Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Wanapewa mbinu za kuwabambika kesi CHADEMAItakuwa ripoti imekamilika 🐼
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanapewa mbinu za kuwabambika kesi CHADEMAItakuwa ripoti imekamilika 🐼
Mtu kama wewe hata ukikamatwa ni sawa tu maana hujitambui kabisaHizi siku 2 CHADEMA watabambikwa kesi haswa
Sure mtu mwenye akili timamu hawezi kumuunga mkono hata dak 1Nyie wa Lumumba ndiyo mnaomuunga mkono kwa maslahi yenu binafsi.
Peleka ujinga wako huko, kama sijitambui bando unaninunulia wewe au unadhani nami natumia modem ya bure kama ya Katibu wako?Mtu kama wewe hata ukikamatwa ni sawa tu maana hujitambui kabisa
Ni sahihi UWT watakuwa wamepewa mrejesho wa kikaoUlikuwepo au wewe umejuaje ni kizito kama sio umbea unakusumbua
Unaumia ukiwa wapi huko ndugu yangu mtanzania uliyejaa msongo wa mawazo na matatizo kichwa kizima.Ulikuwepo au wewe umejuaje ni kizito kama sio umbea unakusumbua
Ndiyo,yamepigwa marufuku na manyang'au wa katiba.Maandamano yamepigwa marufuku.kwa hiyo ukijifanya kichwa maji utakutana na mkono wa dola.
Huwa unanichekesha sana mdogo wangu.Peleka ujinga wako huko, kama sijitambui bando unaninunulia wewe au unadhani nami natumia modem ya bure kama ya Katibu wako?
Matatizo unayo wewe kutwa kupost ujinga humu me sio level zako dogoUnaumia ukiwa wapi huko ndugu yangu mtanzania uliyejaa msongo wa mawazo na matatizo kichwa kizima.
Huna akili achana na mimiHuwa unanichekesha sana mdogo wangu.
Wewe level zako ni za chini huko .mimi nipo juu yako na una mengi sana dogo ya kujifunza kutoka kwangu.Matatizo unayo wewe kutwa kupost ujinga humu me sio level zako dogo
Chadema hawana madhara 😂Wanapewa mbinu za kuwabambika kesi CHADEMA
Nijifunze kutoka kwa mtoto wa kiume kutwa kusifia sifia ujinga ..siwezi jifunza kwa taahira mimi .Wewe level zako ni za chini huko .mimi nipo juu yako na una mengi sana dogo ya kujifunza kutoka kwangu.
Mimi nitaingia barabarani kama kawaida. 🤣Wala usiandike sana bali kama unajiamini sana basi Jumatatu ingia barabarani wewe na familia yako.
Kama hawana mbona polisi wote wameitwa Ikulu?Chadema hawana madhara 😂
Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Amefanya Mazungumzo Mazito Sana na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camillius Wambura Ikulu ya Dar es salaam.
Hii ni baada ya kupita siku chache alipotoa hotuba nzito sana katika kilele cha maadhimisho ya miaka
60 ya Jeshi la Polisi na mkutano mkuu wa Maafisa waandamizi wa Jeshi la Polisi . iliyoitikisa ,kuitetemesha na kuiteka Dunia nzima hadi Washington DC Marekani na kujadiliwa kila kona pamoja na kuungwa mkono na kupongezwa na watu mbalimbali Duniani Kwote.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Soma Pia: Rais Samia amefunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi kwa Mwaka 2024 na Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi Tanzania
Comment hii ,inatoa taswira ya mentality ya hovyo ya kiumbe kilichohusika kuiandika.... kusema iliyohaki hata kama Mh Rais anahangaika juu wa ustawi wa nchi,ila kufanya hayo kwa watu wenye akili kama mfanano huu ni buree kabisa!!!Kweli Shetani yupo kazini!!!Kama Mwanaume basi toa pua yako uipeleke barabarani ukione cha mtema kuni.
Kwani kuna kifungu cha Sheria kinazuia Polisi kualikwa Ikulu? 🐼Kama hawana mbona polisi wote wameitwa Ikulu?