utadhani, ila uliyoyasema ndo ukweli huo. Sisi wananchi wa kawaida huwa tunafanyiwa maigizo na kuyapokea yalivyo ndo maana ikaitwa sirikali.

Maigizo yanategemea interpretation yako. Kuna watu mpaka leo wanaamini kifo Cha Rais Magufuli Ni maigizo.
 
View attachment 2139083

Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan leo amekutana na kuzungumza na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Freeman Mbowe Ikulu Mkoani Dar Es Salaam.

Rais Samia amesisitiza kuwa kuna umuhimu wa kushirikiana ili kuijenga Tanzania kwa kuaminiana na kuheshimiana kwa misingi ya haki.

Mhe. Mbowe amemshukuru Rais Samia kwa kuonesha kwake kujali huku akikubali kuwa msingi mkubwa wa kujenga taila la Tanzania ni kusimama katika haki.

Vile vile, amesema wamekubaliana kufanya siasa za kistaarabu na kiungwana na kuwa yuko tayari kushirikiana na Serikali katika kuleta maendeleo ili nao pia waweze kutekeleza majukumu yao ipasavyo.
View attachment 2139172
View attachment 2139159
====

Picha Mbalimbali zikimuonesha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na kuzungumza na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe alipowasili Ikulu Jijini Dar Es salaam leo tarehe 04 March 2022

View attachment 2139037View attachment 2139038View attachment 2139039View attachment 2139058
Uzuri wa Mbowe , sio mropokaji kama makamu mwenyekiti wake, ana subra , mtulivu, msikivu na mvumilivu. Natamani Lissu na Lema waige japo hayo machache ya mh Mbowe.
 
unajua nini.?
Mahakama ilimkuta na kesi ya kujibu
D
Samia akamtoa unajua ni bure?
Bei umefika wewe. Afike Bei kwa lipi?. Kuonana na Rais ndio kufika Bei. Ilibidi aonane na Rais maana yeye ndio alimtangaza BBC kuhusu ugaidi.
 
Back
Top Bottom