IKULU: Rais Magufuli amteua Dkt. Bashiru Ally Kakurwa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi

IKULU: Rais Magufuli amteua Dkt. Bashiru Ally Kakurwa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi

Katibu mkuu kiongozi ndo sawa na White House Chief of Staff?

Kama ni sawa, tatizo liko wapi endapo Rais aliyepo madarakani atamteua mtu kutoka kwenye chama chake?
Katibu Mkuu Kiongozi ni zaidi ya White House Chief of Staff.Huyo ni Head of Civil Service ukiondoa politicians.

Basically mawaziri, manaibu waziri na rais ni politicians, sio pure civil servants.

Civil service wizarani inaongozwa na katibu mkuu wa wizara.

Na huyu "Katibu Mkuu Kiongozi" ndiye kinara wao.

Kuna miongozo very specific inayokataza watu wa civil service kujiingiza katika siasa.

Sasa mtu party stalwart kama Bashiru, katoka kuwa Katibu Mkuu wa CCM, unaenda kumpa kazi ya kuongoza civil service, eti atenganishe civil service na siasa!

Kituko.
 
Kwa hiyo anakuwa Katibu Mkuu wa Chama na Katibu Mkuu Kiongozi kwa wakati mmoja au anaacha kuwa katibu mkuu wa CCM?

Vipi kuhusu muongozo wa utumishi serikalini unaotenganisha mambo ya chama na utumishi wa umma serikalini?

Hata kama atajiuzulu Ukatibu Mkuu CCM, huu uteuzi unaonesha kwamba utumishi serikalini unaenda kupelekwa kichama chama zaidi.
Ile mambo ya kutenganisha chama na utumishi ni story tu...maana watumisho wote wa serikali wa kuteulia huwa ni wanachama wa chama.

Alafu ni muhimu sana kwa mtumishi kuwa ccm ili aweze itekeleza ilani ya chama vizuri bila mgongano wa kimaslahi.
 
Katibu mkuu kiongozi ndo sawa na White House Chief of Staff?

Kama ni sawa, tatizo liko wapi endapo Rais aliyepo madarakani atamteua mtu kutoka kwenye chama chake?
Chief Secretary kule nadhani wanamuita chief of state. Au unaonaje?
 
Haya twende..! Katibu Mkuu Kiongozi lazima awe balozi..!
 
Katibu mkuu kiongozi ndo sawa na White House Chief of Staff?

Kama ni sawa, tatizo liko wapi endapo Rais aliyepo madarakani atamteua mtu kutoka kwenye chama chake?
White house or State House?
 
Anaenda kuwa na mamlaka kiduchu kuliko aliyokuwa nayo akiwa KM wa Chama.
 
Katibu Mkuu Kiongozi ni zaidi ya White House Chief of Staff.Huyo ni Head of Civil Service ukiondoa politicians.

Kuna miongozo very specific inayokataza watu wa civil service kujiingiza katika siasa.

Sasa mtu party stalwart kama Bashiru, katoka kuwa Katibu Mkuu wa CCM, unaenda kumpa kazi ya kuongoza civil service, eti atenganishe civil service na siasa!

Kituko.
Kama ataachana na siasa kwa kuacha kuwa katibu mkuu wa CCM, nini mbaya?

Magufuli kakiuka katiba kwa kumteua?
 
Balaa, chama kinashika hatamu sasa ya uongozi wa Taifa.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi amteua Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi kuwa Katibu Mkuu Kiongozi. Pia Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi amemteua Katibu Mkuu Kiongozi kuwa Balozi.

Orodha ya makatibu wakuu viongozi waliopita:

1473168141-Portrait%20KMK.jpg

Ambassador John William Herbert Kijazi
(07/03/2016 - To date) Ambassador Eng. Kijazi holds a Bachelor of Science, with Honours, in Civil Engineering from University of Dar es Salaam, Tanzania and a Masters of Science in Highway Engineering from Birmingham University, United Kingdom.

Ombeni Sefue | World Bank Live
View attachment 1712558
Chief Secretary of Government, Tanzania. Ambassador Ombeni Yohana Sefue was sworn in as Chief Secretary of the Government of the United Republic of Tanzania on 31st December 2011.
Aiseeeee !!!!
 
Kwanini Katibu Mkuu hajatoka Mtwara?
Ana ukaribu na mtu yeyote wa Mtwara ??

Kijazi ambaye ni inner circle yake alitoka Lake zone ??

Huyo Dr Abbas ambaye ni mtu wa Mag, amepewa vyeo viwili ( Msemaji wa Serikali na KM wizara ya habari ) ni Kutoka kanda ya ziwa ?

Narudia tena Magu ana genge lake tu, kubwa ni alilotoka nalo wizara ya ujenzi.
 
Katibu Mkuu Kiongozi ni zaidi ya White House Chief of Staff.Huyo ni Head of Civil Service ukiondoa politicians.

Basically mawaziri, manaibu waziri na rais ni politicians, sio pure civil servants.

Civil service wizarani inaongozwa na katibu mkuu wa wizara.

Na huyu "Katibu Mkuu Kiongozi" ndiye kinara wao.

Kuna miongozo very specific inayokataza watu wa civil service kujiingiza katika siasa.

Sasa mtu party stalwart kama Bashiru, katoka kuwa Katibu Mkuu wa CCM, unaenda kumpa kazi ya kuongoza civil service, eti atenganishe civil service na siasa!

Kituko.
I am lost ... I have decided to rest my mind for a while... May be I will understand someday
 
Back
Top Bottom