Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Zitto ni kibaraka! Mbona hili linajulikana tangu zamani?!Ingekuwa Zitto sasa! Angesemwa wiki nzima! Hii nchi hakuna upinzani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zitto ni kibaraka! Mbona hili linajulikana tangu zamani?!Ingekuwa Zitto sasa! Angesemwa wiki nzima! Hii nchi hakuna upinzani.
Punguza jazba!Huyu mzee muda huu wananchi wanajipambania wenyewe kuhusu bei ya petroli na mfumuko wa bei yeye kila siku anapiga piga picha tu alafu baadae uje kujiliza liza kwa wananchi.
Hii ni 2022, mpaka 2035 ni wangapi kati yetu watakuwa wame RIP, nafasi yako ya kusutwa ni ndogo sana.Mbowe ni CCM Full stop mtanielewa 2035 !!
Nilisema Mrema ni CCM mwaka 1996 watu wakanijia juu...
Ulitaka aimbe CCM mbele kwa mbele?Vipi mbona mwamba kapoa hivi?
Au katiba mpya tayari?
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mazungumzo tarehe 09 Mei, 2022.
View attachment 2218354
View attachment 2218392
Akiishiwa Hela tu msumbufu, anachangisha Hela za kuitisha Baraza Kuu Kila mahaliRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mazungumzo tarehe 09 Mei, 2022.
View attachment 2218354
View attachment 2218392
Kwakuwa Zitto anasemwa ndio hakuna upinzani umeshughulishwa vzr Ubongo wako?Ingekuwa Zitto sasa! Angesemwa wiki nzima! Hii nchi hakuna upinzani.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mazungumzo tarehe 09 Mei, 2022.
View attachment 2218354
View attachment 2218392
Vua miwani.Sijaelewa
Akili kubwa.Hiyo picha ya pili inaonyesha hapakuwa na jambo la furaha lililoongelewa kati ya hawa wawili.
Mbowe anajilazimisha sana aonekane kuwa na uso wa furaha, lakini wapi!
Hapa ndipo ilipo 'checkmate', ya kujua uwezo wa kiongozi ulivyo.
Mbowe, kapewa siku moja tu, au pungufu, ya kuyafikiria yaliyoongewa hapo kabla hajakabiriana na wajumbe wa mkutano wake.
Mambo mazito ni lazima ayapime, na kuyafanyia uamzi haraka. Atakapokutana na dhoruba ya wajumbe wake awe katika nafasi ya kushawishi juu ya maamuzi yatakayofanyika katika mkutano huo.
Bi mkubwa, akili yake ipo mbali kabisa, pengine kwa kukosa ahadi toka kwa Mwenyekiti Mbowe, kuyatimiza yale aliyoomba yatimizwe katika mkutano wa kesho.
Mbowe anaweza kununua juusi yote ya nchi hii na kumnunua mtengenezaji wake.Kama unabisha haufiki mbinguni.Juisi ya mjengoni tamu
Ni kawaida kabisa . Hata CCM sio Moja . Kuna CCM ya Kibepari na CCM ya Kijamaa.Mbowe ni CCM Full stop mtanielewa 2035 !!
Nilisema Mrema ni CCM mwaka 1996 watu wakanijia juu...
Kwa nini usianze weye kudai katiba mpya?Tangu atoke jela, sijasikia kongamano la katiba mpya tena. Nasikia tu vimaneno maneno kuhusu katiba mpya huku mwenye mitandao. Hivi vimaneno vya kwenye mitandao vinatosha kweli kutuletea katiba mpya?
ndio maana mnateseka na Ajira kwa Akili za kuku kama tulizonazo Mtu mzima unaandika ujingaHaya ndo mambo Chadema waliyakosa awamu ya tano. Wanapenda Sana juisi za Ikulu.
Hawa Covid-19 ni wabunge, ilikuwa lazima watake wasitake wenyewe. Bwana yule unafahamu wasingeweza kufanya chochote hawa Covid-19. Muulize mkamia ilibidi ajipendekeze kwa kupigia debe upresident miaka 7. Hakupenda ila alilazimika kujiokoa kwa kupinga miswada wa habari!COVID 19 hawaelewi wafanye nini, wahenga walisema kila mchuma janga hula na wakwao.
Kamfuate Jiwe huko aliko ufurahi nayeVua miwani.
Tatizo lako unajifanya mtabiri. Unajishushia heshima na by 2035 utakuwa umekufa tayari [emoji1][emoji1][emoji16][emoji16]Mbowe ni CCM Full stop mtanielewa 2035 !!
Nilisema Mrema ni CCM mwaka 1996 watu wakanijia juu...
Umeongea madini ya Tanzanite tupu. Kuna wapumbavu ambao wanajifananisha na MboweWanasiasa lao moja tu,acha wagawane keki ya taifa..