Ikulu: Rais Magufuli awataka watendaji kufanya kazi kwa kuzingatia viapo vyao. Awaasa kuridhika na nafasi walizo nazo, siyo kukimbilia Ubunge

Statement mbaya sana kwa Julius Mtatiro. Lazima aozee kule Namtumbo
Meko kajua kuwapoteza hawa njaa njaa wote wanaohamia kule, anakupa teuzi ukae kimya huko siku akikutumbua huna tena mtaji wa kisiasa ndani ya ccm ama upinzani na story yako inaishia hapo.
 
Huyu Mh hapo mbele ndio alikuwa mkuu wa wilaya, kwa picha hii huyu Mh alikuwa kitengo maalumu au?
 
Naam. Amechukuwa mlinzi wake na kumpeleka kwa Gambo. Mlinzi anajiona yuko juu ya Gambo kwa vile ametoka Ikulu. Kwa kweli ni tatizo la kimfumo.
 
Hivi ma-DC ,ma-RC na ma-DED wanakula mshahara kiasi gani kiasi cha watu kupagawa na uteuzi?
 
Uyu rais Ni jembe sana . Ila nahisi anafeli kwenye swala la ajira. Employment creation policy. Na zani hii wizara iangaliwe vizuri. Nahisi anapewa takwimu ambazo si sahihi.
 
Kwa kweli Kama aliwafanyia wenzie hivi hakufanya vizuri.
 
Jambo kubwa Sana kwa serikali hii ya JPM ni kutoa nafasi kwa sisi vijana tuoneshe uwezo wetu wa kuwatumikia watanzania Viva MAGUFULI 2020-2025
 
Well said. Ni maamuzi ya busara na hekima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…