Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Nilikuwa naitafuta hii comment[emoji1787]Mungu ibariki Chadema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuwa naitafuta hii comment[emoji1787]Mungu ibariki Chadema
Jambo la afya kwa mshikamano wa Taifa letu. Hongera rais kwa kufuata utengemano na amani ya nchi. Hili linakupa heshima wewe zaidi kuliko hao wageni wako toka upinzani. Wanavyozidi kuonekana ikulu kila wakati ndio na umaarufu wako unapanda na wao kushuka kisiasa.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mazungumzo tarehe 09 Mei, 2022.
View attachment 2218354
View attachment 2218392
😆 😆 ngoja pakuche tuskie Tundu atasemaje.Ingekuwa Zitto sasa! Angesemwa wiki nzima! Hii nchi hakuna upinzani.
[emoji3][emoji3][emoji3]COVID 19 hawaelewi wafanye nini, wahenga walisema kila mchuma janga hula na wakwao.
That is the issue ila lile suala CHADEMA wakikubali any compromise na ccm watakuwa wamepoteza pambano kwa kurusha tauloNadhani Mama anataka maelewano zaidi katika issue ya wale Covid 19 mjengoni.
Kwa hiyo Mbowe ataanza kufidiwa zile kadhia zote kwa kodi ya wananchi wanyonge?Mbowe ni CCM Full stop mtanielewa 2035 !!
Nilisema Mrema ni CCM mwaka 1996 watu wakanijia juu:
Nikaandika hapa kwamba Dr SLAA ni CCM ilikuwa mwaka 2009 na kadi yake ilikuwa imelipiwa hadi 2020
Hawa wote wako Upinzani na wanaalipwa na serikali
Wa mtaani ndo utanibishia….
Britanicca
Vipi katiba mpya mmefikia wapi?Mataga mmevimba .....ndo muerewe Chadema ni Taasisi kubwa sana
Mama mi 5 tena Lisu tupa kule
Mbowe sasa hivi atakuwa tajiri mkubwaMbowe anaupiga mwingi sana
Unaje mwamba anavyoigaragaza ccm kwa kuandika katiba mpya?Haichekeshi.
Malisa nae unaona mna mtu paleHii caption ya Kada wa chadema imenishtua, Kwani Samia ndiye anaiongoza kamati kuu?View attachment 2218383
Kapewa kakongagi kumbe mbowe ni mzalendo wa kutukuza vinywaji vya tzJuisi ya mjengoni tamu
Wewe nawe umepitwa na wakati bado unawaza siasa [emoji1787][emoji1787]achana na wanasiasa shikamana na kuwatafuta wazalendo , pigia kura wazalendo , shikamana na wazalendo ,wasikilize wazalendo ,chagua wazalendo , achana kabisa na takataka za wanasiasaWanasiasa lao moja tu,acha wagawane keki ya taifa..
Wewe nawe umepitwa na wakati bado unawaza siasa [emoji1787][emoji1787]achana na wanasiasa shikamana na kuwatafuta wazalendo , pigia kura wazalendo , shikamana na wazalendo ,wasikilize wazalendo ,chagua wazalendo , achana kabisa na takataka za wanasiasa