johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mbaya zaidi ni Kwamba Huyo Mrisho Mpoto ni MuislamuKwahiyo, unataka kusema macho ya Mrisho Mpoto yana matatizo ya kuona mbali?
By the way, padre Charles Kitima alikaa sehemu maalum iliyoandaliwa kwa akili ya viongozi wa dini( Kwahiyo, huwezi kuamua tu kwenda kukaa nyuma, na wakati sehemu ya viongozi wa dini ipo).
NB
Inaoonekana, kuwasema vibaya viongozi hao wa TEC, kuliandaliwa mapema na hivyo eneo la kukaa lisingekuwa suluhisho la tatizo husika.
SWALI LA KUJIULIZA NI KUWA: Mrisho Mpoto alipata wapi kiburi hizo, pasina kulindwa?
wamesahau kuwa kina kitima nao wana jukwaa la kwenda kusemea, kwa waumini wao. wao wana jukwaa la ikulu, wao pia wana jukwaa la madhabahu. sijui wanaipeleka wapi hii nchi.Kitendo hiki ni cha aibu sana na kinashusha heshima ya Ikulu yetu. Nina uhakika Mheshimiwa Rais hakufahamu njia zilizotumika na ratiba ya mambo ilivyo pangwa.
Juzi kulikuwa na hafla ya kutia Saini mkataba wa Bandari.
Baadhi ya watu mashuhuri na wengine kutokea TEC akiwamo Fr. Kitima walialikwa lakini bila kutaja wamealikwa kwenye nini Ikulu kama kadi zilivyoonyesha.
Mwaliko ulionyesha Rais (tena kwa kitisho cha Amiri jeshi mkuu) anakualika na hivyo sio rahisi kukwepa. Sasa mbaya ni kuwatumia wasanii kama Mrisho Mpoto kuwasemanga mle ndani eti hata wale waliopinga wapo humu!
Sio uungwana hata kidogo taasisi yenye heshima kama ikulu kufanya mambo ya kwenye vigodoro au kitchen party. Kwani wange Saini na kutoa hotuba zao bila kuwasemanga waliokuwa wanapingankwa maslahi ya nchi kulikuwa na ubaya gani?
Hili hata watu kama Pascal Mayalla wanaotetea mambo ya ikulu kwa kila kitu wataona sio right!
View attachment 2794452
Kuwa muislamu siyo tatizo.Mbaya zaidi ni Kwamba Huyo Mrisho Mpoto ni Muislamu
Tumia akili ndugu.Nae uroho wa ubwabwa wa ikulu umemponza, mtu umetoka kumzodoa juzi tu leo anakualika halafu bila kujiuliza we huyo kufuata ubwabwa.
Angeenda tu. Mungu kamfichua mnafiki. Sasa na akawe balozi wa kueneza mema ya DPW.'Hafla Maalum', wangeandika utiaji sahini asingeenda
Muislamu kumkejeli Padre hadharani ni tatizo tena Kubwa tu kama HujuiKuwa muislamu siyo tatizo.
Tatizo ni maneno ya kejeli, na wakati viongozi wa juu wa kisiasa walielekeza kuwa kila mtu atoe maoni yake.
Kama, umetoa nafasi hiyo: Kwa nini umsimange aliyetoa maoni?
Na matokeo yake aonekane kama mtoto yatima kwenye nyumba ya mama wa kambo?
TEC ni viongozi wenye influence ndio maana walialikwa IKULU.Hivi hao TEC ni akina nani mpaka wao wajione miungu watu? wana nn hasa cha zaidi ukilinganisha na binadamu wengine waliokuwepo eneo la tukio? wana nn hasa kinachofanya uwape attention kubwa hivyo? NI BINADAMU TUU AMBAO MWISHO WATAKUFA, WATAZIKWA, WATAOZA NA KULIWA NA FUNZA, waache kujisahau hii dunia sio ya mama zao. Halafu card ya mwaliko unapewa private then unaipiga picha na kuiweka hadharani ni UPUMBAVU na UJUHA kwa mtu anaejitambua.
Mtu asiyekuwa shoga ni ngumu sana kutajataja mambo ya kishoga Kwasababu yanaleta kichefuchefu hadi ROHONI.Waache hila hao maSshoga
Kwani, Kuna kipengele kimesema kuwa MWALIKO huu usipigwe picha au kuoneshwa kwa yeyote?, Kama hakipo unamkamata KITIMA kwa kutumia KANUNI gani?Kama kitima
Kama kitima ndo kaamua kuusambaza huu mwaliko basi naiomba mamlaka imkamate mana anajiona kwamba serikali Iko answerable kwake na ameiweka mfukoni
Kwani, mapambo ni CONTENT?Baada ya kufika na kuona mapambo ya DPW walichukua hatua ipi?
Tumia akili ndugu.
Kitima ni daktari wa sheria, ambaye anao uwezo wa kuajiriwa kwa mshahara mzuri sana.
Kuvizia wali tuachie makapuku kama MIMI siyo KITIMA.
Inaoonekana, hujui ulinzi unaokuwepo kwenye maeneo ambayo RAIS anakuwepo.Fr. Kitima nae aachage kupenda mialiko ya Ikulu.
Haipendezi kuibuka leo wakati walishaenda na wakashiriki!
Kama aligundua utofauti wa kadi na MUKTADHA alioukuta alipaswa kuondoka!
Kwenye hili siwezi kuilaumu serikali na genge lake!
Kunakuwa na ULINZI MKALI.ilikua kazi ndogo tu wangeondoka mapema, kipi kiliwaweka hadi mwisho wa mambo,au posho nzuri maamuzi baadae
Jf hakika nimeogopa sana kila kitu kinawekwa waziKitendo hiki ni cha aibu sana na kinashusha heshima ya Ikulu yetu. Nina uhakika Mheshimiwa Rais hakufahamu njia zilizotumika na ratiba ya mambo ilivyo pangwa.
Juzi kulikuwa na hafla ya kutia Saini mkataba wa Bandari.
Baadhi ya watu mashuhuri na wengine kutokea TEC akiwamo Fr. Kitima walialikwa lakini bila kutaja wamealikwa kwenye nini Ikulu kama kadi zilivyoonyesha.
Mwaliko ulionyesha Rais (tena kwa kitisho cha Amiri jeshi mkuu) anakualika na hivyo sio rahisi kukwepa. Sasa mbaya ni kuwatumia wasanii kama Mrisho Mpoto kuwasemanga mle ndani eti hata wale waliopinga wapo humu!
Sio uungwana hata kidogo taasisi yenye heshima kama ikulu kufanya mambo ya kwenye vigodoro au kitchen party. Kwani wange Saini na kutoa hotuba zao bila kuwasemanga waliokuwa wanapingankwa maslahi ya nchi kulikuwa na ubaya gani?
Hili hata watu kama Pascal Mayalla wanaotetea mambo ya ikulu kwa kila kitu wataona sio right!
View attachment 2794452
Unafikiri unajipangia pakukaa?Yesu: Ukialikwa harusini kaa siti za nyuma Ili akija Bwana harusi akuulize unakaaje Siti za nyuma Njoo Siti za mbele ufurahie kalamu
Kwa Kawaida ukiwahi Siti za mbele ndio akina Mrisho Mpoto watakuona na kukuletea dhihaka