Ikulu mnaalika watu wenye heshima kijanja kisha mnawazodoa

Ikulu mnaalika watu wenye heshima kijanja kisha mnawazodoa

Kwahiyo, unataka kusema macho ya Mrisho Mpoto yana matatizo ya kuona mbali?
By the way, padre Charles Kitima alikaa sehemu maalum iliyoandaliwa kwa akili ya viongozi wa dini( Kwahiyo, huwezi kuamua tu kwenda kukaa nyuma, na wakati sehemu ya viongozi wa dini ipo).
NB
Inaoonekana, kuwasema vibaya viongozi hao wa TEC, kuliandaliwa mapema na hivyo eneo la kukaa lisingekuwa suluhisho la tatizo husika.
SWALI LA KUJIULIZA NI KUWA: Mrisho Mpoto alipata wapi kiburi hizo, pasina kulindwa?
Mbaya zaidi ni Kwamba Huyo Mrisho Mpoto ni Muislamu
 
Kitendo hiki ni cha aibu sana na kinashusha heshima ya Ikulu yetu. Nina uhakika Mheshimiwa Rais hakufahamu njia zilizotumika na ratiba ya mambo ilivyo pangwa.

Juzi kulikuwa na hafla ya kutia Saini mkataba wa Bandari.

Baadhi ya watu mashuhuri na wengine kutokea TEC akiwamo Fr. Kitima walialikwa lakini bila kutaja wamealikwa kwenye nini Ikulu kama kadi zilivyoonyesha.

Mwaliko ulionyesha Rais (tena kwa kitisho cha Amiri jeshi mkuu) anakualika na hivyo sio rahisi kukwepa. Sasa mbaya ni kuwatumia wasanii kama Mrisho Mpoto kuwasemanga mle ndani eti hata wale waliopinga wapo humu!

Sio uungwana hata kidogo taasisi yenye heshima kama ikulu kufanya mambo ya kwenye vigodoro au kitchen party. Kwani wange Saini na kutoa hotuba zao bila kuwasemanga waliokuwa wanapingankwa maslahi ya nchi kulikuwa na ubaya gani?

Hili hata watu kama Pascal Mayalla wanaotetea mambo ya ikulu kwa kila kitu wataona sio right!

View attachment 2794452
wamesahau kuwa kina kitima nao wana jukwaa la kwenda kusemea, kwa waumini wao. wao wana jukwaa la ikulu, wao pia wana jukwaa la madhabahu. sijui wanaipeleka wapi hii nchi.
 
Mbaya zaidi ni Kwamba Huyo Mrisho Mpoto ni Muislamu
Kuwa muislamu siyo tatizo.
Tatizo ni maneno ya kejeli, na wakati viongozi wa juu wa kisiasa walielekeza kuwa kila mtu atoe maoni yake.
Kama, umetoa nafasi hiyo: Kwa nini umsimange aliyetoa maoni?
Na matokeo yake aonekane kama mtoto yatima kwenye nyumba ya mama wa kambo?
 
Nae uroho wa ubwabwa wa ikulu umemponza, mtu umetoka kumzodoa juzi tu leo anakualika halafu bila kujiuliza we huyo kufuata ubwabwa.
Tumia akili ndugu.
Kitima ni daktari wa sheria, ambaye anao uwezo wa kuajiriwa kwa mshahara mzuri sana.
Kuvizia wali tuachie makapuku kama MIMI siyo KITIMA.
 
Kuwa muislamu siyo tatizo.
Tatizo ni maneno ya kejeli, na wakati viongozi wa juu wa kisiasa walielekeza kuwa kila mtu atoe maoni yake.
Kama, umetoa nafasi hiyo: Kwa nini umsimange aliyetoa maoni?
Na matokeo yake aonekane kama mtoto yatima kwenye nyumba ya mama wa kambo?
Muislamu kumkejeli Padre hadharani ni tatizo tena Kubwa tu kama Hujui

Huyo Mrisho Posho za kampeni 2025 ndio ameshazikosa kwa sababu Wagalatia watamkimbia kama Ukoma!
 
Hivi hao TEC ni akina nani mpaka wao wajione miungu watu? wana nn hasa cha zaidi ukilinganisha na binadamu wengine waliokuwepo eneo la tukio? wana nn hasa kinachofanya uwape attention kubwa hivyo? NI BINADAMU TUU AMBAO MWISHO WATAKUFA, WATAZIKWA, WATAOZA NA KULIWA NA FUNZA, waache kujisahau hii dunia sio ya mama zao. Halafu card ya mwaliko unapewa private then unaipiga picha na kuiweka hadharani ni UPUMBAVU na UJUHA kwa mtu anaejitambua.
TEC ni viongozi wenye influence ndio maana walialikwa IKULU.
Na walisemwa vibaya kutokana na influence yao.
Kwani Mrisho Mpoto ni nani hata awaseme viongozi wa TEC( Na wakati ISSUE Yao ya utoaji maoni ilikuwa na kibali toka kwa viongozi wa juu wa SERIKALI).
Ukiona watu wanakuhangaikia ufike mahali fulani ili wakuponde kwa maneno basi jua kuwa una kitu fulani ambacho ni hatari kwao.
NB
Kwa mujibu kwa baadhi ya maandiko.
Kila nafsi itaonja umauti.Je, unamaana kuwa tuwapuuze watu wote kwa kuwa wote watakufa?, Ni dhahiri yatakuwa mawazo ya kitoto sana. Kwasababu MUNGU MWENYEZI ametupa viongozi mbalimbali wa KISIASA na KIDINI.
Kazi ya viongozi wa DINI ni kukosoa viongozi wa KISIASA pale wanapokosea( Na hii haijaanza leo).
 
Kama kitima
Kama kitima ndo kaamua kuusambaza huu mwaliko basi naiomba mamlaka imkamate mana anajiona kwamba serikali Iko answerable kwake na ameiweka mfukoni
Kwani, Kuna kipengele kimesema kuwa MWALIKO huu usipigwe picha au kuoneshwa kwa yeyote?, Kama hakipo unamkamata KITIMA kwa kutumia KANUNI gani?
 
Tumia akili ndugu.
Kitima ni daktari wa sheria, ambaye anao uwezo wa kuajiriwa kwa mshahara mzuri sana.
Kuvizia wali tuachie makapuku kama MIMI siyo KITIMA.
Kila mara nimekuwa nikisema humu, nchi hii ina watu wajinga na pengine ni namba moja Duniani huwa naona sieleweki.

Hebu fikiria, mtu anasema Mtumishi wa kanisa anayetunzwa na kanisa, Dkt na mwalimu wa chuo kikuu ana uroho wa ubwabwa.

Unaweza kukuta ni mtu mzima kabisa huyo na anategemewa na familia yake, halafu anauona ubwabwa kama kitu kikuubwa sana. Hajafikiria kitu kingine, ila ubwabwa. Ubwabwa kwake ndio kitu cha maana sana.
 
Fr. Kitima nae aachage kupenda mialiko ya Ikulu.
Haipendezi kuibuka leo wakati walishaenda na wakashiriki!
Kama aligundua utofauti wa kadi na MUKTADHA alioukuta alipaswa kuondoka!
Kwenye hili siwezi kuilaumu serikali na genge lake!
Inaoonekana, hujui ulinzi unaokuwepo kwenye maeneo ambayo RAIS anakuwepo.
KIFUPI:-Ni tofauti sana na vikao vya baba mkwe.
 
Kitendo hiki ni cha aibu sana na kinashusha heshima ya Ikulu yetu. Nina uhakika Mheshimiwa Rais hakufahamu njia zilizotumika na ratiba ya mambo ilivyo pangwa.

Juzi kulikuwa na hafla ya kutia Saini mkataba wa Bandari.

Baadhi ya watu mashuhuri na wengine kutokea TEC akiwamo Fr. Kitima walialikwa lakini bila kutaja wamealikwa kwenye nini Ikulu kama kadi zilivyoonyesha.

Mwaliko ulionyesha Rais (tena kwa kitisho cha Amiri jeshi mkuu) anakualika na hivyo sio rahisi kukwepa. Sasa mbaya ni kuwatumia wasanii kama Mrisho Mpoto kuwasemanga mle ndani eti hata wale waliopinga wapo humu!

Sio uungwana hata kidogo taasisi yenye heshima kama ikulu kufanya mambo ya kwenye vigodoro au kitchen party. Kwani wange Saini na kutoa hotuba zao bila kuwasemanga waliokuwa wanapingankwa maslahi ya nchi kulikuwa na ubaya gani?

Hili hata watu kama Pascal Mayalla wanaotetea mambo ya ikulu kwa kila kitu wataona sio right!

View attachment 2794452
Jf hakika nimeogopa sana kila kitu kinawekwa wazi
Kweli ujanja kama huuu ninhatari sana kwa taifa
 
Kuzuungukana Kweli Kupo Jamani, Hapo Imeonekana Nia Ovu Ya Kutaka Kuuficha Ukweli
 
Yesu: Ukialikwa harusini kaa siti za nyuma Ili akija Bwana harusi akuulize unakaaje Siti za nyuma Njoo Siti za mbele ufurahie kalamu

Kwa Kawaida ukiwahi Siti za mbele ndio akina Mrisho Mpoto watakuona na kukuletea dhihaka
Unafikiri unajipangia pakukaa?
 
Back
Top Bottom