Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Barabarani kwani mimi gari. Chama cha waooga hatari. Kila siku mnaishi kwa kutetemeka.Basi wewe mwerevu ingia barabarani.kuropoka kwenu siyo werevu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Barabarani kwani mimi gari. Chama cha waooga hatari. Kila siku mnaishi kwa kutetemeka.Basi wewe mwerevu ingia barabarani.kuropoka kwenu siyo werevu.
Siwatisheni ila nawaambieni ukweli.Usitishe watu.
Wastaarabu huwa hawatishi wengine. Mnataka kuifanya hii nchi ya hao watu wenu na nyie mnaojipendekeza?Siwatisheni ila nawaambieni ukweli.
Acha kulilia ndugu yangu Allen mchambuzi kutoka Ibon FM.Wewe si unataka kuandamana.basi andamanaWastaarabu huwa hawatishi wengine. Mnataka kuifanya hii nchi ya hao watu wenu na nyie mnaojipendekeza?
Wenye chama chenu wanaibia nchi nyie mnaambulia uchawa.
Kwa hiyo unaumia nini ndugu yangu😀😀😀Jitu linajitutumua kila kukicha kwa kujipendekeza lakini linachuniwa ila lenyewe halichoki!
Bila shaka umeshajifukiza kichwani tayari.Jezbel katika ubora wake
Peleka ujinga wako huko. nenda uingie barabarani na familia yako.Bila kukinukisha...CCM hawatakaa waelewe kwamba ni wepesi kama unyoya!
Nape, Dc Longido na Poti wote wanakiri michezo yao, frankly sion haja na mantiki ya elections, ni kuingia road kesho na iwe bila kukoma!
Alafu watachkua maamuzi ya sisi mabosi zao, sio interest zao za kijambazi jambazi!
Komenti ya kijinga kabisa hii..!!!! Uanaume haupimwi hivi.Kama Mwanaume basi toa pua yako uipeleke barabarani ukione cha mtema kuni.
Ninachokiona, atatafutwa mtekaji mmoja wa kafara atawekwa hadharani halafu basii..!!Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Amefanya Mazungumzo Mazito Sana na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camillius Wambura Ikulu ya Dar.
Hii ni baada ya kupita siku chache kupita alipotoa hotuba nzito sana iliyoitikisa Dunia nzima hadi Washington DC Marekani na kujadiliwa kila kona pamoja na kuungwa mkono na watu mbalimbali Duniani Kwote.
Hii picha ni baada ya kumaliza Mazungumzo HayoView attachment 3101186.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili
Kama umepaniki na una hasira basi kunywa sumu UFE tu maana huna faida yoyote ile na hakuna ambaye atasikitika😀😀😀Wewe unazidi kuonyesha ushoga wako kila wakati unamuuliza mtu kama ni mwanaume kweli huo ndiyo usengerema wenyewe unatafuta basha kwa nguvu.
Mnapenda sana Maneno maneno ya uongo na uzushi.Ninachokiona, atatafutwa mtekaji mmoja wa kafara atawekwa hadharani halafu basii..!!
Tusipoona waliomuua Kibao wanakamatwa hicho kikao hakina maana,tusipoona mafwele anapandishwa kizimbani kwa tuhuma za kutaka kumuua sativa kikao hakina maana,tusipoona waliotekwa na mafwele wanapelekwa mahakamni hicho kikao hakina maana.
Tunakwenda na Mama hadi 2030 na tukiamua tutakwenda naye hadi 2035 panapo majaliwa ya Mwenyezi Mungu.maana Katiba ni yetu na sisi ndio wenye uwezo wa kuibadilisha na kuiweka katika namna tuitakayo sisi.Mama anajua mwisho wa kukaa ikulu umefika
Nipanic wakati na enjoy maisha. Wewe jifanye ni mmoja wao tu lakini elewa kuwa huyo unayemshobokea hata akitoka madarakani anapewa ulinzi hadi mwisho wa uhai wake,kazi kwako na umeshaji expose kwa kutaka sifa. Kuwa na kiasi kwani hata hao beneficiaries wa mfumo hawashoboki kama wewe. Shauri yako kuwa na kiasi dunia duara hii.Kama umepaniki na una hasira basi kunywa sumu UFE tu maana huna faida yoyote ile na hakuna ambaye atasikitika😀😀😀
Raia sahv hawana imani na jeshi la polisi kwa kila kitu kwa ujumlaaUmma wa watanzania upo upande wa Rais Samia na unaendelea kumuunga mkono .