Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Kikosi kazi kilipendekeza mchakato wa katiba uanze baada ya uchaguzi wa 2025.Nikikumbuka zile agenda za baraza kuu la Chadema tarehe 11, Katiba Mpya iko pale, naamini hata kwenye akili ya Mbowe hapo kikaoni ipo pia.
Huenda mwamba naye ameridhia hilo, ndio maana kelele zake za kudai katiba zimekwisha.