IKULU, Dar: Rais Samia na Freeman Mbowe wakutana na kufanya mazungumzo leo Mei 9, 2022

IKULU, Dar: Rais Samia na Freeman Mbowe wakutana na kufanya mazungumzo leo Mei 9, 2022

Tayari ni Tajiri kabla wewe hujazaliwa!!.. Mwenzako alikua anafanya kazi BOT wewe hata wazazi wako walikua hawajakutana!!
Atajuwa wapi huyo Kiroboto kuwa Mbowe ni tajiri wakati analipwa kwa kuandika hapa jukwaani upupu.
Yaani anauliza utajiri kwa Mbowe mtu walie muharibia biashara zake nyingi Kama Klabu Bilicanas, mashamba yake na kufunga akaunti zake za benki lakini mwanaume akawa ngangari mpka wakampa kesi ya Ugaidi hewa.
 
Siasa za kutembea na upepo ambazo hawa wapinzani wamezoea toka awamu ya 4 kimsingi jamaa angekuwa hajapewa fungu lake angeshalianzisha kuhusu bei za vitu kupanda mafuta na gharama za maisha ila kwa sasa kashapokea kibahasha na cheque yake anasubiria kuhamishiwa billion zake kadhaa ili apige kimya. Pia anaskilizia pendekezo lake juu ya Covid-19 litekelezwe.

Hizo ndio mbishe ambazo hayati alikuwa hawezi, kumlipa mtu ili akae kimya😅 aliwachukulia wapinzani katika uhalisia so hakuweza ku allie nao bali kuwa abolish.
 
Tangu atoke jela, sijasikia kongamano la katiba mpya tena. Nasikia tu vimaneno maneno kuhusu katiba mpya huku mwenye mitandao. Hivi vimaneno vya kwenye mitandao vinatosha kweli kutuletea katiba mpya?
Wewe unaishi dunia gani? Hiki kilikuwa kikao cha harusi huko Mbeya?
20220510_013627.jpg
 
Siasa za kutembea na upepo ambazo hawa wapinzani wamezoea toka awamu ya 4 kimsingi jamaa angekuwa hajapewa fungu lake angeshalianzisha kuhusu bei za vitu kupanda mafuta na gharama za maisha ila kwa sasa kashapokea kibahasha na cheque yake anasubiria kuhamishiwa billion zake kadhaa ili apige kimya. Pia anaskilizia pendekezo lake juu ya Covid-19 litekelezwe.

Hizo ndio mbishe ambazo hayati alikuwa hawezi, kumlipa mtu ili akae kimya😅 aliwachukulia wapinzani katika uhalisia so hakuweza ku allie nao bali kuwa abolish.
Dingi ametuangusha sana ma-hustler wa mtaa ingawa shutuma zako huenda si za kweli au zina ukweli
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mazungumzo tarehe 09 Mei, 2022.

View attachment 2218354
View attachment 2218392
Mkisikia civility, ndio hii, kiukweli Freeman Mbowe ni gentleman. Mtu kuzaliwa familia bora, malezi, makuzi ya kistaarabu, huwezi kuwa ropo ropo. Linganisha angekuwa yule msomi wetu...
Compare and Contrast Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?

Hata hivyo sisi wa connect dots, ukiona watu walishindwa kufanya vikao muhimu kutokana na ukata, huku Mzee yuko korokoroni, mara ghafla milango ya gereza ikafunguka, breki ya kwanza ni Ikulu kushukuru!. Mara ghafla ule ukata haupo tena, hivyo kikao muhimu kimeitishwa, mara ghafla, just a day kabla ya kikao muhimu, mara ghafla mtu katinga Ikulu!. We know ni alikwenda kufanya nini!. Watu wenye shukrani, mtawajua tuu!. Tena usikute this time around, hamtumi Shaka tuu, au KM, mnaweza kushangaa mgeni maalum kwenye ufunguzi ni Mama!.

Kwenye siasa hakuna rafiki wa kudumu, wala adui wa kudumu...

P
 
Tangu atoke jela, sijasikia kongamano la katiba mpya tena. Nasikia tu vimaneno maneno kuhusu katiba mpya huku mwenye mitandao. Hivi vimaneno vya kwenye mitandao vinatosha kweli kutuletea katiba mpya?
Umelogwa, mikutano ya ndani ya makongamano ya Katiba inaendelea nchi nzima
 
Hata Membe leo amekuwa Ikulu ,, kabla ya Ijumaa tumepanga Zitto naye aonane na Mama !!

Mzungumzo haya Mama amemwambia Mbowe kwamba wanayafanyia kazi mapendekezo yao Lakin pia wamegusia Suala la COVID 19 Bungeni

Pia kuna mtu anakula kitengo soon
Umekatazwa kupiga ramli, Kuna Uzi mtu kakuonya kuacha hayo mambo ya kubahatisha ukitegemea coincidence....
 
That is the issue ila lile suala CHADEMA wakikubali any compromise na ccm watakuwa wamepoteza pambano kwa kurusha taulo

Kabisa, na sioni tija Wala afya kwa Mbowe kwenda kwenda ikulu.
 
Back
Top Bottom