Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kawe alumni alienda wapi?Kama Mwanaume basi toa pua yako uipeleke barabarani ukione cha mtema kuni.
ChawaNdugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Amefanya Mazungumzo Mazito Sana na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camillius Wambura Ikulu ya Dar.
Hii ni baada ya kupita siku chache kupita alipotoa hotuba nzito sana iliyoitikisa Dunia nzima hadi Washington DC Marekani na kujadiliwa kila kona pamoja na kuungwa mkono na watu mbalimbali Duniani Kwote.
Hii picha ni baada ya kumaliza Mazungumzo HayoView attachment 3101186.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili
''Mazungumzo mazito sana'', ''Hotuba nzito sana'' ndo nini mbona taarifa yako ni ya kichawa chawa sana?Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Amefanya Mazungumzo Mazito Sana na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camillius Wambura Ikulu ya Dar.
Hii ni baada ya kupita siku chache kupita alipotoa hotuba nzito sana iliyoitikisa Dunia nzima hadi Washington DC Marekani na kujadiliwa kila kona pamoja na kuungwa mkono na watu mbalimbali Duniani Kwote.
Hii picha ni baada ya kumaliza Mazungumzo HayoView attachment 3101186.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili
Ya maandamanoItakuwa ripoti imekamilika 🐼
Naona umechanganyikiwa na kuanza kutetemeka.kaa kwa kutulia usiwe na presha.Mama yupo kazini''Mazungumzo mazito sana'', ''Hotuba nzito sana'' ndo nini mbona taarifa yako ni ya kichawa chawa sana?
Ni haki yako na uhuru wako na nina wajibu wa kuheshimu na kulinda haki yako ya fikra na maoni. Kifuatacho ni nini wanajua wenyewe na dhima yao kwa umma wa nchi hiiNdugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Amefanya Mazungumzo Mazito Sana na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camillius Wambura Ikulu ya Dar.
Hii ni baada ya kupita siku chache kupita alipotoa hotuba nzito sana iliyoitikisa Dunia nzima hadi Washington DC Marekani na kujadiliwa kila kona pamoja na kuungwa mkono na watu mbalimbali Duniani Kwote.
Hii picha ni baada ya kumaliza Mazungumzo HayoView attachment 3101186.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili
Wewe ndio huna mvuto na kubakia unatapatapa tu.Habari zinazomhusu mama hazina mvuto tena na zipite tu wala sisomi.
Kaa kwa kutulia wala usiwe na presha.Ni haki yako na uhuru wako na nina wajibu wa kuheshimu na kulinda haki yako ya fikra na maoni. Kifuatacho ni nini wanajua wenyewe na dhima yao kwa umma wa nchi hii
Awamu hii wameafikiana atekwe nani?Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Amefanya Mazungumzo Mazito Sana na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camillius Wambura Ikulu ya Dar.
Hii ni baada ya kupita siku chache kupita alipotoa hotuba nzito sana iliyoitikisa Dunia nzima hadi Washington DC Marekani na kujadiliwa kila kona pamoja na kuungwa mkono na watu mbalimbali Duniani Kwote.
Hii picha ni baada ya kumaliza Mazungumzo HayoView attachment 3101186.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili
Embu tulia huko.Mama yupo kazini muda wote.anaweza kumuita mtendaji yeyote yule wa serikali na muda wowote ule.Chawa
Ulikuwepo? Huyu mama ametoka mioyoni mwetu tulio wengi.
Kuna maana gani ya kuongea nae wakati juzi amesha wapa maelekezo. Wewe chawa mwambie tumesha elewa kwamba hana tofsuti na yule alie sahau kuamka.
Hata yeye kuna siku ata lala asahau kuamka.
Tutalinda umoja, amani, demokrasia na utulivu wa wananchi waTanzania kwa gharama yoyote...Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Amefanya Mazungumzo Mazito Sana na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camillius Wambura Ikulu ya Dar.
Hii ni baada ya kupita siku chache kupita alipotoa hotuba nzito sana iliyoitikisa Dunia nzima hadi Washington DC Marekani na kujadiliwa kila kona pamoja na kuungwa mkono na watu mbalimbali Duniani Kwote.
Hii picha ni baada ya kumaliza Mazungumzo HayoView attachment 3101186.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili
It is not too late.
Toa ujinga wako hapa weweAwamu hii wameafikiana atekwe nani?
Bila shaka walikuwa wanakubaliana Kimkakati nani sasa afuatie baada ya Marehemu Mzee Kibao.Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Amefanya Mazungumzo Mazito Sana na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camillius Wambura Ikulu ya Dar.
Hii ni baada ya kupita siku chache kupita alipotoa hotuba nzito sana iliyoitikisa Dunia nzima hadi Washington DC Marekani na kujadiliwa kila kona pamoja na kuungwa mkono na watu mbalimbali Duniani Kwote.
Hii picha ni baada ya kumaliza Mazungumzo HayoView attachment 3101186.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili
Wanaume huwa hawatoi pua.... Acha ujuaji usiokusaidia.Kama Mwanaume basi toa pua yako uipeleke barabarani ukione cha mtema kuni.
Wewe ndiye mjinga.... Unasheherekeaji kudhuriwa kwa watanzania wenzako..??Toa ujinga wako hapa wewe