Nandagala One
JF-Expert Member
- Aug 19, 2020
- 1,913
- 2,286
Kakakobwa baba mkubwa akibinywa PUMBU au kutekwa siku moja utaelewa!!! Sasa endelea kufurahia uovu so longer bado hujawa mhanga.Kama Mwanaume basi toa pua yako uipeleke barabarani ukione cha mtema kuni.
" Farasi ni wa bure kupata ushindi, shujaa hajisalimishi kwa wingi wa nguvu""Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Amefanya Mazungumzo Mazito Sana na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camillius Wambura Ikulu ya Dar es salaam.
Hii ni baada ya kupita siku chache alipotoa hotuba nzito sana katika kilele cha maadhimisho ya miaka
60 ya Jeshi la Polisi na mkutano mkuu wa Maafisa waandamizi wa Jeshi la Polisi . iliyoitikisa ,kuitetemesha na kuiteka Dunia nzima hadi Washington DC Marekani na kujadiliwa kila kona pamoja na kuungwa mkono na kupongezwa na watu mbalimbali Duniani Kwote.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Soma Pia: Rais Samia amefunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi kwa Mwaka 2024 na Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi Tanzania
Tii sheria bila shuruti acha porojo zako hapa weweKakakobwa baba mkubwa akibinywa PUMBU au kutekwa siku moja utaelewa!!! Sasa endelea kufurahia uovu so longer bado hujawa mhanga.
Wandali wanafiki sana!!
Bwege kweli, unafikiri watu ni KONDOO kama wewe mndali mnafikiTii sheria bila shuruti acha porojo zako hapa wewe
Kuandamana si ni haki ya kikatiba?mnaogopa nnHaki ya Mungu, wacha waweke kwato zao barabarani eti wanaandamana
Ndugu yako nani bwege wewe kyumaNdugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Amefanya Mazungumzo Mazito Sana na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camillius Wambura Ikulu ya Dar es salaam.
Hii ni baada ya kupita siku chache alipotoa hotuba nzito sana katika kilele cha maadhimisho ya miaka
60 ya Jeshi la Polisi na mkutano mkuu wa Maafisa waandamizi wa Jeshi la Polisi . iliyoitikisa ,kuitetemesha na kuiteka Dunia nzima hadi Washington DC Marekani na kujadiliwa kila kona pamoja na kuungwa mkono na kupongezwa na watu mbalimbali Duniani Kwote.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Soma Pia: Rais Samia amefunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi kwa Mwaka 2024 na Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi Tanzania
Acha matisho ya kishamba we bumundaKama Mwanaume basi toa pua yako uipeleke barabarani ukione cha mtema kuni.
I second you mkuu!katika nchi zenye uwajibikaji, hao wote wawili wangekuwa hawako katika ofisi za umma.
Acha upoyoyo mkuu, upo wewe na mkeo sisi watanganyika tuna letu jambo mwakaniUmma wa watanzania upo upande wa Rais Samia na unaendelea kumuunga mkono .
Katiba inaposema kuwa una haki ya kuishi, haisemi kwamba pia hautakufa, sio kila haki utaipata kila wakatiKuandamana si ni haki ya kikatiba?mnaogopa nn
Mama na mwanae wameonja utamu wa madarakaViongozi wanahitaji kurudi kwenye misingi na maadili ya uongozi.
Nchi haindeshwi kwa mihemuko
Dogo unapambana kama yule waziri wa sadamu wakati wa vita ya pili ya irakKaa kwa kutulia wala usiwe na presha.
Mama yako hana mpango wa kuishia awamu mbili!Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Amefanya Mazungumzo Mazito Sana na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camillius Wambura Ikulu ya Dar es salaam.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Tunatamba na Mama hadi 2035 panapo Majaliwa ya Mwenyezi MunguMama yako hana mpango wa kuishia awamu mbili!
Mama anafanya vizuri sana. Pia kwa sasa bandari inafanya vizuri sana na mapato yameongezeka sana baada ya kufanyika maboresho na uwekezaji. Taifa limetamalaki kwa amani na utulivu mkubwa sanaDogo unapambana kama yule waziri wa sadamu wakati wa vita ya pili ya irak
najua ulikuwa bado hujazaliwa au ulikuwa kwenu Rungwe unachunga mbuzi
Ni hivi mama amefeli na anaenda kufeli, competely
Biashara ya barandari na wale wahuni dp world aliyopora kwa wananchi nayo anaenda kurejesha kama Alivyo surrender kwa wamasai
Siwatishi ila nawaambia ukweli Kuwa ole wake atakaye andamana atakiona cha mtema kuniAcha matisho ya kishamba we bumunda
Id*""t
Usipotii sheria bila shuruti basi ni lazima utashurutishwa utii sheriaBwege kweli, unafikiri watu ni KONDOO kama wewe mndali mnafiki
Dogo hajitambui hata kidogoUsipotii sheria bila shuruti basi ni lazima utashurutishwa utii sheria