gspain
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,920
- 6,081
Meko kajua kuwapoteza hawa njaa njaa wote wanaohamia kule, anakupa teuzi ukae kimya huko siku akikutumbua huna tena mtaji wa kisiasa ndani ya ccm ama upinzani na story yako inaishia hapo.Statement mbaya sana kwa Julius Mtatiro. Lazima aozee kule Namtumbo