Kuna kipindi nilikuwa nafikiri Magufuli anaharibu mambo kwa ushamba tu, kwa ujinga, kwa kutojua, kwa ubishi, na kwa kutosikiliza watu.I am lost ... I have decided to rest my mind for a while... May be I will understand someday
Huoni kuwa amefanikiwa sawa na yule Benson Bana maana nayeye alikuwa mhadhiri pale mlimani lkn akijitoa sifa zilizo mfanya awe pale na mwisho wake leo hii ni baloziTatizo la Bashiru ni kuacha itikadi alizokuwa anazisimamia akiwa mwalimu pale udsm na kugeuzwa mfuasi wa kuvunja Haki za binadamu kwa maslahi ya CCM.
Huyu bado ni mwalimu wa udsmKwa hiyo anakuwa Katibu Mkuu wa Chama na Katibu Mkuu Kiongozi kwa wakati mmoja au anaacha kuwa katibu mkuu wa CCM?
Vipi kuhusu muongozo wa utumishi serikalini unaotenganisha mambo ya chama na utumishi wa umma serikalini?
Hata kama atajiuzulu Ukatibu Mkuu CCM, huu uteuzi unaonesha kwamba utumishi serikalini unaenda kupelekwa kichama chama zaidi.
Wewe ulishapigwa kibuti kama wenzako kina kipara kipyaKamanda dogo acha kulalama
Hata kama atajiuzulu Ukatibu Mkuu CCM, huu uteuzi unaonesha kwamba utumishi serikalini unaenda kupelekwa kichama chama zaidi.
Acha kulalama kijana,yeyote anayekuwa kinyume nanyi lazima awe adui yenu,hivi kuna mtu mwenye akili timamu anaweza kuwa na misimamo ya wafuasi wa chadema?Tatizo la Bashiru ni kuacha itikadi alizokuwa anazisimamia akiwa mwalimu pale udsm na kugeuzwa mfuasi wa kuvunja Haki za binadamu kwa maslahi ya CCM.
Yale yale ya kulalamikia kila kitu!Kwenye sheria kuna msemo, justice must not only be done, it must also seem to be done.
Rais alikuwa na watu wengi sana wa kuwateua katika nafasi hii ya kiserikali isiyotakiwaa kuongozwa kisiasa, akachagua katibu mkuu wa chama chake ambaye ni mtu wa kisiasa.
Katibu Mku huyu ana historia tayari, historia mabayo hawezi kuikana na itamfuata tu huko kwenye civil servant.
Hivi Katibu Mkuu Kiongozi ambaye ashatoa matamko kibao ya kishabiki kwa kuishabikia CCM leo akiwaambia wafanyakazi wa serikali, watumishi wa umma, wasiendekeze siasa sehemu za kazi atachukuliwa serious?
Hivi, watu wakisema Magufuli ana mkakati wa kuingiza siasa za vyama kwenye civil service, atakuwa na point za kujitetea?
Hivi, hakuna watu wengine ambao hawana historia ya chama ambao wangefaa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi?
Umeongelea Katiba. Ukweli kwamba kitu hakikatazwi kikatiba haumaanishi kwamba kukifanya ni busara na jambo zuri.
Magufuli kama last custodian of the land hakatazwi kikatiba kuiuza nchi nzima iwe shamba la Emir of Qatar.
Hakuna sehemu ambapo katiba inamkataza kufanya hivyo.
Lakini je, kufanya hivyo itakuwa haki? Itakuwa sawa? Itakuwa busara?
Mjanja sana mzee wa burigiStone mjanja sana kuna skendo Dr alianza kuandaa mtandao wa 2025 ili kumzunguka farao
Hii kitu itamfanya kuwa mbali na chama na mipango yake
Ikulu itakuwa sehemu ya kupiga domo na beberu China 🇨🇳 watafurahi sana.View attachment 1712543Dkt. Bashiru Ally Kakurwa (Katibu Mkuu Kiongozi)
Wewe anakujua nani kiongozi.Dah kweli mwenye nacho huongezewa. Naomba Mungu nami anisaidie nipate ata uteuzi maana kazi na kuajiriwa hakuna na mitaji ya kujiajiri hakuna pi
Naam! Na ndo maana hakupatikana na hatia kwenye impeachment no.2.Hata Trump hakukiuka katiba kukataa matokeo ya uchaguzi na kusababisha uvamizi Capitol Hill Jan 6.
Maswali yangu ya msingi kuhusu hadhari ya kuchanganya siasa na utumishi wa umma bado yapo pale pale.Huyu bado ni mwalimu wa udsm
Akiacha siasa anarudi udsm, Wanamsubiri
Kama ilikuwa hivyo, hakujawahi kuwapo na rais aliyefanya hilo kwa wazi kabisa kwa ngazi ya kumteua Katibu Mkuu wa Chama kuwa Katibu Mkuu Kiongozi.Kwa hiyo siku zooote hizo hujuagi kama shughuli za kiserikali zinaendeshagwa kichama chama (Ki-CCM) zaidi?
Hilo lipo tangu enzi za Nyerere.
Mkuu,Yale yale ya kulalamikia kila kitu!
Yeyote yule ambaye angeteuliwa na Magufuli mngemtafutia kasoro tu!
Angemteua Freeman Mbowe kuwa ndo katibu mkuu kiongozi, mngesema Mbowe kanunuliwa.
Sioni tatizo la Bashiru kuwa katibu mkuu kiongozi.
Kateuliwa kihalali na Rais aliyepo madarakani. Hata kwenye nchi zenye demokrasia zilizopevuka, viongozi wake huteua watu wa mirengo na itikadi zinazofanana na za kwao kwenye nafasi mbalimbali, zikiwemo mahakama, vyombo vya usalama, nk.
Apewe nafasi ya kufanya kazi tuone utendaji wake ukoje kabla hatujaanza kumtafutia kasoro.