Ikulu: Rais Samia afanya mazungumzo na Mkuu Wa Jeshi la Polisi Nchini, Camillius Wambura

Kama Mwanaume basi toa pua yako uipeleke barabarani ukione cha mtema kuni.
Kakakobwa baba mkubwa akibinywa PUMBU au kutekwa siku moja utaelewa!!! Sasa endelea kufurahia uovu so longer bado hujawa mhanga.

Wandali wanafiki sana!!
 
" Farasi ni wa bure kupata ushindi, shujaa hajisalimishi kwa wingi wa nguvu""


Kwa mbaaaaali naona ANGUKO LA MNARA WA BABEL, the bfall of tower of Babel!!!😅🤣😅

Polisi elfu 40,000 it is nothing
 
Ndugu yako nani bwege wewe kyuma
 
Viongozi wanahitaji kurudi kwenye misingi na maadili ya uongozi.

Nchi haindeshwi kwa mihemuko
Mama na mwanae wameonja utamu wa madaraka
Biashara ya bandari inawatia wazimu
Anafikiri Akiondoka wataufaidi wengine

kwa katiba hii hata ingekuwa wewe inachochea utamani kitokoka madarakani na kuanza figisu za kidokteta kusalia madarakani

Tubadili katiba na kuandika katiba mpya ili watu wajinga wasiuitamani uraisi
 
Kaa kwa kutulia wala usiwe na presha.
Dogo unapambana kama yule waziri wa sadamu wakati wa vita ya pili ya irak

najua ulikuwa bado hujazaliwa au ulikuwa kwenu Rungwe unachunga mbuzi

Ni hivi mama amefeli na anaenda kufeli, competely
Biashara ya barandari na wale wahuni dp world aliyopora kwa wananchi nayo anaenda kurejesha kama Alivyo surrender kwa wamasai
 
Mama yako hana mpango wa kuishia awamu mbili!
 
Mama anafanya vizuri sana. Pia kwa sasa bandari inafanya vizuri sana na mapato yameongezeka sana baada ya kufanyika maboresho na uwekezaji. Taifa limetamalaki kwa amani na utulivu mkubwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…