Ikulu: Rais Samia afanya mazungumzo na Mkuu Wa Jeshi la Polisi Nchini, Camillius Wambura

Ikulu: Rais Samia afanya mazungumzo na Mkuu Wa Jeshi la Polisi Nchini, Camillius Wambura

Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Amefanya Mazungumzo Mazito Sana na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camillius Wambura Ikulu ya Dar.

Hii ni baada ya kupita siku chache kupita alipotoa hotuba nzito sana iliyoitikisa Dunia nzima hadi Washington DC Marekani na kujadiliwa kila kona pamoja na kuungwa mkono na watu mbalimbali Duniani Kwote.

Hii picha ni baada ya kumaliza Mazungumzo HayoView attachment 3101186.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili
Chawa
Ulikuwepo? Huyu mama ametoka mioyoni mwetu tulio wengi.
Kuna maana gani ya kuongea nae wakati juzi amesha wapa maelekezo. Wewe chawa mwambie tumesha elewa kwamba hana tofsuti na yule alie sahau kuamka.
Hata yeye kuna siku ata lala asahau kuamka.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Amefanya Mazungumzo Mazito Sana na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camillius Wambura Ikulu ya Dar.

Hii ni baada ya kupita siku chache kupita alipotoa hotuba nzito sana iliyoitikisa Dunia nzima hadi Washington DC Marekani na kujadiliwa kila kona pamoja na kuungwa mkono na watu mbalimbali Duniani Kwote.

Hii picha ni baada ya kumaliza Mazungumzo HayoView attachment 3101186.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili
''Mazungumzo mazito sana'', ''Hotuba nzito sana'' ndo nini mbona taarifa yako ni ya kichawa chawa sana?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Amefanya Mazungumzo Mazito Sana na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camillius Wambura Ikulu ya Dar.

Hii ni baada ya kupita siku chache kupita alipotoa hotuba nzito sana iliyoitikisa Dunia nzima hadi Washington DC Marekani na kujadiliwa kila kona pamoja na kuungwa mkono na watu mbalimbali Duniani Kwote.

Hii picha ni baada ya kumaliza Mazungumzo HayoView attachment 3101186.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili
Ni haki yako na uhuru wako na nina wajibu wa kuheshimu na kulinda haki yako ya fikra na maoni. Kifuatacho ni nini wanajua wenyewe na dhima yao kwa umma wa nchi hii
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Amefanya Mazungumzo Mazito Sana na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camillius Wambura Ikulu ya Dar.

Hii ni baada ya kupita siku chache kupita alipotoa hotuba nzito sana iliyoitikisa Dunia nzima hadi Washington DC Marekani na kujadiliwa kila kona pamoja na kuungwa mkono na watu mbalimbali Duniani Kwote.

Hii picha ni baada ya kumaliza Mazungumzo HayoView attachment 3101186.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili
Awamu hii wameafikiana atekwe nani?
 
Chawa
Ulikuwepo? Huyu mama ametoka mioyoni mwetu tulio wengi.
Kuna maana gani ya kuongea nae wakati juzi amesha wapa maelekezo. Wewe chawa mwambie tumesha elewa kwamba hana tofsuti na yule alie sahau kuamka.
Hata yeye kuna siku ata lala asahau kuamka.
Embu tulia huko.Mama yupo kazini muda wote.anaweza kumuita mtendaji yeyote yule wa serikali na muda wowote ule.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Amefanya Mazungumzo Mazito Sana na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camillius Wambura Ikulu ya Dar.

Hii ni baada ya kupita siku chache kupita alipotoa hotuba nzito sana iliyoitikisa Dunia nzima hadi Washington DC Marekani na kujadiliwa kila kona pamoja na kuungwa mkono na watu mbalimbali Duniani Kwote.

Hii picha ni baada ya kumaliza Mazungumzo HayoView attachment 3101186.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili
Tutalinda umoja, amani, demokrasia na utulivu wa wananchi waTanzania kwa gharama yoyote...

well done Amer Jeshi Mkuu 🌹
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Amefanya Mazungumzo Mazito Sana na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camillius Wambura Ikulu ya Dar.

Hii ni baada ya kupita siku chache kupita alipotoa hotuba nzito sana iliyoitikisa Dunia nzima hadi Washington DC Marekani na kujadiliwa kila kona pamoja na kuungwa mkono na watu mbalimbali Duniani Kwote.

Hii picha ni baada ya kumaliza Mazungumzo HayoView attachment 3101186.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili
Bila shaka walikuwa wanakubaliana Kimkakati nani sasa afuatie baada ya Marehemu Mzee Kibao.
 
Back
Top Bottom